tiGO wajitenga na sakata la kuvuja Taarifa za Tundu Lissu. Wasema mmiliki wa sasa ni mwingine si yule wa nyakati za shambulio!

tiGO wajitenga na sakata la kuvuja Taarifa za Tundu Lissu. Wasema mmiliki wa sasa ni mwingine si yule wa nyakati za shambulio!

Kesi ilifunguliwa 2019.
Kwa hiyo wakati hao HONORA wanaingia huo mkenge 2022, kesi ilikuwa tayari inaendelea kurindima.

Ukinunua, kupewa au kurithi kampuni, unabeba "Assets + Liabilities".

Ni kama ukinunua gari, nyumba, kiwanja au shamba lenye kesi, unakuwa umenunua hiyo mali pamoja na kesi husika.

Waambie watulie tu, hawawezi kuchomoka kwa huo utetezi dhaifu.
Kesi walifunguliwa millcom mmiliki wa tigo
 
Tigo sio kampuni ni brand name tu

Tofautisha brand name na kampuni
Uingereza imeshitakiwa kampuni sio brand name

Ni sawa na wewe kampuni iliyoshitakiwa ni mo Company limited halafu wewe unasema utaidai mo juice wakulipe fidia ndicho Lisu anafchofanya ndio maana Tigo wameruka kesi kuwa haiwahusu wao ni brand name sio kampuni
Hata kesi wamefunguliwa millcom na sio tigo
 
hawana akili hao ngoja kesi ianze london ndio watajua hawajui nani mmiliki na nani sio? Alietoa mawasiliano kwa genge la mwendazake nani
 
Ke
KESI NI NGUMU SANA HII KWA UPANDE WA LISSU.

Tatizo linapokuja ni kwamba walioshitakiwa ni Millicom sio Tigo (Nimeatanisha attachments)

Taarifa za Lissu zilivuja kipindi ambacho kampuni mama inayomiliki Tigo ni "Millicom International Cellular public limited company"

Kuanzia mwaka 2022 kampuni mama mpya ni "Honora Tanzania Public Limited company"

Honora wataendelea kujibanza kwenye angle ya kumshinikiza Lissu aendelee kuwashtaki Millicom aliowafungulia kesi.inavyoonekana Millicom walivyoona ngoma inakaribia kupasuka wakaondoka mwaka 2022

Lissu ilibidi awashtaki Tigo kwasababu hata kampuni mama ikibadilika angeendelea kuwashtaki Tigo.
Kesi ngumu kwa upande wa jamhuri sio upande wa lisu mkuu subiri utaona ndge ikikamatwa
 
Inayoshtakiwa ni Kampuni siô Mmiliki.
Hivyo Kesi bado Ipo palepale.

Nilitegemea Wakanushe kuwa hawakufanya hivyo lakini Kwa kauli yao inathibitisha kuwa kitendo kilifanyika na kilifanywa na Kampuni ya Tigo, semà Mmiliki ni Mwingine.

Jina la Kampuni NI lilelile.
Wateja wa Tigo na Namba za tigo ni zilezile ikiwemo Mhanga àmbaye ni Tundu Lisu

Hivyo Kesi Hapo bado yamoto.
Kabisa
 
Sisi hatutaki kujua, ni kiherehere tu tigo sisi tuko na mr. Milikoni cliford yeye ndio atatuambia sisi hatuna haja na tigo ila kama atahitajika basi huyo clifodi atatuletea chamsingi huyo jamaa tunaye mpaka mwisho watatajana wao kwa wao
 
KESI NI NGUMU SANA HII KWA UPANDE WA LISSU.

Tatizo linapokuja ni kwamba walioshitakiwa ni Millicom sio Tigo (Nimeatanisha attachments)

Taarifa za Lissu zilivuja kipindi ambacho kampuni mama inayomiliki Tigo ni "Millicom International Cellular public limited company"

Kuanzia mwaka 2022 kampuni mama mpya ni "Honora Tanzania Public Limited company"

Honora wataendelea kujibanza kwenye angle ya kumshinikiza Lissu aendelee kuwashtaki Millicom aliowafungulia kesi.inavyoonekana Millicom walivyoona ngoma inakaribia kupasuka wakaondoka mwaka 2022

Lissu ilibidi awashtaki Tigo kwasababu hata kampuni mama ikibadilika angeendelea kuwashtaki Tigo.
Una uhakika na unachosema au wewe ni wale wanasheria wa mitandaoni.
 
Afadhali kuwana mihemko kuliko kujiunga wa wezi, wauaji na kuisaliti dhamira yako kwa sababuya tumbo
imani potofu, huruma na hisia ni miongoni mwa ushirikina wa kitumwa sana aise dah 🤣
 
imani potofu, huruma na hisia ni miongoni mwa ushirikina wa kitumwa sana aise dah 🤣
Hakuna kitu kibaya kama upumbavu, maana mpumbavu hajui kama yeye ni mjinga anajiona mjanja.

Hapa kwa akili ya kipumbavu unajiona una akili kiasi mtaendelea kuwadanganya watu wasitambue kweli kuwa Clifford kawaumbua watekaji na wauaji nyie.

Uko uchi lakini unajiona umevaa nguo duh!
 
Hakuna kitu kibaya kama upumbavu, maana mpumbavu hajui kama yeye ni mjinga anajiona mjanja.

Hapa kwa akili ya kipumbavu unajiona una akili kiasi mtaendelea kuwadanganya watu wasitambue kweli kuwa Clifford kawaumbua watekaji na wauaji nyie.

Uko uchi lakini unajiona umevaa nguo duh!
sasa mbona umepanic kama kweli wewe sio mshirikina gentleman?🤣

sasa si awaumbue tumuone chairman atakavyo chekelea kama sio kuumbuka...

una simu nzuuuri kumbe mfukoni una hirizi, lione chawi hilo 🤣
 
Back
Top Bottom