tiGO wajitenga na sakata la kuvuja Taarifa za Tundu Lissu. Wasema mmiliki wa sasa ni mwingine si yule wa nyakati za shambulio!

Huna uelewa wa sheria
 
Je, kampuni ya simu ikiuzwa manunuzi ananunua ikiwa na taarifa zake zote za wateja wa zamani au anaanza upya kwa kudelete taarifa zote za awali?
Je, ukinunua shamba lina bangi utaweza kujitoa kirahisi kwa kusema bangi nimeikuta imeshakomaa tayari?
Kampuni itakapouzwa kufidia madhila ya Lissu ndipo wataanza kusakana
 
Kumbuka kampuni ni going concern, it can be sued, or it can sue. Kama kuna mteja au staff aliibia kampuni kipindi kile hawezi kushtakiwa sasa hivi?!
 
Hivi nikikopa salio katika mtandao wa simu ikiwa inamilikiwa na mtu X alafu baadae umiliki ukahamia mtu Y nikiwa bado sijalipa deni,je, nikiweka vocha hilo deni litakatwa au halitakatwa kwa sababu mmiliki kabadilika!?
 
Hiyo inawahusu tuu, mradi ni kampuni ya Tigo!
 
Lissu, Lissu
Tigo ilishauzwa kitambo kama haujui ,
Mmiliki mpya wa Tigo na zantel ni Rostam Abdulasul Aziz ambae hahusiki na lolote lile ,
Sasa bwana lissu ataishtaki kampuni hewa ambayo haipo
Kama lissu alikua anategemea mabilioni ya serikali ajue keshakosa muda mrefu.
Lissu ajue kabisa , kwake na amsterdam wake sio ushindi bali ni maumivu,
Tigo hawahusiki na shambulio lake kwa namna yoyote ile ,
Rostam alikwaa umiliki wa hizo kampuni baada ya kuuza hisa zake za Vodacom miaka ya magufuli,
Lissu bye bye
 
Hilo kisheria halipo mkuu,Tigo ni Tigo sawa sawa na ukinunua nyumba yenye kaburi!
 
Hujui sheria hata corporate law hujui bora utulie usome maoni ya wengine usilete maoni ya kingumbaru.
 
Ukinunua mzigo kampuni ambayo ni limited liability

Unakuwa responsible na makandokando yake yotee

Madeni,staff,mifumo and everything

So wasijitoe ufahamuu

Lazima Mh Lissu avune makubwa kwao na watalipaa au watafungiwa mifumo hadi wamlipe Mh kwa fidia atakayo amua na mwanasheria wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…