Tijikumbishe: Ronaldo De Lima alikumbwa na nini Fainali ya Wold Cup 98

Degedege ndio iliyosemwa sana kipindi hicho
 
Viera,Petiti,Henry, bila kumsahau Karembeu
 
Euro 2000 ilitwaa kwa Aina yake tuu ile mechi ya final wanasubir Hadi David Trezeguet asawazishe....ila alipita kwa shida maana Nusu final tuta la dakika za mwisho la Abel Xavier ananawa mpira ila 98 wanshinda kiulaini Sana kwakua Brazil alizidiwa

Euro 2000 alikutana na real tests, Spain, Portugal na Italy.

Game zote za mitoano zilikuwa ni tough.

Ukiangalia njia aliyopita WC 98 ilikuwa nyepesi sana: Paraguay, Italy (this was a bit tough), Croatia and Brazil.
 
Euro 2000 alikutana na real tests, Spain, Portugal na Italy.

Game zote za mitoano zilikuwa ni tough.

Ukiangalia njia aliyopita WC 98 ilikuwa nyepesi sana: Paraguay, Italy (this was a bit tough), Croatia and Brazil.
France walikamia mechi na waliiua mechi kwa magoli ya mapema ya zizzou
 


Hakuwa na tatizo lolote, ni hofu tu ya kukutana na USTAZ ZINEDINE ZIZO/MWALIMU WAO. Aliwapiga kanzu nyingi sana huyu mwarabu na hawatamsahau alivowadharirisha.
 
The bold alishaandika makala ndefu sana ya kisa hiki
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna wadau hapo juu [emoji115][emoji115][emoji115]wanabishana kama #mchizi Mox na #ngweaRIP kwenye wimbo mmoja hivi wa kitambo kidogo haina haja ya kuutaji wakongwe wanaujua.
 
Mbona umeiruka 2002 ambapo walikuwa kundi na Senegal?

2004 wametolewa na Greece, hope unakumbuka pia hilo swala.

Kwangu mimi France ilikuwa ya Euro 2000.
Miaka yote Nchi inapokuwa Bingwa wa World Cup mashindano yanayofuata inakuwa urojo kuanzia Ufaransa kachukua 98 mwaka 2002 karojoka. Brazil kachukua 2002 mwaka 2006 katepeta. Italy kachukua 2006 mwaka 2010 kawa mdebwedo. Spain kachukua 2010 mwaka 2014 ndembendembe. German 2014 mwaka 2018 kawa poyoyo.Natabiri hilo pia kujitokeza 2022.
 
Umemuelewa mtoa mada? Nini kilimkuta Ronaldo?
 
Euro 2000 alikutana na real tests, Spain, Portugal na Italy.

Game zote za mitoano zilikuwa ni tough.

Ukiangalia njia aliyopita WC 98 ilikuwa nyepesi sana: Paraguay, Italy (this was a bit tough), Croatia and Brazil.
Umenikumbusha ile mechi Ufaransa Vs Ureno kwenye Euro 2000, dakika za jioni Ufaransa wanapata penati na mpigaji ni Zizzou, basi Luis Figo anaamua kuvua zake jezi na kutoka nje, maana alijua wazi Zizzou hakosi and then goli la dhahabu lingemaliza mechi ile.

Wachambuzi wengi wanadai Euro 2000 ndio michuano bora kwa miaka ya karibuni.
 

Ile France ilikuwa kwenye peak, hata final ambayo Wiltod alirudisha goli jioni sana.

Then Trezeguet anawaua goli la kifo ilikuwa tough.
 
Mkuu hata ile Ureno ilikuwa imesimama haswa! Soka tamu bhana
 
2004 walikutana Greece, wazee wa kupaki basi.

Walipigwa makundi na final.
Ufunguzi na fainali hahaha, soka la ulaya lilianza kuharibika tena mwaka 2004 baada ya kombe la dunia la 1990 pale Italia.

Ugiriki alibeba ndoo kwa kupaki basi, hakuwa anacheza mchezo wa kuvutia, kuanzia mwaka 2004 hapo ndipo wanafalsafa wa soka hilo akina Jose Mourinho walipoibuka.

Unakumbuka Mourinho alipoenda Chelsea katika msimu wa 2004/05 alipoteza mechi 1 tu ya ligi, alifungwa magoli 13 msimu mzima huku Peter Cech akiibuka na Clean sheet 24 kwa msimu ambazo so far mpaka sasa ni rekodi hazijawahi kufikiwa na kipa mwingine. Yotr hayo ni matokeo ya kupaki basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…