Tiketi za ndege zimekwisha, Warusi wanaitoroka nchi yao baada ya hotuba ya Putin

Tiketi za ndege zimekwisha, Warusi wanaitoroka nchi yao baada ya hotuba ya Putin

Kuna mambo mawili: aidha dikteta Putin atauawa au atapinduliwa, hataweza kuwafanya warussia kuwa mateka wake.

Mashirika ya kijasusi ya kimagharibi yatafanya njama na ile ya Russia (FSB) kumuangamiza dikteta Putin ili kuiokoa Russia, Ukraine na dunia kwa ujumla.

Kwa hali ilivyo, FSB watakubali kabisa kwamba afadhali kumuondoa mjinga moja ili kuokoa taifa na dunia kwa ujumla.


duuuh nawee ni great thinker wa JF, umeingia gugo umesoma habari 2--3 umekuja na Hili Hitimisho ??.


Et FSB iungane na Mashirika eeehhh er kumuondoa Putin?.



Umelopoka au umeyafatilia kiundan??

Tatizo linalowasumbua, Habari za Putin ,Urusi ,USSSR, NATO, n.k

Mmeanza zifatilia mwaka huyu tangu Feb 24 Putin alipoanzisha hiii operesheni .


Sasa tambua, siku zijazo , Uchina anaanzisha Operesheni ya kuinyakua Taiwani.


Ndivo Dunia inavyoenda, Haina budi Kutokea .

URUSI ATASHINDA TU !!.
 
duuuh nawee ni great thinker wa JF, umeingia gugo umesoma habari 2--3 umekuja na Hili Hitimisho ??.


Et FSB iungane na Mashirika eeehhh er kumuondoa Putin?.



Umelopoka au umeyafatilia kiundan??

Tatizo linalowasumbua, Habari za Putin ,Urusi ,USSSR, NATO, n.k

Mmeanza zifatilia mwaka huyu tangu Feb 24 Putin alipoanzisha hiii operesheni .


Sasa tambua, siku zijazo , Uchina anaanzisha Operesheni ya kuinyakua Taiwani.


Ndivo Dunia inavyoenda, Haina budi Kutokea .

URUSI ATASHINDA TU !!.
Atashinda njaa
 
Kama una huruma huwezi kuongea Russia kaiharibu mno Ukraine, total madness,unfair ,wakati ndani ya Russia kupo peace

Itazame ramani ya Ukraine, Urusi alifaulu kuparamia asilimia 20% tu ya nchi yote, kwingine kote huko 80% ya nchi watu wanaendelea na maisha yao.
Hiyo asilimia 20% inamtoka puani mpaka ameamua kufuata Warusi nchi yote waje wamsaidie....
 
Back
Top Bottom