robinson crusoe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2020
- 762
- 1,236
Leo ni siku kadhaa nikipambana na wizi wa pesa niliyokuwa nayo ndani ya tigopesa. Huduma kwa wateja wameleta hadithi tofauti za aina tatu zote nimekataa. Walianza na kusema zimerudi benki, benki imesema haina ujinga huo.
Wakasema zitarudi baada ya masaa 24 bado hazikurudi. Mwisho wanasema nilikopa wamerudisha mkopo wao, nimekataa sijawahi na sitawahi kukopa tigo. Naona wanajikanyaga tu!
Niongozeni nipambane nao na mara hii natamani mawasiliano na vijana wa Law school ili nipate fidia ya kutosha kutokana na upuuzi huu.
Wakasema zitarudi baada ya masaa 24 bado hazikurudi. Mwisho wanasema nilikopa wamerudisha mkopo wao, nimekataa sijawahi na sitawahi kukopa tigo. Naona wanajikanyaga tu!
Niongozeni nipambane nao na mara hii natamani mawasiliano na vijana wa Law school ili nipate fidia ya kutosha kutokana na upuuzi huu.