TikTok inagaragaza YouTube iliyokuwa ikisumbua kwa miaka mingi

TikTok inagaragaza YouTube iliyokuwa ikisumbua kwa miaka mingi

Targeted Audience ya Youtube ni ipi na Tiktok ni ipi... na ni nani yupo behind Youtube (Owner) na hio Youtube inamsaidia vipi katika package yake ya information kwa Ujumla ?

Ukijua hayo utagundua kwamba hata Whatsapp ingawa haiwaingizii Facebook pesa directly ila ni appendage ya larger game Ukigundua hayo utajua kwamba Youtube is there to stay na sio sababu ya u-Youtube wake bali ni sababu ya corporation behind it...
 
TikTok imekuja kummaliza kabisa YouTube aliyekuwa akisumbua kwa miaka mingi. YouTube hana mvuto kwasasa kila simu ya kijana anayefahamu nini maana ya utandawazi basi ana App ya TikTok kwenye simu yake.

Wengi wanajitahidi ku Uninstall App ya YouTube ila bahati mbaya inakuja Pre Installed kwenye simu za Android isingekuwa hivyo basi YouTube ingeshafutwa kwenye simu za vijana wengi.

YouTube ni mbovu kwenye impression haiwezi kusukuma video za Creators kwa watazamaji automatically mpaka promotion itumike wakati TikTok inapeleka content mbele ya watazamaji automatically ilimradi uwe na content nzuri.

TikTok kusumbuliwa Marekani kwamba itazuiwa hiyo ni njama ya YouTube kutaka kumng'oa kwasababu ya yeye kupoteza mvuto sokoni hapendwi tena.

Natabiri kifo cha YouTube kwa siku zijazo hilo halina ubishi TikTok akitaka kummaliza kabisa YouTube aruhusu Video za mpaka lisaa limoja au zaidi pia aboreshe mfumo wa malipo makubwa kwa Creators hapo YouTube atakufa kabisa.
Twitter naye yupo kwenye mpango wa kummaliza YouTube kwa kuruhusu Video ndefu.
Upo seriazi au unachangamsha jamvi?

Tik Tok na Youtube contents zake unazifananisha kweli? Sometimes tuwe seriazi na vitu seriazi, sio kila wakati ni mzaha mzaha tu kwa vitu visivyo vya mzaha mzaha!!
 
Monetization kwa YouTube hapo ndo mchawi...hakuna watu wanalipa vzr online kama YouTube
 
Upo seriazi au unachangamsha jamvi?

Tik Tok na Youtube contents zake unazifananisha kweli? Sometimes tuwe seriazi na vitu seriazi, sio kila wakati ni mzaha mzaha tu kwa vitu visivyo vya mzaha mzaha!!
TikTok ndo habari ya mjini, kila mtu siku hizi anaingia TikTok kupata utamu, sisi tunaangalia utamu sio content
 
Mtoa mada umepata wapi ujasiri wa kuilinganisha YouTube na vitu vya Ajabu ajabu?

Kwa taarifa yako tik too nice Cha mtoto Sana kwa YouTube na kamwe haiwezi kuufikia uwezo wa wa YouTube hata robo.

Tik tok Ni mtandao wa watoto wa kike kubinunulia makalio
 
Youtube ni kitengo cha watu makini walio makini na maarifa, youtube ni source ya maarifa duniani, maarifa huwa hayapelekwi kwa push uzitakazo, maarifa hutafutwa na ayatakayo na huyapata youtube, kamwe youtube haiwezi kufa, anyway mm sina hiyo app ya tiktok, sababu huko creators wake wanaweka tu uchafu wa kunipotezea muda na pesa zangu, kwangu mimi siwezi ishi bila youtube, youtube ndipo nilipopatia jina la mr diy, DIY ndiyo maisha yangu
Mbona Mimi Sina TikTok miaka sasa
 
Mtoa mada umepata wapi ujasiri wa kuilinganisha YouTube na vitu vya Ajabu ajabu?

Kwa taarifa yako tik too nice Cha mtoto Sana kwa YouTube na kamwe haiwezi kuufikia uwezo wa wa YouTube hata robo.

Tik tok Ni mtandao wa watoto wa kike kubinunulia makalio
YouTube anainamishwa na TikTok kwa umaarufu, YouTube hana umaarufu kama kazeeka vile
 
Siipendi au siifungui sana ksbb ukitaka upigwe na bandle lako basi we zama Tik tok. Najiunga bandle la 2100 kwa Airtel la wiki au 3000 kwa voda siku 14. Japo kwa siku hizi zote hazifiki kwenye siku husika,lakini ukirogwa tu kuzama Tik tok mamamamamaaaama,utapigwa ndani ya dakika 5,7,10 bandle la wiki 2 nitolee kwa hizi dakika. Hawana habari na mtu hao
Umesema ukweli kbsa mkuu
 
TikTok imekuja kummaliza kabisa YouTube aliyekuwa akisumbua kwa miaka mingi. YouTube hana mvuto kwasasa kila simu ya kijana anayefahamu nini maana ya utandawazi basi ana App ya TikTok kwenye simu yake.

Wengi wanajitahidi ku Uninstall App ya YouTube ila bahati mbaya inakuja Pre Installed kwenye simu za Android isingekuwa hivyo basi YouTube ingeshafutwa kwenye simu za vijana wengi.

YouTube ni mbovu kwenye impression haiwezi kusukuma video za Creators kwa watazamaji automatically mpaka promotion itumike wakati TikTok inapeleka content mbele ya watazamaji automatically ilimradi uwe na content nzuri.

TikTok kusumbuliwa Marekani kwamba itazuiwa hiyo ni njama ya YouTube kutaka kumng'oa kwasababu ya yeye kupoteza mvuto sokoni hapendwi tena.

