tiGO yaburuzwa mahakamani kudaiwa fidia ya sh. 26,880,000/=


Ndo matokeo ya shule za kata hayo
 
kesi ya fidia ya sh. 26,880,000/= dhidi ya tigo (honora plc) itaanza kusikilizwa kesho mahakama ya mwanzo ilala.
 
Kwa Miranda ya simu hiyo 26.8 m ni pesa ndogo sana hata kama kesi iko primary court.
 
shilingi milioni 26,880,000/= unazijua wewe ?
Elimu ndio tatizo,
Mtu kama huyu anaweza hata kukuambia hiyo figure ni sawa sawa kabisa na Million 26.88.

Hawazi kabisa kama zote ni million, kwanin kwenye numbers kuwe na tofauti na bado iwe sawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