Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Daah kweli aisee hawa mbwa wameongeza Tena Bei za bando Ni kama vile wanatukomoa Sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah kweli aisee hawa mbwa wameongeza Tena Bei za bando Ni kama vile wanatukomoa Sasa.
anaupiga mwingi
Hahahaha Daaah [emoji23][emoji23][emoji119]Mie nimekopa mb za 3k nikaangalia movies hadi zikakata kisha nikatafuna line ya Voda na kuitupa.
Hebu niambie sijawapiga!?
halafu tigo wana kujazia unlimited bandwith ili liishe haraka😂😂😀
Mpaka iwafikie ninyi wa dunia ya3 ni 2050 huko wakata mshanyonywa vya kutosha...suluhisho ni kuhama nchi ama kubaki bongo na kuunda njia za kuwakwepa hawa wadhurumajiikiija starlink ya elon musk tunaachana na hawa kina tigo na.voda...ukitaka kumpigia mtu ni whatsapp call na message ni whatsap tu..tunaachana na mambo ya dakika na SMS
Umepigwa mwenyewe mkuu maana ipo siku utairenew hiyo lain na kulipa den na penati juu[emoji16]Mie nimekopa mb za 3k nikaangalia movies hadi zikakata kisha nikatafuna line ya Voda na kuitupa.
Hebu niambie sijawapiga!?
Inaumiza sana
Mpaka iwafikie ninyi wa dunia ya3 ni 2050 huko wakata mshanyonywa vya kutosha...suluhisho ni kuhama nchi ama kubaki bongo na kuunda njia za kuwakwepa hawa wadhurumaji
Tatizo hujielewiikiija starlink ya elon musk tunaachana na hawa kina tigo na.voda...ukitaka kumpigia mtu ni whatsapp call na message ni whatsap tu..tunaachana na mambo ya dakika na SMS
Wafilisike na Roho zao mbaya.ikiija starlink ya elon musk tunaachana na hawa kina tigo na.voda...ukitaka kumpigia mtu ni whatsapp call na message ni whatsap tu..tunaachana na mambo ya dakika na SMS
Mtandao gani mkuu?Hii [emoji116]View attachment 2403714
Mtandao ganiHii [emoji116]View attachment 2403714
Bora hii...Mpunga wake utauweza mkuu...
Kit 599$
Monthly pay 110$ kwa residential
Monthly pay 135$ kama una chombo kinachotembea (bus, RV, gari binafsi n.k)