Natabiri kifo cha YouTube kwa siku zijazo hilo halina ubishi TikTok akitaka kummaliza kabisa YouTube aruhusu Video za mpaka lisaa limoja au zaidi pia aboreshe mfumo wa malipo makubwa kwa Creators hapo YouTube atakufa kabisa.
Twitter naye yupo kwenye mpango wa kummaliza YouTube kwa kuruhusu Video ndefu.
1.Sio kweli kwamba kila kijana ana TikTok ....
2. Sawa vijana wanaweza wakawa wanatumia TikTok kuliko YouTube lakini Kuna vitu huwezi vipata TikTok lazma uzipate YouTube.
3. Hamna mtu ambae ana TikTok afu Hana YouTube ila wapo wenye YouTube ila hawana TikTok
 
1.Sio kweli kwamba kila kijana ana TikTok ....
2. Sawa vijana wanaweza wakawa wanatumia TikTok kuliko YouTube lakini Kuna vitu huwezi vipata TikTok lazma uzipate YouTube.
3. Hamna mtu ambae ana TikTok afu Hana YouTube ila wapo wenye YouTube ila hawana TikTok

1.Sio kweli kwamba kila kijana ana TikTok ....
2. Sawa vijana wanaweza wakawa wanatumia TikTok kuliko YouTube lakini Kuna vitu huwezi vipata TikTok lazma uzipate YouTube.
3. Hamna mtu ambae ana TikTok afu Hana YouTube ila wapo wenye YouTube ila hawana TikTok
TikTok baba lao watu wanalala njaa kwasababu ya kupeleka hela za bando TikTok
 
Kwa maoni yangu ticktok inakuja Kasi sana. Hata hao YouTube wenyewe wanaelewa hili
Tiktok huwa naifananisha na Instagram ila siyo YouTube. Nilipakua app ya tikitok ikabidi niifute tu. Uchafu mtupu, kama unapenda mambo ya ovyo ovyo ingia Tikitok, instagram, facebook. Mtu anaimba wimbo wa Amelowa wa Harmonize huku na kichupi. Youtube unakula copyright strike.
Youtube ni kisima cha maarifa. Kama una mambo yako, weka Youtube kwanza content zako zinakuwa copyright, hayupo mtu anayetumia jasho la mwenzake. Ukifikisha watch hours 4000 na subscribers 1000 unaanza kula hela. Tikitok unalipwa?
Usirudie tena kuifananisha Youtube na Tikitok, utachekwa.
 
TikTok baba lao watu wanalala njaa kwasababu ya kupeleka hela za bando TikTok
Usirudie tena kuifananisha Youtube na Tikitok. Youtube ina heshima yake ambapo tikitok haifiki hata 5%. Tikitok ni kwaajili ya kuweka Status WhatsAPP tu
 
Usirudie tena kuifananisha Youtube na Tikitok. Youtube ina heshima yake ambapo tikitok haifiki hata 5%. Tikitok ni kwaajili ya kuweka Status WhatsAPP tu
TikTok ndo inaongoza kuwa na watumiaji wengi wewe upo wapi hulioni hili?
 
Tiktok huwa naifananisha na Instagram ila siyo YouTube. Nilipakua app ya tikitok ikabidi niifute tu. Uchafu mtupu, kama unapenda mambo ya ovyo ovyo ingia Tikitok, instagram, facebook. Mtu anaimba wimbo wa Amelowa wa Harmonize huku na kichupi. Youtube unakula copyright strike.
Youtube ni kisima cha maarifa. Kama una mambo yako, weka Youtube kwanza content zako zinakuwa copyright, hayupo mtu anayetumia jasho la mwenzake. Ukifikisha watch hours 4000 na subscribers 1000 unaanza kula hela. Tikitok unalipwa?
Usirudie tena kuifananisha Youtube na Tikitok, utachekwa.
YouTube ina utamu gani watu wanataka kuburudika wewe unasema wasome tena maarifa kwani hawakwenda shule?
 
TikTok anavorefusha video length anamcopy YouTube..... Hawezi fanikiwa kwasabu YouTube amesha monopolize longform content......

Hivyo hivyo YouTube ameshindwa kumcopy TikTok kwasabu TikTok ame monopolize short form....

Hakuna mwanamziki yeyote anatumia TikTok kustream miziki yake, wanafanyia tu promotion....
Youtube wana streaming service..

TikTok ni kampuni ya kichina inatumika na serikali ya huko kuiba data za watu kwenye nchi zilizoendelea.....ndio maana nchi zilizoendelea wanaipiga vikwazo....

All odds are in YouTube's favour, short form content is not sustainable for both creators, and platforms
Hili la kuiba data ni shambulio la kibiashara zaidi, hata hivyo hata Youtube anaweza kuwa anaiba data pia, hili sinunui
 
Mimi situmii sana tiktok, lakini naomba niseme ni moja kati ya mtandao unaokuja kwa kasi hivyo kuwa mshindani namba 1 wa youtube.

Kwa sasa hawajaifikia youtube, lakini hiyo haiondoi ukweli kwamba ni threat namba 1 wa youtube, ndiyo maana Marekani wanaipiga vita ili kumuokoa youtube ambayo ni ya Mmarekani.

Marekani ndivyo alivyo, kumbuka hata Huawei alifanyiwa figisu baada ya kuonekana ni threat kwa Iphone/Apple. Ni mbinu za kijasusi za Mmarekani ili kuokoa makampuni yao yanayopata ushindani mkali kutoka kwa Wachina.

Hivyo wote mnaoibeza tiktok kaeni mkijua ni kweli inaleta threat kwa usitawi wa youtube.
Mjadala ufungwe. You nailed
 
Back
Top Bottom