TikTok inagaragaza YouTube iliyokuwa ikisumbua kwa miaka mingi

TikTok inagaragaza YouTube iliyokuwa ikisumbua kwa miaka mingi

Kuna vitu vimetengenezwa siyo kwaajili ya matumizi ya watu wote yaan mi nikikukuta unatumia tiktok alaf we ni wa kiume najua tayari umeleft grp
wali nazi au mchele coca

unakuta kidem kinaangalia tiktok kinachekacheka na wewe wakiume nae uko kwenye bus unaangalia tiktok unajichekesha chekesha pembeni ya wanaume wenzako?

asee shenzytype
 
TikTok imekuja kummaliza kabisa YouTube aliyekuwa akisumbua kwa miaka mingi. YouTube hana mvuto kwasasa kila simu ya kijana anayefahamu nini maana ya utandawazi basi ana App ya TikTok kwenye simu yake.

Wengi wanajitahidi ku Uninstall App ya YouTube ila bahati mbaya inakuja Pre Installed kwenye simu za Android isingekuwa hivyo basi YouTube ingeshafutwa kwenye simu za vijana wengi.

YouTube ni mbovu kwenye impression haiwezi kusukuma video za Creators kwa watazamaji automatically mpaka promotion itumike wakati TikTok inapeleka content mbele ya watazamaji automatically ilimradi uwe na content nzuri.

TikTok kusumbuliwa Marekani kwamba itazuiwa hiyo ni njama ya YouTube kutaka kumng'oa kwasababu ya yeye kupoteza mvuto sokoni hapendwi tena.

Natabiri kifo cha YouTube kwa siku zijazo hilo halina ubishi TikTok akitaka kummaliza kabisa YouTube aruhusu Video za mpaka lisaa limoja au zaidi pia aboreshe mfumo wa malipo makubwa kwa Creators hapo YouTube atakufa kabisa.
Twitter naye yupo kwenye mpango wa kummaliza YouTube kwa kuruhusu Video ndefu.
Unalinganishaje utube na vitu vya kijinga. Ticktock haina content yoyote ya maana zaidi imejaza mashoga na vitu vya kijingakijinga tu. Youtube hakuna mambo ya kipumbavu kama ilivyo ticktock.
Watu wanaotumia ticktock wengi ji kwa ajili ya kukata mauno, kutangaza ushoga, yaan hakuna content za maana utakuta kule ni ujingaujinga ndo umejaa na vitoto vya 2000 ndo vinasumbua sana kule. Huezikuta mtu mzima anaweka vitu kule sababu ina irrelevant contents zinazoendana ma utoto utoto mwingi
 
Tiktok,YouTube imewatoa wengi na wengi kutajirika but don’t compare them,ungesema zinategemeana kwa sasa ningekuelewa,kwamfano kwa wasanii ili atrend itabid aeke nyimbo tiktok, ili kumuongezea viewers,followers kutoka mataifa mbali mbali ,mfano Mapopo kuna wengine wanatoa videos YouTube zilizopitwa na wakati na kuzipost watu wanarudia kuzichek hata kama msanii alikua amepotea anarud kwenye chart na anatrend upya,mfano ile amapiano ya Goya menor you want to bamba you wanna chill with big boys, something new by wiz etc,wazungu wa tiktok wakizielewa nyimbo zako YouTube kupata viewers wengi haichukui muda!!!
 
Youtube ni kitengo cha watu makini walio makini na maarifa, youtube ni source ya maarifa duniani, maarifa huwa hayapelekwi kwa push uzitakazo, maarifa hutafutwa na ayatakayo na huyapata youtube, kamwe youtube haiwezi kufa, anyway mm sina hiyo app ya tiktok, sababu huko creators wake wanaweka tu uchafu wa kunipotezea muda na pesa zangu, kwangu mimi siwezi ishi bila youtube, youtube ndipo nilipopatia jina la mr diy, DIY ndiyo maisha yangu
Umeongea sahihi YouTube ni ngumu kufa aisee
 
