tiGO wajitenga na sakata la kuvuja Taarifa za Tundu Lissu. Wasema mmiliki wa sasa ni mwingine si yule wa nyakati za shambulio!

Kenge kabisa, imebadirika jina tu, ila wafanyakazi ni walewale, data centre ni zile zile, hata chip zao ni zile zile, data zilitoka kwenye mitambo Yao zikaenda serikalini,
 
Millicom, kampuni mama ya Tigo hadi mwaka 2022.
Kesi ilifunguliwa 2019.
Kwa hiyo wakati hao HONORA wanaingia huo mkenge 2022, kesi ilikuwa tayari inaendelea kurindima.

Ukinunua, kupewa au kurithi kampuni, unabeba "Assets + Liabilities".

Ni kama ukinunua gari, nyumba, kiwanja au shamba lenye kesi, unakuwa umenunua hiyo mali pamoja na kesi husika.

Waambie watulie tu, hawawezi kuchomoka kwa huo utetezi dhaifu.
 
Nyumba ile ile imebadilishwa bato tu
 
Bado brand ni ileile hivyo mahakama itachambua vipengele vya kisheria
 
hawa Tigo ni WAPUMBAFU SANA... mmliki mpya huwa analitithi mambo yote ikiwemo wafanyakazi na nyaraka. Waache uzwazwa... wamenichafua sana moyo wangu... utetezi hafifu... sasa ya nini walikuwa wanataka mambo yao yawe kisiri?
Wasome hizi kesi mbili kwanza ndio waje wakanushe uupuuzi wao.
 

Attachments

Bado brand ni ileile hivyo mahakama itachambua vipengele vya kisheria
Tigo sio kampuni. Ni jina tu limekaa mbele
Ni brand name ambayo imesajiliwa kisheria
 
Vipi kama ingekuwa ni deni wanalipwa baada ya kubadilisha mmiliki wangekataa malipo????
Hapo bado hakuna ulichoandika yaani bado tigo Wana kesi ya kujibu
 
Iloyotoa hizo taarifa ni kampuni ya Tigo, siyo kampuni mama.
 
Kwamba mwanamke aliye kwenye ndoa kama ana kesi mahakamani ikitokea ameachwa na mume wake na kwenda kuolewa na mwanaume mwingine makosa yake yanafutika?
Yafutike wapi? mume mpya lazima awe makini...sio kurukia rukia wake za watu na makandokando yao...
Hawa Tigo wamezua swali jingine, tuone kama wana due diligence waliyofanyiwa kabla ya kununuliwa tuone kwamba hakuna hizo taarifa za kuvuja. kesi ya London imeanika mambo mengi hadi majina ya watu muhimu ukizisoma zote mbili hapa.
 

Attachments

2019 kesi ikaanzishwa. Muda utaongea tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…