tiGO wajitenga na sakata la kuvuja Taarifa za Tundu Lissu. Wasema mmiliki wa sasa ni mwingine si yule wa nyakati za shambulio!

Mbona kawanunua na Wateja?? Si angeachana nao Tanzania na wakwake wapya??
Ingekuwa kakampuni kadogo Lissu alishashinda, Tatizo hio ni kampuni kubwa yenye uwezo wa kutumia mawakili wa kimataifa na wenye usoefu kufosi kingi kwamba wao hawakuhusika, Wakienda mbali sana itabidi Lissu alipwe fidia ndogo sana isiyozidi bilioni 10, kiuhalisia inabidi apewe zaidi ya bilioni 50 na kampuni kutikiswa aidha kwa kufungiwa au kuwekewa vikwazo
 
Mmeshapanga mpaka kiasi atakacholipwa Chiba?
 
Ni brand name tu sawa na sabuni ya kasuku,foma nk

Lisu hajui tofauti ya brand name na kampuni
Mpaka sasa Lissu hajafungua mashtaka Rasmi. Hivyo endeleen kumpa madini asikwame. Angalau atapata pesa ya kununua gari kuliko kuomba omba
 
In corporate world kuna mapopoma wengi sana ndio washauri wa makampuni makubwa! Ukutu hii "response" ni jopo la watalam wamekuja nalo.
Hawa TigO waliwalipa akina FA na AY bilions of money kwa ujinga wao kama huu wakukosa weledi na kuisababishia hasara kampuni.
TigO wajitathmini sana.
 
Unafahamu maana ya kampuni lakini
Mambo ya merger and acquisition!
 
Unavyonunua kampuni unanunua na Liabilities zake zote. Kwahiyo hawawezi kuchomoka.
 
Unavyonunua kampuni unanunua na Liabilities zake zote. Kwahiyo hawawezi kuchomoka.
Ndio maana nimesema Lissu alichokosea ni kuwashtaki kampuni mama ya muda huo "Millicoms" badala ya kuwashtaki TIGO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…