TikTok inagaragaza YouTube iliyokuwa ikisumbua kwa miaka mingi

TikTok inagaragaza YouTube iliyokuwa ikisumbua kwa miaka mingi

Nilimfuna mzee mmoja kiongozi mkubwa sana kazama TikTok anachek kalio ndo tabia zao afu wakija hadharani wanajifanya TikTok ya kijinga kumbe ndo wanakopatia pisi
😂😂😂😂 We bwana mdogo kuna litoto limoja la mbez huko huwa naangalia video zake lile toto kudadeki, ila me sina application huwa natumia web browser alafu natumia computer sio simu ningekuwa na computer yangu ningekupa jina na wewe ukaliangalie hilo toto lilivyo lakwenda
 
😂😂😂😂 We bwana mdogo kuna litoto limoja la mbez huko huwa naangalia video zake lile toto kudadeki, ila me sina application huwa natumia web browser alafu natumia computer sio simu ningekuwa na computer yangu ningekupa jina na wewe ukaliangalie hilo toto lilivyo lakwenda
Matoto ya TikTok yapo vizuri so poa
 
Unavyilinganisha tiktok na You tube
Nina wasiwasi na umri wako
Nina wasiwasi na elimu yako
Nina wasiwasi na makalio yako

Hata kweny hii app sjui alikuelekeza nani mpka ukafika na ukadumu

Mwenye wasi wasi nyingine ajazie apo
Naitetea sana TikTok kwasababu inakuza vipaji bila gharama yako nje na bando lako lakini YouTube haikuzi vipaji ukitaka kufahamika lazima ufanye promotion
 
Umetumia vigezo gan kuleta hoja yako
Tiktok maudhui ya saa moja inabidi uangalie vipande kumi sabu tiktok content ni dakika 10
Na youtube maudhui yake mi masaa akuna kukata akuna parts
 
Umetumia vigezo gan kuleta hoja yako
Tiktok maudhui ya saa moja inabidi uangalie vipande kumi sabu tiktok content ni dakika 10
Na youtube maudhui yake mi masaa akuna kukata akuna parts
Sijui kwanini mnaenda YouTube na matangazo yote yale utafkiri upo kariakoo
 
TikTok imekuja kummaliza kabisa YouTube aliyekuwa akisumbua kwa miaka mingi. YouTube hana mvuto kwasasa kila simu ya kijana anayefahamu nini maana ya utandawazi basi ana App ya TikTok kwenye simu yake.

Wengi wanajitahidi ku Uninstall App ya YouTube ila bahati mbaya inakuja Pre Installed kwenye simu za Android isingekuwa hivyo basi YouTube ingeshafutwa kwenye simu za vijana wengi.

YouTube ni mbovu kwenye impression haiwezi kusukuma video za Creators kwa watazamaji automatically mpaka promotion itumike wakati TikTok inapeleka content mbele ya watazamaji automatically ilimradi uwe na content nzuri.

TikTok kusumbuliwa Marekani kwamba itazuiwa hiyo ni njama ya YouTube kutaka kumng'oa kwasababu ya yeye kupoteza mvuto sokoni hapendwi tena.

Natabiri kifo cha YouTube kwa siku zijazo hilo halina ubishi TikTok akitaka kummaliza kabisa YouTube aruhusu Video za mpaka lisaa limoja au zaidi pia aboreshe mfumo wa malipo makubwa kwa Creators hapo YouTube atakufa kabisa.
Twitter naye yupo kwenye mpango wa kummaliza YouTube kwa kuruhusu Video ndefu.
Youtube ni mlima. Hauwezi kuuondoa labda unaweza kuupanda. Content za youtube huwezi kuzipata sehemu yoyote ile kwa pamoja. Kuna video kibao za programming kuanzia 2010 huko, documentaries, habari zote tokea kipindi hicho. You tube ni informative, educative and entertainment site. Usilinganishe ni hiyo tiktok ambayo imejaa mizaa na vichekesho kwa asilimia kubwa. Youtube watu wanajifunza mpaka kupika chapati, kushona nguo, kila aina ya skill unayoijua. Unaweza kusoma chochote kuhusu Mathematica au Chemistry, engineering, biology, languages nk
 
Youtube ni mlima. Hauwezi kuuondoa labda unaweza kuupanda. Content za youtube huwezi kuzipata sehemu yoyote ile kwa pamoja. Kuna video kibao za programming kuanzia 2010 huko, documentaries, habari zote tokea kipindi hicho. You tube ni informative, educative and entertainment site. Usilinganishe ni hiyo tiktok ambayo imejaa mizaa na vichekesho kwa asilimia kubwa. Youtube watu wanajifunza mpaka kupika chapati, kushona nguo, kila aina ya skill unayoijua. Unaweza kusoma chochote kuhusu Mathematica au Chemistry, engineering, biology, languages nk
TikTok yupo mbioni kumuinamisha YouTube, TikTok kila mtu anaonesha ujuzi wake, YouTube anakuja kubaki historia
 
Mimi situmii sana tiktok, lakini naomba niseme ni moja kati ya mtandao unaokuja kwa kasi hivyo kuwa mshindani namba 1 wa youtube.

Kwa sasa hawajaifikia youtube, lakini hiyo haiondoi ukweli kwamba ni threat namba 1 wa youtube, ndiyo maana Marekani wanaipiga vita ili kumuokoa youtube ambayo ni ya Mmarekani.

Marekani ndivyo alivyo, kumbuka hata Huawei alifanyiwa figisu baada ya kuonekana ni threat kwa Iphone/Apple. Ni mbinu za kijasusi za Mmarekani ili kuokoa makampuni yao yanayopata ushindani mkali kutoka kwa Wachina.

Hivyo wote mnaoibeza tiktok kaeni mkijua ni kweli inaleta threat kwa usitawi wa youtube.
Huawei alikuwa tishio kwa iphone? Are you serious? Kama ni hivyo kwa nini Marekani hawawafanyii figisu Samsung ambao ndio true competitor wa iPhone?
 
Fatilia maana ya "tube" ukishaelewa utaacha kuifananisha na tik plus tok
 
Kuna vitu vimetengenezwa siyo kwaajili ya matumizi ya watu wote yaan mi nikikukuta unatumia tiktok alaf we ni wa kiume najua tayari umeleft grp
wali nazi au mchele coca

unakuta kidem kinaangalia tiktok kinachekacheka na wewe wakiume nae uko kwenye bus unaangalia tiktok unajichekesha chekesha pembeni ya wanaume wenzako?

asee shenzytype
Usiponitajaga huridhiki mwenyewee?? Hadi unitajee ndo roho yakoo kwatuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Haya relaaaaaaxx sasa.
 
Back
Top Bottom