Tigopesa hakuna huduma

Tigopesa hakuna huduma

Toka saa 12 asubuhi,tigopesa haifanyi kazi,huduma kwa wateja kuongea na mhudumu simu inakatwa.

Ni kama wamegoma leo tusifanye harajati zetu za malipo maana wao ndio wanaamua namna ya kufanya kazi.
Hata bando huwezi nunua, wapuuzi kweli hawa
 
Toka saa 12 asubuhi,tigopesa haifanyi kazi,huduma kwa wateja kuongea na mhudumu simu inakatwa.

Ni kama wamegoma leo tusifanye harajati zetu za malipo maana wao ndio wanaamua namna ya kufanya kazi.
Huu mtandao haufai,kwa mwezi hayo matatizo yanajirudia kila siku, nilikula sehemu, nataka nifanye muhamala kwa LIPA NUMBER, hola" ikabidi niache kitambulisho cha NIDA tu
 
Mbona vodacom hakuna changamoto za mtandao mara kwa mara, maana wengine tuna laini za mitandao kama miwili,
Tigo ni uchafu haifai
 
Nilikua natumiwa view once hapa na wifi yenu yupo safarini inazunguka tu nmepasua simu
 
Hamna mtandao wa maana tanzania huo ndio ukweli tunaishi nayo kwakua hamna namna
 
Toka saa 12 asubuhi,tigopesa haifanyi kazi,huduma kwa wateja kuongea na mhudumu simu inakatwa.

Ni kama wamegoma leo tusifanye harajati zetu za malipo maana wao ndio wanaamua namna ya kufanya kazi.
Huu mtandao una changamoto sana, jana kutwa nimekosa huduma ya Tigo pesa, leo kuanzia saa 4 asubuhi mtandao tena unasumbua. Yaani kiufupi hawaaminiki kabisa, nitaendelea kuutumia kwa huduma za kupiga na kupokea simu tu. mambo mengine ngoja niendelee na airtel na voda.
 
😂😂😂😂 unakuta wanaboresha vitu huko..
Au kuna shida imejitokeza mkuu acha panic
 
Hii ni kwa tigo tu ama hata mitandao mingine?

Asubuhi nimetuma hela kutoka vodacom kwenda airtel hakuna sms iliyoingia wala kutoka lakini nikiangalia salio hela imetoka voda na haijafika airtel.

Hii mitandao yote tu miyeyusho hakuna hata pakukimbilia sijui ma IT wao ni vilaz,a.

Kama ndiyo airtel ndio hovyo kabisa kila mara wanatoa ujumbe sijui muda fulani hadi muda fulani patakuwa na marekebisho ya huduma ya airtel money hadi nimeacha kwa muda kutumia airtel money maana wamenikwamishia miamala yangu kadhaa.
Ila tigo ni funga kazi kwa mitandao yote, wanakera sana.
 
Back
Top Bottom