tiGO wajitenga na sakata la kuvuja Taarifa za Tundu Lissu. Wasema mmiliki wa sasa ni mwingine si yule wa nyakati za shambulio!

Kampuni ya TIGO imesema haihusiki na sakata la kuvuja Taarifa za Tundu Antipas Lisu

HONORA imesema kampuni mama ya Tigo haikuwa mmiliki Wakati Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu anashambuliw...
Ukinunua kampuni unarithi kila kitu wasijidanganye labda wakane kuwa Tundu Lissu hakuwa mteja wao kipindi hicho anashambuliwa
 
Imeshitakiwa kampuni na sio miliki. Yaani tigo tanzania
 
Unaongea nn Bush lawyer? Mara Tigo IPO nara haipo
Local media reported that despite not having any formal legal training, the “lawyer” won 26 cases in various Kenyan courts under the name “Brian N. Mwenda”. According to the BBC, the man was a “masquerader” who had stolen the identity of a real lawyer named Brian Mwenda Ntwiga

Mtikika alishinda kesi kibao mahakama kuu hadi akapewa uanachama wa heshima Tanganyika Law Society wakati aliishia form three secondary
 
Mbona kawanunua na Wateja?? Si angeachana nao aanzane na wakwake wapya??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…