Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Kesi walifunguliwa millcom mmiliki wa tigoKesi ilifunguliwa 2019.
Kwa hiyo wakati hao HONORA wanaingia huo mkenge 2022, kesi ilikuwa tayari inaendelea kurindima.
Ukinunua, kupewa au kurithi kampuni, unabeba "Assets + Liabilities".
Ni kama ukinunua gari, nyumba, kiwanja au shamba lenye kesi, unakuwa umenunua hiyo mali pamoja na kesi husika.
Waambie watulie tu, hawawezi kuchomoka kwa huo utetezi dhaifu.
Hata kesi wamefunguliwa millcom na sio tigoTigo sio kampuni ni brand name tu
Tofautisha brand name na kampuni
Uingereza imeshitakiwa kampuni sio brand name
Ni sawa na wewe kampuni iliyoshitakiwa ni mo Company limited halafu wewe unasema utaidai mo juice wakulipe fidia ndicho Lisu anafchofanya ndio maana Tigo wameruka kesi kuwa haiwahusu wao ni brand name sio kampuni
Pambana Kada Pambana kweli kweli🐍ni ngumu mno kuelewa mambo haya ukiwa unaamini katika ushirikina na ramli, badala ya kutegemea na kuongozwa na Neema na Baraka za Mungu 🐒
kupambana na ushirikina ni rahisi sana, huwa hawana hoja wala pumzi watu wa mihemko 🐒Pambana Kada Pambana kweli kweli🐍
Uchawi ukikuzid ghalaghala Kama Mhagama.🐍kupambana na ushirikina ni rahisi sana, huwa hawana hoja wala pumzi watu wa mihemko 🐒
Safari hali yenu msiojulikana ni Mbaya mtaanza kujulikana sio muda mrefu uzuri saver za whatsapp zipo USAkupambana na ushirikina ni rahisi sana, huwa hawana hoja wala pumzi watu wa mihemko 🐒
Acha uongo lisu amesema wanajipanga kufungua kesi bado hawajafunguaNdio maana nimesema Lissu alichokosea ni kuwashtaki kampuni mama ya muda huo "Millicoms" badala ya kuwashtaki TIGO
Kesi ngumu kwa upande wa jamhuri sio upande wa lisu mkuu subiri utaona ndge ikikamatwaKESI NI NGUMU SANA HII KWA UPANDE WA LISSU.
Tatizo linapokuja ni kwamba walioshitakiwa ni Millicom sio Tigo (Nimeatanisha attachments)
Taarifa za Lissu zilivuja kipindi ambacho kampuni mama inayomiliki Tigo ni "Millicom International Cellular public limited company"
Kuanzia mwaka 2022 kampuni mama mpya ni "Honora Tanzania Public Limited company"
Honora wataendelea kujibanza kwenye angle ya kumshinikiza Lissu aendelee kuwashtaki Millicom aliowafungulia kesi.inavyoonekana Millicom walivyoona ngoma inakaribia kupasuka wakaondoka mwaka 2022
Lissu ilibidi awashtaki Tigo kwasababu hata kampuni mama ikibadilika angeendelea kuwashtaki Tigo.
NdyoImeshtakiwa kampuni sio wamiliki
ule ni utambulisho wa utamaduni wa kingoni kushukuru wakubwa wanapofanya vizuri, mengine ni porojo tu 🐒Uchawi ukikuzid ghalaghala Kama Mhagama.🐍
KabisaInayoshtakiwa ni Kampuni siô Mmiliki.
Hivyo Kesi bado Ipo palepale.
Nilitegemea Wakanushe kuwa hawakufanya hivyo lakini Kwa kauli yao inathibitisha kuwa kitendo kilifanyika na kilifanywa na Kampuni ya Tigo, semà Mmiliki ni Mwingine.
Jina la Kampuni NI lilelile.
Wateja wa Tigo na Namba za tigo ni zilezile ikiwemo Mhanga àmbaye ni Tundu Lisu
Hivyo Kesi Hapo bado yamoto.
Sawa Nchimbi Jr.ule ni utambulisho wa utamaduni wa kingoni kushukuru wakubwa wanapofanya vizuri, mengine ni porojo tu 🐒
kwahiyo mTanzania unajivunia USA 🤣Safari hali yenu msiojulikana ni Mbaya mtaanza kujulikana sio muda mrefu uzuri saver za whatsapp zipo USA
Una uhakika na unachosema au wewe ni wale wanasheria wa mitandaoni.KESI NI NGUMU SANA HII KWA UPANDE WA LISSU.
Tatizo linapokuja ni kwamba walioshitakiwa ni Millicom sio Tigo (Nimeatanisha attachments)
Taarifa za Lissu zilivuja kipindi ambacho kampuni mama inayomiliki Tigo ni "Millicom International Cellular public limited company"
Kuanzia mwaka 2022 kampuni mama mpya ni "Honora Tanzania Public Limited company"
Honora wataendelea kujibanza kwenye angle ya kumshinikiza Lissu aendelee kuwashtaki Millicom aliowafungulia kesi.inavyoonekana Millicom walivyoona ngoma inakaribia kupasuka wakaondoka mwaka 2022
Lissu ilibidi awashtaki Tigo kwasababu hata kampuni mama ikibadilika angeendelea kuwashtaki Tigo.
Afadhali kuwana mihemko kuliko kujiunga wa wezi, wauaji na kuisaliti dhamira yako kwa sababuya tumboachana na Ramli na mihemko ili upate kuelewa gentleman 🐒
imani potofu, huruma na hisia ni miongoni mwa ushirikina wa kitumwa sana aise dah 🤣Afadhali kuwana mihemko kuliko kujiunga wa wezi, wauaji na kuisaliti dhamira yako kwa sababuya tumbo
Hakuna kitu kibaya kama upumbavu, maana mpumbavu hajui kama yeye ni mjinga anajiona mjanja.imani potofu, huruma na hisia ni miongoni mwa ushirikina wa kitumwa sana aise dah 🤣
sasa mbona umepanic kama kweli wewe sio mshirikina gentleman?🤣Hakuna kitu kibaya kama upumbavu, maana mpumbavu hajui kama yeye ni mjinga anajiona mjanja.
Hapa kwa akili ya kipumbavu unajiona una akili kiasi mtaendelea kuwadanganya watu wasitambue kweli kuwa Clifford kawaumbua watekaji na wauaji nyie.
Uko uchi lakini unajiona umevaa nguo duh!