TikTok inagaragaza YouTube iliyokuwa ikisumbua kwa miaka mingi

TikTok inagaragaza YouTube iliyokuwa ikisumbua kwa miaka mingi

TikTok imekuja kummaliza kabisa YouTube aliyekuwa akisumbua kwa miaka mingi. YouTube hana mvuto kwasasa kila simu ya kijana anayefahamu nini maana ya utandawazi basi ana App ya TikTok kwenye simu yake.

Wengi wanajitahidi ku Uninstall App ya YouTube ila bahati mbaya inakuja Pre Installed kwenye simu za Android isingekuwa hivyo basi YouTube ingeshafutwa kwenye simu za vijana wengi.

YouTube ni mbovu kwenye impression haiwezi kusukuma video za Creators kwa watazamaji automatically mpaka promotion itumike wakati TikTok inapeleka content mbele ya watazamaji automatically ilimradi uwe na content nzuri.

TikTok kusumbuliwa Marekani kwamba itazuiwa hiyo ni njama ya YouTube kutaka kumng'oa kwasababu ya yeye kupoteza mvuto sokoni hapendwi tena.

Natabiri kifo cha YouTube kwa siku zijazo hilo halina ubishi TikTok akitaka kummaliza kabisa YouTube aruhusu Video za mpaka lisaa limoja au zaidi pia aboreshe mfumo wa malipo makubwa kwa Creators hapo YouTube atakufa kabisa.
Twitter naye yupo kwenye mpango wa kummaliza YouTube kwa kuruhusu Video ndefu.
Ni elimu gani inapatikana tiktok
Haiwezekan
 
TikTok imekuja kummaliza kabisa YouTube aliyekuwa akisumbua kwa miaka mingi. YouTube hana mvuto kwasasa kila simu ya kijana anayefahamu nini maana ya utandawazi basi ana App ya TikTok kwenye simu yake.

Wengi wanajitahidi ku Uninstall App ya YouTube ila bahati mbaya inakuja Pre Installed kwenye simu za Android isingekuwa hivyo basi YouTube ingeshafutwa kwenye simu za vijana wengi.

YouTube ni mbovu kwenye impression haiwezi kusukuma video za Creators kwa watazamaji automatically mpaka promotion itumike wakati TikTok inapeleka content mbele ya watazamaji automatically ilimradi uwe na content nzuri.

TikTok kusumbuliwa Marekani kwamba itazuiwa hiyo ni njama ya YouTube kutaka kumng'oa kwasababu ya yeye kupoteza mvuto sokoni hapendwi tena.

Natabiri kifo cha YouTube kwa siku zijazo hilo halina ubishi TikTok akitaka kummaliza kabisa YouTube aruhusu Video za mpaka lisaa limoja au zaidi pia aboreshe mfumo wa malipo makubwa kwa Creators hapo YouTube atakufa kabisa.
Twitter naye yupo kwenye mpango wa kummaliza YouTube kwa kuruhusu Video ndefu.
Una akili timamu?
 
TikTok alipo sipo anajipanua kila siku alianza na video fupi sasa kaongeza ndefu kwahiyo tegemea mabadiliko makubwa sana, ndo kwanza mbichi ipe mwaka mmoja tena uone maajabu, msanii akitoa video anaanzia kwanza TikTok baadae huyo kwenye Itube sijui YouTube
Acha chuki na majungu ya Kiboya, Wewe umewasilisha mada michambo na majungu vinakusaidia nini? Hapo nilipo bold. Man U
 
Dunia ina watumiaji wa internet bilioni 4.65, na YouTube inawatumiaji bilioni 2.6 kila mwezi sawa na asilimia 57 (57%) ya watumiaji wa internet duniani kote.

Huku kwa TikTok ikiwa na watumiaji bilioni 1 kila mwezi, hawajafikia hata nusu ya watumiaji wa YouTube.

Nchi tano (5) zinazo ongoza kwa kutumia YouTube;-
1. India - milioni 467
2. USA - milioni 246
3. Brazil - milioni 142
4. Indonesia - 139
5. Mexico - milioni 81

Na hapa chini ni nchi 5 zinazo ongoza kwa matumizi ya TikTok
1. USA - Milioni 113
2. Indonesia - 109.9 milioni
3. Brazil - 82.2 milioni
4. Mexico - 57.5 milion
5. Russia - 54.9 milioni

Mwisho mtoa mada akamatwe mara moja apelekwe Ukraine akaungane na mchekeshaji mwenzake bwana Zele.
 
Dunia ina watumiaji wa internet bilioni 4.65, na YouTube inawatumiaji bilioni 2.6 kila mwezi sawa na asilimia 57 (57%) ya watumiaji wa internet duniani kote.

