Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Mimi situmii sana tiktok, lakini naomba niseme ni moja kati ya mtandao unaokuja kwa kasi hivyo kuwa mshindani namba 1 wa youtube.
Kwa sasa hawajaifikia youtube, lakini hiyo haiondoi ukweli kwamba ni threat namba 1 wa youtube, ndiyo maana Marekani wanaipiga vita ili kumuokoa youtube ambayo ni ya Mmarekani.
Marekani ndivyo alivyo, kumbuka hata Huawei alifanyiwa figisu baada ya kuonekana ni threat kwa Iphone/Apple. Ni mbinu za kijasusi za Mmarekani ili kuokoa makampuni yao yanayopata ushindani mkali kutoka kwa Wachina.
Hivyo wote mnaoibeza tiktok kaeni mkijua ni kweli inaleta threat kwa usitawi wa youtube.
Tokotoko ndiyo nini?TikTok imekuja kummaliza kabisa YouTube aliyekuwa akisumbua kwa miaka mingi. YouTube hana mvuto kwasasa kila simu ya kijana anayefahamu nini maana ya utandawazi basi ana App ya TikTok kwenye simu yake.
Wengi wanajitahidi ku Uninstall App ya YouTube ila bahati mbaya inakuja Pre Installed kwenye simu za Android isingekuwa hivyo basi YouTube ingeshafutwa kwenye simu za vijana wengi.
YouTube ni mbovu kwenye impression haiwezi kusukuma video za Creators kwa watazamaji automatically mpaka promotion itumike wakati TikTok inapeleka content mbele ya watazamaji automatically ilimradi uwe na content nzuri.
TikTok kusumbuliwa Marekani kwamba itazuiwa hiyo ni njama ya YouTube kutaka kumng'oa kwasababu ya yeye kupoteza mvuto sokoni hapendwi tena.
Natabiri kifo cha YouTube kwa siku zijazo hilo halina ubishi TikTok akitaka kummaliza kabisa YouTube aruhusu Video za mpaka lisaa limoja au zaidi pia aboreshe mfumo wa malipo makubwa kwa Creators hapo YouTube atakufa kabisa.
Twitter naye yupo kwenye mpango wa kummaliza YouTube kwa kuruhusu Video ndefu.
Wanasema TikTok eti inahamasisha mapenzi kwani wasomi wao hawakulani? Hamna watu wanafiki kama wasomi wengi ni malaya waliokubuhu, haya makalio ya TikTok ndo wanayoyataka sasaHuwezi Kuta msomi anaingi TikTok, YouTube ni shule tosha bila darasani kupata elimu yeyeto
Niliidownload nikajua kuna cha maana mule, ila nilichokutana nacho niliifuta siku ileile.Sijawai kua na account tiktok, nimekuja kujua inahusu nini baada ya status nyingi whatsapp kua zinatoka huko tiktok
Sio mtandao wangu kabisa aisee
Tena anaota bila hata ya kulala au kua usingizini.Unaota
Mbona hata TikTok ungepataKuna siku npo dukani akaja mteja kununua bidhaa na amelipa anataka risiti ya efd. Muhusika wa sku zote hayupo.
Ilibidi nimpigie akashauri nizame youtube na kweli nikatoa risiti fresh tu.
Binafsi Youtube haina mpinzani. Hiyo Tiktok hata kuinstall sijawahi kuwaza.
Mjinga ndio uingia TikTok nikinunua phone Ina app ya tik naideleteWanasema TikTok eti inahamasisha mapenzi kwani wasomi wao hawakulani? Hamna watu wanafiki kama wasomi wengi ni malaya waliokubuhu, haya makalio ya TikTok ndo wanayoyataka sasa
TulishastaafuUnavopenda Inye za warembo uache kuingia kule kutupa jicho famasihara nini
Si naskia ni video za vituko tu au kuna cha maana zaidi??Niliidownload nikajua kuna cha maana mule, ila nilichokutana nacho niliifuta siku ileile.