Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
anaupiga mwingisafi sana, endeleeni kumuita "Mama"
anaupiga mwingi
Hta Airtel wamepunguz had roho inauma kujiunga bando lolote yan ππ.
ikiija starlink ya elon musk tunaachana na hawa kina tigo na.voda...ukitaka kumpigia mtu ni whatsapp call na message ni whatsap tu..tunaachana na mambo ya dakika na SMS
Unawaonea hao tigo.
Ni hatari sana mkuu tate, almost mitandao yote wamepunguzaHata Voda nao mambo ni hayo hayo! Wamepunguza kweli kweli.
ikiija starlink ya elon musk tunaachana na hawa kina tigo na.voda...ukitaka kumpigia mtu ni whatsapp call na message ni whatsap tu..tunaachana na mambo ya dakika na SMS
Mie nimekopa mb za 3k nikaangalia movies hadi zikakata kisha nikatafuna line ya Voda na kuitupa.Hata Voda nao mambo ni hayo hayo! Wamepunguza kweli kweli.
Mie nimekopa mb za 3k nikaangalia movies hadi zikakata kisha nikatafuna line ya Voda na kuitupa.
Hebu niambie sijawapiga!?
Ni zamu yetu kuwapiga za uso sasa hadi wakimbie kama game pale mlimani πTigo
Halo
Airtel
N.k n.k
Wameshatuona watanzania wapole ππ