Tigo wamepunguza mb+dakika, ni hatari hawa watu

Tigo wamepunguza mb+dakika, ni hatari hawa watu

Sol de Mayo

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2016
Posts
6,515
Reaction score
6,230
Mnasikia ninyi TIGO na mitandao mingine, msitufanye watanzania wapumbavu na wendawazimu, mnaendelea kupunguza vifurushi maanake nini!!! Tumewakalia kimya ndiomaana mnaendelea kufanya ambavyo wanataka.

Nasema hivi endeleeni tu kupunguza, kuna siku kitawaka, kama hamkuona ofisi zenu ziki..teke..tez..wa na moto.

Wasalaam.
 
TZ bidhaa zikishaanza panda bei, kurejeshwa kwenye bei ya kawaida ni nadra sanaaa, kikubwa ni watumiaji wa bidhaa kujijengea utaratibu wa kuzima data mara umalizapo kutumia.

Simu za Android zina mifumo inayatumia data hata kama huperuzi chochote.

Kauli mbiu: Zima data kama huna ulazima wowote wa kuacha data on
 
ikiija starlink ya elon musk tunaachana na hawa kina tigo na.voda...ukitaka kumpigia mtu ni whatsapp call na message ni whatsap tu..tunaachana na mambo ya dakika na SMS

Mpunga wake utauweza mkuu...

Kit 599$
Monthly pay 110$ kwa residential
Monthly pay 135$ kama una chombo kinachotembea (bus, RV, gari binafsi n.k)
 
Back
Top Bottom