Youtube ni kitengo cha watu makini walio makini na maarifa, youtube ni source ya maarifa duniani, maarifa huwa hayapelekwi kwa push uzitakazo, maarifa hutafutwa na ayatakayo na huyapata youtube, kamwe youtube haiwezi kufa, anyway mm sina hiyo app ya tiktok, sababu huko creators wake wanaweka tu uchafu wa kunipotezea muda na pesa zangu, kwangu mimi siwezi ishi bila youtube, youtube ndipo nilipopatia jina la mr diy, DIY ndiyo maisha yangu
Exactly, nilitaka kumjibu mleta mada ila maelezo yako yamemaliza kila kitu. DIY, kuna tutorials karibia kila angle ya maisha ni wewe tu na bundle yako uingie kujifunza, watu tumejifunzia vitu vingi youtube hadi basi. Binafsi hata hiyo tik tok sina.

Youtube ni learning platform, tik tok nadhani ni kwa ajili ya vichekesho tu huko.
 
Unalinganishaje utube na vitu vya kijinga. Ticktock haina content yoyote ya maana zaidi imejaza mashoga na vitu vya kijingakijinga tu. Youtube hakuna mambo ya kipumbavu kama ilivyo ticktock.
Watu wanaotumia ticktock wengi ji kwa ajili ya kukata mauno, kutangaza ushoga, yaan hakuna content za maana utakuta kule ni ujingaujinga ndo umejaa na vitoto vya 2000 ndo vinasumbua sana kule. Huezikuta mtu mzima anaweka vitu kule sababu ina irrelevant contents zinazoendana ma utoto utoto mwingi
Hao mashoga mbona huwafiri sasa😂
 
Youtube ni kitengo cha watu makini walio makini na maarifa, youtube ni source ya maarifa duniani, maarifa huwa hayapelekwi kwa push uzitakazo, maarifa hutafutwa na ayatakayo na huyapata youtube, kamwe youtube haiwezi kufa, anyway mm sina hiyo app ya tiktok, sababu huko creators wake wanaweka tu uchafu wa kunipotezea muda na pesa zangu, kwangu mimi siwezi ishi bila youtube, youtube ndipo nilipopatia jina la mr diy, DIY ndiyo maisha yangu
Nakubali asilimia mia
 
TikTok imekuja kummaliza kabisa YouTube aliyekuwa akisumbua kwa miaka mingi. YouTube hana mvuto kwasasa kila simu ya kijana anayefahamu nini maana ya utandawazi basi ana App ya TikTok kwenye simu yake.

Wengi wanajitahidi ku Uninstall App ya YouTube ila bahati mbaya inakuja Pre Installed kwenye simu za Android isingekuwa hivyo basi YouTube ingeshafutwa kwenye simu za vijana wengi.

YouTube ni mbovu kwenye impression haiwezi kusukuma video za Creators kwa watazamaji automatically mpaka promotion itumike wakati TikTok inapeleka content mbele ya watazamaji automatically ilimradi uwe na content nzuri.

TikTok kusumbuliwa Marekani kwamba itazuiwa hiyo ni njama ya YouTube kutaka kumng'oa kwasababu ya yeye kupoteza mvuto sokoni hapendwi tena.

Natabiri kifo cha YouTube kwa siku zijazo hilo halina ubishi TikTok akitaka kummaliza kabisa YouTube aruhusu Video za mpaka lisaa limoja au zaidi pia aboreshe mfumo wa malipo makubwa kwa Creators hapo YouTube atakufa kabisa.
Twitter naye yupo kwenye mpango wa kummaliza YouTube kwa kuruhusu Video ndefu.
Umeandika ujinga mtupu, Tiktok ni TAKATAKA, iko pale kwaajili ya watu wenye upeo mdogo.
Youtube haitokuja kupotezwa na tiktok labda itokee app nyingine, youtube ni bahari ya maarifa wakati tiktok na kisiwa cha ujinga!
 
Back
Top Bottom