Time travel kiundani zaidi

Time travel kiundani zaidi

pappi_santana

Member
Joined
Mar 20, 2024
Posts
60
Reaction score
72
Quantum physics
Hii ni mojawapo ya branch za physics tuh ambazo vinaelezea kuhusu vitu vingi mfano
Time travel
Worm holes
Time dilations
Light&gravity

Time travel
Ushawahi sikia mtu anatoka future kwenda past au past kuja future ???hii nadharia nadhani wabongo tunaihisi kwenye mamovie tena ya wenzetu mfano sisyphus na interstellar lakini ukija kwenye vitabu inaonekana ni kitu ambacho kina ukweli ndani yake na uongo ndani yake(yaani wanasayansi wanajiumbua wenyewe😂😂)
Mwaka 1927 Albert Einsten mmoja ya wataalamu wakubwa hajawahi tokea alisema time travel ni kitu ambacho kipo na hata hapa duniani unaweza fanya mfano visiwa vya polyneasia na marekani ni vimepishana kilometa 70 tu!! Ila katikati yake kuna mstari wa muda yaan international date line kwakuwa polynesia wakisheherekea sikukuu ya mwaka mpya huku upande wa pili marekani watakuwa nyuma kwa masaa23 kwahiyo ukipanda ndege ukaenda marekani utakuwa umetime travel…..sasa bwana einsten akaanza matheory yake sasa akaaelezea ya kwamba space&gravity vikiwa kwa pamoja vinaweza fuse kuzalisha wormhole ambazo zinaweza msafirisha mtu kutoka sehemu moja mpaka nyingine tena kwa haraka zaidi
Ila mpaka leo hii imebaki kuwa nadharia sababu haijaproviwa bado
Wanasayansi sasa wanajiumbua wenyewe kwa kusema hata mtu akitime travel hawez tekeleza lengo lako na haitawezekana wakaiita hii kitu paradoxes
Mfano
1.Umezaliwa
2.ukagundua kuwa babu yako alikufa kwenye vita vya pili vya dunia
3.ukagundua chanzo cha vita ni adolf hitler
3.ukavumbua mashine ya time travel
4ukasafiri kwenda past
5.labda ukamuua hitler alivyozaliwa tu pale😂
6.kwahiyo babu yako hatakufa
7.na wewe utazaliwa present tena hutakuwa na idea ya kuvumbua hiyo mashine coz babu yako hakufa😂😂😂😂wala adolf hitler hakuwepo
Kwahiyo utabaki trapped kwenye hiyo event infinitly😂😂(mwacheni Mungu aitwe Mungu)

Time dilations
Hivi ushawahi sikia kuhusu muda kuchelewa???ngoja nikufumbue macho sasa kwanza dunia yenyewe yetu haijizungushi kwenye muhimili wake kwa saa 24 kamili hapana bali ni masaa 23:dkk54:56seconds kwahyo hiyo 24hours inakuja kwa wale wana jf wataalamu wa math wana approximate(bila D 2 huwezi elewa shenzi!!😂😂) time ni real thing ila sasa inachochewa na light(mwanga) na speed ya mwanga ni 300,000km/s(kilometa laki tatu kwa sekunde)kwahiyo kama kungekuwa na kitu kinasafiri kwa speed ya mwanga ingezunguka dunia nzima mara 7 kwa sekunde😳
Na kwa speed hiyo mpaka kufika kwwnye mwezi ni dakika 1 tuh
Na kufika mars kutokea duniani ni dakika 3 tuh
Sisi tunategemea jua na jua ni nyota ila tunaiona kubwa sabavu ipo karibu na dunia mwanga wake unatumia dakika 8 tu kufika duniani

Hii inamaanisha speed ya mwanga ndo speed kali kuliko zote ila sasa ina ukakasi flani hivi chukua mfano huu
Watoto wawili mapacha wamezalia alafu mmoja mpakize kwenye spaceship alafu aondoke earth kwa speed ya mwanga aende akazurure huko juu kwa miaka mitano tuh ila chombo chake kitembee asilimia 99.9 ya speed ya mwanga.
Akirudi huku duniani atakuwa na miaka 5 ileile ila huyu mwenzake aliemuacha atamkuta na miaka 95😳😳😳
Uchawi ndo unaanzia hapo sasa ndipo scientists wakaipa hiyo theory (time dilation)
Hivi vitu ndugu yangu ukiviwazia sana unaweza nyonyoka nywele zote 😂😂😂
Wakati mwingine nitakuja kuelezwa maajabu mengine tusiyoyajua hasahasa mambo ya artificial intelligence(akili bandia&neuralink ya elon musk)

Coming soon…….
 