Huku kwa TikTok ikiwa na watumiaji bilioni 1 kila mwezi, hawajafikia hata nusu ya watumiaji wa YouTube.

Nchi tano (5) zinazo ongoza kwa kutumia YouTube;-
1. India - milioni 467
2. USA - milioni 246
3. Brazil - milioni 142
4. Indonesia - 139
5. Mexico - milioni 81

Na hapa chini ni nchi 5 zinazo ongoza kwa matumizi ya TikTok
1. USA - Milioni 113
2. Indonesia - 109.9 milioni
3. Brazil - 82.2 milioni
4. Mexico - 57.5 milion
5. Russia - 54.9 milioni

Mwisho mtoa mada akamatwe mara moja apelekwe Ukraine akaungane na mchekeshaji mwenzake bwana Zele.
TikTok imefika 1B manake inakuwa, siku siyo nyingi itafikia 5B
 
TikTok imekuja kummaliza kabisa YouTube aliyekuwa akisumbua kwa miaka mingi. YouTube hana mvuto kwasasa kila simu ya kijana anayefahamu nini maana ya utandawazi basi ana App ya TikTok kwenye simu yake.

Wengi wanajitahidi ku Uninstall App ya YouTube ila bahati mbaya inakuja Pre Installed kwenye simu za Android isingekuwa hivyo basi YouTube ingeshafutwa kwenye simu za vijana wengi.

YouTube ni mbovu kwenye impression haiwezi kusukuma video za Creators kwa watazamaji automatically mpaka promotion itumike wakati TikTok inapeleka content mbele ya watazamaji automatically ilimradi uwe na content nzuri.

TikTok kusumbuliwa Marekani kwamba itazuiwa hiyo ni njama ya YouTube kutaka kumng'oa kwasababu ya yeye kupoteza mvuto sokoni hapendwi tena.

Natabiri kifo cha YouTube kwa siku zijazo hilo halina ubishi TikTok akitaka kummaliza kabisa YouTube aruhusu Video za mpaka lisaa limoja au zaidi pia aboreshe mfumo wa malipo makubwa kwa Creators hapo YouTube atakufa kabisa.
Twitter naye yupo kwenye mpango wa kummaliza YouTube kwa kuruhusu Video ndefu.

Unasema youtube hana mvuto? Labda kama unaangalia video za hovyo, lakini lwa contents zenye adabu bado youtube yuko juu. Uzuri mmoja ni ww unachagua uone nn
 
Youtube ni kitengo cha watu makini walio makini na maarifa, youtube ni source ya maarifa duniani, maarifa huwa hayapelekwi kwa push uzitakazo, maarifa hutafutwa na ayatakayo na huyapata youtube, kamwe youtube haiwezi kufa, anyway mm sina hiyo app ya tiktok, sababu huko creators wake wanaweka tu uchafu wa kunipotezea muda na pesa zangu, kwangu mimi siwezi ishi bila youtube, youtube ndipo nilipopatia jina la mr diy, DIY ndiyo maisha yangu
Umemaliza kila kitu, salute
 
TikTok imekuja kummaliza kabisa YouTube aliyekuwa akisumbua kwa miaka mingi. YouTube hana mvuto kwasasa kila simu ya kijana anayefahamu nini maana ya utandawazi basi ana App ya TikTok kwenye simu yake.

Wengi wanajitahidi ku Uninstall App ya YouTube ila bahati mbaya inakuja Pre Installed kwenye simu za Android isingekuwa hivyo basi YouTube ingeshafutwa kwenye simu za vijana wengi.

YouTube ni mbovu kwenye impression haiwezi kusukuma video za Creators kwa watazamaji automatically mpaka promotion itumike wakati TikTok inapeleka content mbele ya watazamaji automatically ilimradi uwe na content nzuri.

TikTok kusumbuliwa Marekani kwamba itazuiwa hiyo ni njama ya YouTube kutaka kumng'oa kwasababu ya yeye kupoteza mvuto sokoni hapendwi tena.

Natabiri kifo cha YouTube kwa siku zijazo hilo halina ubishi TikTok akitaka kummaliza kabisa YouTube aruhusu Video za mpaka lisaa limoja au zaidi pia aboreshe mfumo wa malipo makubwa kwa Creators hapo YouTube atakufa kabisa.
Twitter naye yupo kwenye mpango wa kummaliza YouTube kwa kuruhusu Video ndefu.

Tiktok siyo mbadala wa youtube kwa hiyo haiwezi kuia youtube. Zote zita exist kwa pamoja labda tiktok abadilike awe kama youtube hapo mbeleni.

Youtube haihitaji uwe na account ili utumie kwa hiyo number of sunscribers isikudanganye.

Tiktok amewashtua youtube nao wanaweka ka section kenye content kama za tiktok hapa utaona kwamba youtube bado yupo sana.
 
Back
Top Bottom