tiGO wajitenga na sakata la kuvuja Taarifa za Tundu Lissu. Wasema mmiliki wa sasa ni mwingine si yule wa nyakati za shambulio!

tiGO wajitenga na sakata la kuvuja Taarifa za Tundu Lissu. Wasema mmiliki wa sasa ni mwingine si yule wa nyakati za shambulio!

Lissu, Lissu
Tigo ilishauzwa kitambo kama haujui ,
Mmiliki mpya wa Tigo na zantel ni Rostam Abdulasul Aziz ambae hahusiki na lolote lile ,
Sasa bwana lissu ataishtaki kampuni hewa ambayo haipo
Kama lissu alikua anategemea mabilioni ya serikali ajue keshakosa muda mrefu.
Lissu ajue kabisa , kwake na amsterdam wake sio ushindi bali ni maumivu,
Tigo hawahusiki na shambulio lake kwa namna yoyote ile ,
Rostam alikwaa umiliki wa hizo kampuni baada ya kuuza hisa zake za Vodacom miaka ya magufuli,
Lissu bye bye
Ulimsikiliza hotuba yake yote jana????
 
Hiyo inawahusu tuu, mradi ni kampuni ya Tigo!
Tigo sio kampuni ni brand name tu

Tofautisha brand name na kampuni
Uingereza imeshitakiwa kampuni sio brand name

Ni sawa na wewe kampuni iliyoshitakiwa ni mo Company limited halafu wewe unasema utaidai mo juice wakulipe fidia ndicho Lisu anafchofanya ndio maana Tigo wameruka kesi kuwa haiwahusu wao ni brand name sio kampuni
 
Wewe
Tigo sio kampuni ni brand name tu

Tofautisha brand name na kampuni
Uingereza imeshitakiwa kampuni sio brand name

Ni sawa na wewe kampuni iliyoshitakiwa ni mo Company limited halafu wewe unasema utaidai mo juice wakulipe fidia ndicho Lisu anafchofanya ndio maana Tigo wameruka kesi kuwa haiwahusu wao ni brand name sio kampuni
Wewe acha ujinga sio brand ni kampuni,kama huna hoja nyamaza kuliko kuandika Upumbavu wako,unasomwa ujue kwamba kuna mburula humu!
 
Lissu, Lissu
Tigo ilishauzwa kitambo kama haujui ,
Mmiliki mpya wa Tigo na zantel ni Rostam Abdulasul Aziz ambae hahusiki na lolote lile ,
Sasa bwana lissu ataishtaki kampuni hewa ambayo haipo
Kama lissu alikua anategemea mabilioni ya serikali ajue keshakosa muda mrefu.
Lissu ajue kabisa , kwake na amsterdam wake sio ushindi bali ni maumivu,
Tigo hawahusiki na shambulio lake kwa namna yoyote ile ,
Rostam alikwaa umiliki wa hizo kampuni baada ya kuuza hisa zake za Vodacom miaka ya magufuli,
Lissu bye bye
Darasani uliwahi kusoma walau Business Laws? 😂
 
Tatizo linapokuja ni kwamba inakuwa ngumu kuishitaki Tigo kwasababu zifuatazo:

Taarifa za Lissu zilivuja kipindi ambacho kampuni mama iliyomiliki Tigo ni "Millicom International Cellular public limited company"

Mwaka 2022 hadi sasa kampuni mama mmiliki wa Tigo ni "Honora Tanzania Public Limited company"

Ni sawa na kushambuliwa na jirani, akihama nyumba ni ngumu kuishtaki nyumba yenye jirani mpya,

Ujue kwamba mmiliki wa sasa anammiliki mualifu.
Ni sawa na kufanya ualifu ukiwa mkristo baadaye ukawa muislam ukasema ualifu hio haunihusu kwa sababu kwa sasa mimi ni muislam.
 
Tatizo linapokuja ni kwamba inakuwa ngumu kuishitaki Tigo kwasababu zifuatazo:

Taarifa za Lissu zilivuja kipindi ambacho kampuni mama iliyomiliki Tigo ni "Millicom International Cellular public limited company"

Mwaka 2022 hadi sasa kampuni mama mmiliki wa Tigo ni "Honora Tanzania Public Limited company"

Ni sawa na kushambuliwa na jirani, akihama nyumba ni ngumu kuishtaki nyumba yenye jirani mpya,
Aisee
 
Back
Top Bottom