UFO ziliishia wap je area ,47 washawah lunch UFO yeyote

Je waliweza kujua teknolojia Gan inaendesha hizo UFO
 
Quantum physics
Hii ni mojawapo ya branch za physics tuh ambazo vinaelezea kuhusu vitu vingi mfano
Time travel
Worm holes
Time dilations
Light&gravity


Time travel
Ushawahi sikia mtu anatoka future kwenda past au past kuja future ???hii nadharia nadhani wabongo tunaihisi kwenye mamovie tena ya wenzetu mfano sisyphus na interstellar lakini ukija kwenye vitabu inaonekana ni kitu ambacho kina ukweli ndani yake na uongo ndani yake(yaani wanasayansi wanajiumbua wenyewe😂😂)
Mwaka 1927 Albert Einsten mmoja ya wataalamu wakubwa hajawahi tokea alisema time travel ni kitu ambacho kipo na hata hapa duniani unaweza fanya mfano visiwa vya polyneasia na marekani ni vimepishana kilometa 70 tu!! Ila katikati yake kuna mstari wa muda yaan international date line kwakuwa polynesia wakisheherekea sikukuu ya mwaka mpya huku upande wa pili marekani watakuwa nyuma kwa masaa23 kwahiyo ukipanda ndege ukaenda marekani utakuwa umetime travel…..sasa bwana einsten akaanza matheory yake sasa akaaelezea ya kwamba space&gravity vikiwa kwa pamoja vinaweza fuse kuzalisha wormhole ambazo zinaweza msafirisha mtu kutoka sehemu moja mpaka nyingine tena kwa haraka zaidi
Ila mpaka leo hii imebaki kuwa nadharia sababu haijaproviwa bado
Wanasayansi sasa wanajiumbua wenyewe kwa kusema hata mtu akitime travel hawez tekeleza lengo lako na haitawezekana wakaiita hii kitu paradoxes
Mfano
1.Umezaliwa
2.ukagundua kuwa babu yako alikufa kwenye vita vya pili vya dunia
3.ukagundua chanzo cha vita ni adolf hitler
3.ukavumbua mashine ya time travel
4ukasafiri kwenda past
5.labda ukamuua hitler alivyozaliwa tu pale😂
6.kwahiyo babu yako hatakufa
7.na wewe utazaliwa present tena hutakuwa na idea ya kuvumbua hiyo mashine coz babu yako hakufa😂😂😂😂wala adolf hitler hakuwepo
Kwahiyo utabaki trapped kwenye hiyo event infinitly😂😂(mwacheni Mungu aitwe Mungu)

Time dilations
Hivi ushawahi sikia kuhusu muda kuchelewa???ngoja nikufumbue macho sasa kwanza dunia yenyewe yetu haijizungushi kwenye muhimili wake kwa saa 24 kamili hapana bali ni masaa 23:dkk54:56seconds kwahyo hiyo 24hours inakuja kwa wale wana jf wataalamu wa math wana approximate(bila D 2 huwezi elewa shenzi!!😂😂) time ni real thing ila sasa inachochewa na light(mwanga) na speed ya mwanga ni 300,000km/s(kilometa laki tatu kwa sekunde)kwahiyo kama kungekuwa na kitu kinasafiri kwa speed ya mwanga ingezunguka dunia nzima mara 7 kwa sekunde😳
Na kwa speed hiyo mpaka kufika kwwnye mwezi ni dakika 1 tuh
Na kufika mars kutokea duniani ni dakika 3 tuh
Sisi tunategemea jua na jua ni nyota ila tunaiona kubwa sabavu ipo karibu na dunia mwanga wake unatumia dakika 8 tu kufika duniani

