Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Tatizo watu wenye maarifa makubwa hawako Tik-Tok. Ushawahi kuona mjadala gani wa, watu wa maana una link ya TikTok?Mashoga ni wahuni tu kule , TikTok kuna vitu bana acha kujitoa ufahamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo watu wenye maarifa makubwa hawako Tik-Tok. Ushawahi kuona mjadala gani wa, watu wa maana una link ya TikTok?Mashoga ni wahuni tu kule , TikTok kuna vitu bana acha kujitoa ufahamu
Ni hapa bongo ndo mnaichukulia hivyo mataifa makubwa wanaitumia sana
Wako vizuri hawa watu. YouTube wakae chonjoTiktok ni kampuni ya china, ila maudhui wanayotoa China ni tofauti kabisa na upuuzi wanaofanya nje ya China.
Wacha ubushi we dogo, huwezi linganisha YouTube na mambo ya kitoto hayo. Tiktok ni yenu nyie watoto.TikTok alipo sipo anajipanua kila siku alianza na video fupi sasa kaongeza ndefu kwahiyo tegemea mabadiliko makubwa sana, ndo kwanza mbichi ipe mwaka mmoja tena uone maajabu, msanii akitoa video anaanzia kwanza TikTok baadae huyo kwenye Itube sijui YouTube
Hapo umekubali sasa kuwa hakuna mtu mshenzi duniani kama mbongo 😂Mchina aliyeanzisha tiktok mjanja sana kaweka ili mataifa mengine yapoteze muda kunengua na kufanya ujinga ujinga ila kwa wachina tofauti,imeanzishwa kwao lakini hawaitumii kwakifupi wanatumia Douyin na content zao tofauti mule sio zakunengua na ujinga ujinga mwingine mfano kununua bidhaa n.k ukimkuta mchina ananengua tiktok ujue huyo kama aishi Nje ya China basi atakua mvietnam,kwao hadi WhatsApp unaingia kwa VPN haipo wana WhatsApp yao,,,
Nimecheka 😂😂😂😂😂, nyie majamaa bana daah... Ila tiktok kuna vyuma aiseee acha kabisaaaMtaingia kuangalia pisi kali
Nilimfuna mzee mmoja kiongozi mkubwa sana kazama TikTok anachek kalio ndo tabia zao afu wakija hadharani wanajifanya TikTok ya kijinga kumbe ndo wanakopatia pisiNimecheka 😂😂😂😂😂, nyie majamaa bana daah... Ila tiktok kuna vyuma aiseee acha kabisaaa
Wanatumia Wechat ...ni wajanja sana hawa jamaa wanainuanaMchina aliyeanzisha tiktok mjanja sana kaweka ili mataifa mengine yapoteze muda kunengua na kufanya ujinga ujinga ila kwa wachina tofauti,imeanzishwa kwao lakini hawaitumii kwakifupi wanatumia Douyin na content zao tofauti mule sio zakunengua na ujinga ujinga mwingine mfano kununua bidhaa n.k ukimkuta mchina ananengua tiktok ujue huyo kama aishi Nje ya China basi atakua mvietnam,kwao hadi WhatsApp unaingia kwa VPN haipo wana WhatsApp yao,,,