Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TikTok ndo inatengenezea watu umaarufu wanafika mbali YouTube haimsaidii mtu kwenye umaarufu yan hovyo kabisaUmeandika ujinga mtupu, Tiktok ni TAKATAKA, iko pale kwaajili ya watu wenye upeo mdogo.
Youtube haitokuja kupotezwa na tiktok labda itokee app nyingine, youtube ni bahari ya maarifa wakati tiktok na kisiwa cha ujinga!
Wasanii ni % ngap ya watz? Kabla yatikitok bado wasanii walikuwa maarufu.Una habari kuwa TikTok ndo inayowatoa wasanii? YouTube haina msaada kwenye swala la kumpa mtu umaarufu, hovyo kabisa wale washenzi
Umaarufu upi huo unaozungumzia? Umaarufu wa malaya na mashoga!!!!???TikTok ndo inatengenezea watu umaarufu wanafika mbali YouTube haimsaidii mtu kwenye umaarufu yan hovyo kabisa
Umemaliza kila kitu.Youtube ni kitengo cha watu makini walio makini na maarifa, youtube ni source ya maarifa duniani, maarifa huwa hayapelekwi kwa push uzitakazo, maarifa hutafutwa na ayatakayo na huyapata youtube, kamwe youtube haiwezi kufa, anyway mm sina hiyo app ya tiktok, sababu huko creators wake wanaweka tu uchafu wa kunipotezea muda na pesa zangu, kwangu mimi siwezi ishi bila youtube, youtube ndipo nilipopatia jina la mr diy, DIY ndiyo maisha yangu
Mashoga ni wahuni tu kule , TikTok kuna vitu bana acha kujitoa ufahamuTiktok itaipoteza Youtube kwa Tanzania labda ila sio duniani huko. Wabongo mmejaza ujinga vichwani ndio wengi mko Tiktok. Mtu makini hawezi kuhangaika na mtandao wa kishoga kama Tiktok
Watakuwa wamekusikiaYoutube ni kitengo cha watu makini walio makini na maarifa, youtube ni source ya maarifa duniani, maarifa huwa hayapelekwi kwa push uzitakazo, maarifa hutafutwa na ayatakayo na huyapata youtube, kamwe youtube haiwezi kufa, anyway mm sina hiyo app ya tiktok, sababu huko creators wake wanaweka tu uchafu wa kunipotezea muda na pesa zangu, kwangu mimi siwezi ishi bila youtube, youtube ndipo nilipopatia jina la mr diy, DIY ndiyo maisha yangu
Wangese hao si wanaliwa na wabongo hawa hawa? Kila mahali wapo huwezi ukasema huingii Facebook eti kwasababu kuna mashoga chakufanya unaingia lakini unawakataaTiktok si ndio mtandao wa kishoga umejaa magasho tu. Katika kitu ambacho sitakuwa kufanya ni kuwa na account TIKTOK. Kuna video za hovyo na za kujidharirisha ili uwe na viewers. Poleni sana vijana.
Waeleze haoYouTube unai fananisha na Tiktok?? Seriously??
Haitokuja itokee hicho kitu kamwee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hao 1B ni......😅😅😅TikTok imefika 1B manake inakuwa, siku siyo nyingi itafikia 5B