Hii inamaanisha speed ya mwanga ndo speed kali kuliko zote ila sasa ina ukakasi flani hivi chukua mfano huu
Watoto wawili mapacha wamezalia alafu mmoja mpakize kwenye spaceship alafu aondoke earth kwa speed ya mwanga aende akazurure huko juu kwa miaka mitano tuh ila chombo chake kitembee asilimia 99.9 ya speed ya mwanga.
Akirudi huku duniani atakuwa na miaka 5 ileile ila huyu mwenzake aliemuacha atamkuta na miaka 95😳😳😳
Uchawi ndo unaanzia hapo sasa ndipo scientists wakaipa hiyo theory (time dilation)
Hivi vitu ndugu yangu ukiviwazia sana unaweza nyonyoka nywele zote 😂😂😂
Wakati mwingine nitakuja kuelezwa maajabu mengine tusiyoyajua hasahasa mambo ya artificial intelligence(akili bandia&neuralink ya elon musk)

Coming soon…….
Uongo!
Quantum physics haina uhusiano na time travelling, Quantum physics tries to explain the behaviors of matter or energy in quantum scale, mfano kama particle duality, modern wave mechanics etc ndo utavikuta kwenye quantum physics
Relativistic mechanics ndo inazungumzia time traveling na hizo vitu vyote ulivyotaja.
Kwenye mazungumzo yako umesema eti mtu akipanda ndege kwenda marekani kwasababu tumepishana muda basi ame-travel through time ni uongo,
Ukazungumza pia eti time ni real thing, I presume you mean time is absolute, acc. to relativity time is relative and not absolute. Sasa kinanishangaza kuona unazungumzia relativistic mechanics alafu unasema time is absolute. Explanations zako zinaonekana umebase na movie na fikra zako binafsi ndo mana unasema eti mtu akitoka hapa hadi marekani ame travel through time
 
Uongo!
Quantum physics haina uhusiano na time travelling, Quantum physics tries to explain the behaviors of matter or energy in quantum scale, mfano kama particle duality, modern wave mechanics etc ndo utavikuta kwenye quantum physics
Relativistic mechanics ndo inazungumzia time traveling na hizo vitu vyote ulivyotaja.
Kwenye mazungumzo yako umesema eti mtu akipanda ndege kwenda marekani kwasababu tumepishana muda basi ame-travel through time ni uongo,
Ukazungumza pia eti time ni real thing, I presume you mean time is absolute, acc. to relativity time is relative and not absolute. Sasa kinanishangaza kuona unazungumzia relativistic mechanics alafu unasema time is absolute. Explanations zako zinaonekana umebase na movie na fikra zako binafsi ndo mana unasema eti mtu akitoka hapa hadi marekani ame travel through time
Jamaa mbona kaelezea vizuri tu hapo kwenye utofauti wa muda kati ya Marekani na kisiwa Cha polythemus, na ameandika kuhusu international date line. Hebu elezea hapo kwenye utofauti wa muda kati ya eneo na eneo Kwa masaa Zaid ya 23
 
Jamaa mbona kaelezea vizuri tu hapo kwenye utofauti wa muda kati ya Marekani na kisiwa Cha polythemus, na ameandika kuhusu international date line. Hebu elezea hapo kwenye utofauti wa muda kati ya eneo na eneo Kwa masaa Zaid ya 23
Utofauti wa muda kati ya sehem na sehem doesn't explain time travel.
Kuna kitu kinaitwa simultaneity, suppose mtu yuko Marekani na mwingine sehemu nyingine (which are separated by the international date line). If these two people are happen to be doing events in exactly the same moment (simultaneously) kama observer hapa duniani akiweza kuwaona wote kwa pamoja atasema wanafanya kitu kwa muda sawa chukulia unastream live football match USA wakati kwao ni usiku huku kwetu ni mchana utaona haya matukio yote yanatokea kwa pamoja (simultaneously) hii inaashiria kwamba hizi events zinatokea at the same time. Uyo jamaa ameconfuse kati ya hiyo International date line na time travelling. Yani mfano wake sawa sawa na useme wote mmekaa kwenye gari moja (same frame) alafu muwe na utofauti wa spidi zenu
Hizo events mbili zote zimekuwa observed hapa on earth (same frame) so huwezi sema eti unatime travel
 
