Tijikumbishe: Ronaldo De Lima alikumbwa na nini Fainali ya Wold Cup 98

Mkuu nashangaae sasa hivi Greece kwenye ramani ya soka kama vile wamefifia mambo yamebadilika.

Hata kabla ya pale hawakuwepo kwenye ramani, na baada ya pale walipotea.

Baadhi ya wachezaji walipata pata timu lakini timu ya taifa haikufanya chochote tena.

Hata ushiriki wa Euro na WC hawapati.
 
Mbona mnaruka World Cup ya 2002 pale South Korea na Japan,au hicho kizazi chenu cha dhahabu akikushiriki mwaka huo?
 

Degedege, najiuliza ingekuwaje kama Ronaldo angekuwa fit 100% pengine Ufaransa wasingebeba World Cup
 
Ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…