Tigo yakata rufaa kuwalipa AY, Mwana FA TSh 2.18 Bilioni, majibu ya rufaa yao kutolewa Julne 27

Lakini hata kama hawajasajili nyimbo inabaki kua mali yao, pia kusajili au kutosajili hakuondoi uhalali wa umiliki wa nyimbo yao/zao pia tigo hawana haki ya kujichukulia tu nyimbo yoyote ile na kuitumia tu maadamu wao hawajisajili..kwenye swala la hasara gani wangepata hapo aiseee
 
Mkuu, kama kweli hawana copyright hiyo kesi ni ngumu kwa ndugu zetu. Na ndio maana tiGO wamekuwa na hoja ya kukata rufaa.

Mahakama kuu na ya rufaa wako strict zaidi
Ila copyright ya kitu ukizungumzia intellectual property hudumu kwa miaka 100 iwe registered au unregistered...
 
Ila copyright ya kitu ukizungumzia intellectual property hudumu kwa miaka 100 iwe registered au unregistered...

Naweza nikawa nimeisahau hiyo sheria kidogo, hebu nikumbushe ni kivipi unregistered work inaweza ikawa protected na sheria. Hapa sina ile copyright and neighbouring act
 

Bonyeza * na muziki huu utakuwa wako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tigo Bwana
 
Hukumu ni Tar 27 June.
Msando kapeleka mapingamizi matatu kuwa rufaa ya Tigo ina mapungufu ya kisheria
 
Mkuu, kama kweli hawana copyright hiyo kesi ni ngumu kwa ndugu zetu. Na ndio maana tiGO wamekuwa na hoja ya kukata rufaa.

Mahakama kuu na ya rufaa wako strict zaidi
Sijajua vzuri kuhusu copy right but why use wimbo wa mtu randomly na unacharge hela unaingiza kwnye kipato chako,copy right or not wimbo ni wa kina FA na AY,anyway ngoja tuone
 
Ila copyright ya kitu ukizungumzia intellectual property hudumu kwa miaka 100 iwe registered au unregistered...
Hakuna protection kwa non-copyrighted work, hata hivyo kwa registered work ni miaka kumi na sio 100!
 
Safi sana Tigo maana hao hawafanani na iyo ela waliyoitaka labda wangesema milioni 2 kila mmoja

nadhani hiyo hela ungeambiwa analipwa Diamond ungebinua kitako juu Kwa furaha!

Punguan wahead ( in faiza foxy voice)
 
Kama Tigo wanadhani wana hoja wange twambia kabisa kuwa wao wanafikiri Ay na FA walistahili kiasi gani kwenye hizoo nyimbo?

Halafu ukiangalia maelezo ya Tigo utagundua kuwa wanakubali kuwa wametenda kosa hila wanacho pinga ni kiasi kilicho tozwa...!

Halafu labda Tigo watwambie nyimbo walizo kuwa wanazitumia ni za kina nani maana wanataka kutumia mwanya wa kutosajiliwa..!

Hoja za Tigo zina madhaifu mengi sana na uhitaji kuwa mwanasheria kuona hayo madhaifu....!

Tigo lazima washindwe hii rufani kwa madhaifu haya ya hoja zao...nina hakika msando alberto ameona hayo madhaifu....!
 
wakipigwa chini kwenye rufaa wao watawajibika kulipa gharama za kesi
 
Sheria ya Copyright and Neighbouring Rights Act inasema kazi yoyote ya ubunifu mfano wimbo na kitabu au hadithi si lazima uzisajili ndipo uwe na haki ya kuziita zako. Your work must novel/new creation tu hiyo ndo requirement. Ila hii rufaa watashindwa kwakuwa waliomba specific damages ambazo kisheria lazima zithibitishwe specifically, ukisoma hukumu ile hata Hakimu anakili hawakuthibitisha madai yao specifically, pia hakuuzingatia ushahidi wa Shahidi pekee wa Tigo na hakuujadili kabisa angalau akasema kwanini anaona hauna msingi
 
Namwombea mafanikio A. Y ila huyo msanii mwingine sjui mwanafa hata akishindwa Sawa tu

Eh kuna sababu yoyote, au ndiyo ile kitu inaitwa udini na ukabila?
Maana haiingii akilini kesi moja unamwombea mmoja afanikiwe na mwengine mmmmh!
 
Mwanafa alijushushia heshima kuingia kwenye beef na mwanamama jide na ilivyo wengi tunamuombea ay azidi kufanikiwa
 
Mwanafa alijushushia heshima kuingia kwenye beef na mwanamama jide na ilivyo wengi tunamuombea ay azidi kufanikiwa
Sasa una mtenganisha vipi Ay na FA kwenye hayo maombi? Kwenye hii issue ukitoa baraka kwa mmoja basi wote zime wagusa...
 
Kwa kuongezea soma hapa kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…