Uongo!
Quantum physics haina uhusiano na time travelling, Quantum physics tries to explain the behaviors of matter or energy in quantum scale, mfano kama particle duality, modern wave mechanics etc ndo utavikuta kwenye quantum physics
Relativistic mechanics ndo inazungumzia time traveling na hizo vitu vyote ulivyotaja.
Kwenye mazungumzo yako umesema eti mtu akipanda ndege kwenda marekani kwasababu tumepishana muda basi ame-travel through time ni uongo,
Ukazungumza pia eti time ni real thing, I presume you mean time is absolute, acc. to relativity time is relative and not absolute. Sasa kinanishangaza kuona unazungumzia relativistic mechanics alafu unasema time is absolute. Explanations zako zinaonekana umebase na movie na fikra zako binafsi ndo mana unasema eti mtu akitoka hapa hadi marekani ame travel through time
Mkuu,mbona huelewi hilo swala unaelewa sana nambie maana ya relativity unayoisemea wewe pia nambie vitu vinavyocompose relativity kama hutataja
Space & time ni mojawapo ya composition ya relativity na kwahyo nmetumia knowledge ya einsten na vitabu vyake kama alivyoandika na kuhusu huo mfano ukiuangalia nkajaribu kukuambia uvute picha tu uone kama scientists wapo wrong au right na ww kwenye mtizamo wako unaona hawapo sawa ndo maana umenikosoa ila kusema knowledge ya quantum haihusiani na hivo vitu hapo umetupiga changa la macho😂😂
 
UFO ziliishia wap je area ,47 washawah lunch UFO yeyote

Je waliweza kujua teknolojia Gan inaendesha hizo UFO
Mambo ya UFO(unknown flying objects) ni mambo ambayo hata binadamu wa sikuizi akiambiwa anaona ni nadharia tu ila kwa utafiti uliofanyika unaonesha kwanza hizo UFO hazijaanza jana wala leo au juzi😂😂😂zilianza since enzi za egyptian pharaos ambapo wanatujuza kwamba walitumika hadi kwenye kujenga zile pyramid maana kuna vitu ambavyo mpaka leo vimeonekana ni mysteries mfano
1.hizo pyramid zina coordinate moja na north pole ambapo kwa wakati ule hamna mtu mwenye knowledge hiyo kujulikana

Huo ni mfano tu kuhusu hao extraterrestrial life ila inasemekana(haina uhakika) kwamba wamarekani wamekeep hizi ufo pia inaonekana wana hao aliens ndo maana wakaanzisha ma base makubwa kuoperate hivyo vitu
Ila mkuu sio vema kuongelea hivi vitu kwa ujuaji hata kama unavijua maana unauza nafsi yako kwa mmarekani😂
 
Utofauti wa muda kati ya sehem na sehem doesn't explain time travel.
Kuna kitu kinaitwa simultaneity, suppose mtu yuko Marekani na mwingine sehemu nyingine (which are separated by the international date line). If these two people are happen to be doing events in exactly the same moment (simultaneously) kama observer hapa duniani akiweza kuwaona wote kwa pamoja atasema wanafanya kitu kwa muda sawa chukulia unastream live football match USA wakati kwao ni usiku huku kwetu ni mchana utaona haya matukio yote yanatokea kwa pamoja (simultaneously) hii inaashiria kwamba hizi events zinatokea at the same time. Uyo jamaa ameconfuse kati ya hiyo International date line na time travelling. Yani mfano wake sawa sawa na useme wote mmekaa kwenye gari moja (same frame) alafu muwe na utofauti wa spidi zenu
Hizo events mbili zote zimekuwa observed hapa on earth (same frame) so huwezi sema eti unatime travel
Hamna confusion hapo jamaa angu ila nimetumia IDL kuwasilisha kamfano kadogo kanachoongelewa kuhusu time travel na sijabuni mimi bali ni kulingana na vitabu mbalimbali nenda hata quora utaona…naheshimu mtizamo wako✌️✌️
 
Utofauti wa muda kati ya sehem na sehem doesn't explain time travel.
Kuna kitu kinaitwa simultaneity, suppose mtu yuko Marekani na mwingine sehemu nyingine (which are separated by the international date line). If these two people are happen to be doing events in exactly the same moment (simultaneously) kama observer hapa duniani akiweza kuwaona wote kwa pamoja atasema wanafanya kitu kwa muda sawa chukulia unastream live football match USA wakati kwao ni usiku huku kwetu ni mchana utaona haya matukio yote yanatokea kwa pamoja (simultaneously) hii inaashiria kwamba hizi events zinatokea at the same time. Uyo jamaa ameconfuse kati ya hiyo International date line na time travelling. Yani mfano wake sawa sawa na useme wote mmekaa kwenye gari moja (same frame) alafu muwe na utofauti wa spidi zenu
Hizo events mbili zote zimekuwa observed hapa on earth (same frame) so huwezi sema eti unatime travel
 

