cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao mashoga mbona huwafiri sasa[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao mashoga mbona huwafiri sasa[emoji23]
Kwa kweli.Waeleze hao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku hizi mtu anagusa TikTok chap anaanza kufurahi, huko YouTube mpaka video ifungule sio leo, na matangazo kibao kama umeingia jumba la matangazo mamak
Mkuu mfano mimi app zangu bora ni hiziMtu akiniuliza kama natumia tik tok hua naona ameelekeza dharau kubwa sana kwangu,kuna App kwa watu wanaojielewa hawawezi ku
zitumia kamwe,unakuta eti dume eti linatumia sijui Snap chat!
Tik tok ni ya watoto,wavulana na wale wadada watingisha makalio.
Facebook anaweza kubadilisha maisha yako hujajua tuMkuu mfano mimi app zangu bora ni hizi
*JamiiForums
*Telegram
*YouTube
*Quora
Hao sijui kina... tiktok, facebook, Snapchat, Instagram n.k huwezi kuvikuta kwenye simu yangu.
Ki vipi?Facebook anaweza kubadilisha maisha yako hujajua tu
Sawa sawaYapo mengi sana, mimi boss wangu nilimfahamu Facebook
Sikatai mkuu ila sipo interest nayoImebadilisha sana watu maisha,
👍🤜🤛Youtube ni kitengo cha watu makini walio makini na maarifa, youtube ni source ya maarifa duniani, maarifa huwa hayapelekwi kwa push uzitakazo, maarifa hutafutwa na ayatakayo na huyapata youtube, kamwe youtube haiwezi kufa, anyway mm sina hiyo app ya tiktok, sababu huko creators wake wanaweka tu uchafu wa kunipotezea muda na pesa zangu, kwangu mimi siwezi ishi bila youtube, youtube ndipo nilipopatia jina la mr diy, DIY ndiyo maisha yangu