Attachments

  • F5B49041-1958-4C4B-A21C-C46966A3B244.jpeg
    F5B49041-1958-4C4B-A21C-C46966A3B244.jpeg
    309.7 KB · Views: 8
Mkuu,mbona huelewi hilo swala unaelewa sana nambie maana ya relativity unayoisemea wewe pia nambie vitu vinavyocompose relativity kama hutataja
Space & time ni mojawapo ya composition ya relativity na kwahyo nmetumia knowledge ya einsten na vitabu vyake kama alivyoandika na kuhusu huo mfano ukiuangalia nkajaribu kukuambia uvute picha tu uone kama scientists wapo wrong au right na ww kwenye mtizamo wako unaona hawapo sawa ndo maana umenikosoa ila kusema knowledge ya quantum haihusiani na hivo vitu hapo umetupiga changa la macho😂😂
Wewe jamaa mbona unabisha bila kuweka hoja.
Modern physics inavipengele viwili muhimu which are Quantum physics na general relativity (which extends special relativity)
In quantum physics, the focus is the behavior of particles at the smallest scale. The focus here is considering what actually happens to this particles at quantum levels. Interpretation ya time kwenye Quantum mechanics ni kama parameter tu in quantum state of a particle
Ukija kwenye general relativity ambayo ni extended from special relativity (The special theory of relativity explains the behaviors of objects at speed closer to the speed of light) inaongeza interpretation of gravity kweny special relativity and how does it affect time
 
Hamna confusion hapo jamaa angu ila nimetumia IDL kuwasilisha kamfano kadogo kanachoongelewa kuhusu time travel na sijabuni mimi bali ni kulingana na vitabu mbalimbali nenda hata quora utaona…naheshimu mtizamo wako✌️✌️
Ntajie hiko kitabu kilichokwambia kama utofauti wa tarehe kati ya sehemu moja na nyingine ndo inasababisha time travelling
 
Unaweza kuona concept za relativity kuwa applied kweny quantum mechanics and it's normal, lakini sio kusema quantum mechanics ndo inaeleza juu ya time travel.
It's a big lie, toa fact acha maneno sijuwi ya umeenda Oxford. Unaweza ukaenda Oxford lakini bado ukashindwa kuinterprete time kama hapo saivi
 
AKILI BANDIA(AI)
Maisha sikuhizi ni rahisi sana tunaona wanafunzi wa vyuo wanavyofurahi uwepo wa akili bandia mfano chatgpt yaani wamepata kitonga😂😂ila kwa hali halisi hii teknolojia ilianza kuvumbuliwa mwaka 2015 na kampuni kubwa ya china na walipania kuteka soko la teknolojia duniani ila kama mnavyomjua mmarekani mzee wa kupindua meza akaiba ile teknolojia ya watu na akaifanya kama yake
Akili bandia ni nini??
Akili bandia ni mjumuiko wa supercomputers na chips ambazo ni programmable yaani znaweza kujiendesha mfano sikuhizi unaweza chat na akili bandia na hata kuongea nayo mfano siri kwenye iphone na google assistants kwenye android huo ni mfano mdogo sana ambao nilielezewa pia sikuhizi tunaona marobots kama yotee!!yaani akili bandia ni moto wa kuotea mbali kwa sasa
Akili hiyo inaweza wanyima watu vitu vingi sana na inasemekana ina effects kubwa tutaziona kwa mbele

Neuralink
Hamna mtu ambaye hajawahi msikia billionea bwana Elon Musk ambaye anakimbiza sana ulimwengu wa teknolojia na kampuni yake ya space x…….
Huyu bwana anataka kufanya jambo ambalo halijawahi fanywa na binadamu yoyote jambo hili lishaanza kufanyiwa majaribio
Jambo hili lenyewe ni anapandikiza chip inayoitwa neuralink katika ubongo wa biandamu
Hii inamaanisha nini?inamaanisha kashapata jeuri ya kumwekea akili bandia au mnembo binadamu sasa (kwa wale vilaza wenzangu tupate hii kitu) yaan anakuwekea cheap ambayo inaimprove vitu vingi mwilini mwako kama uwezo wa kufikiri yaani unakuwa kama google falni hivi pia anasema teknolojia hii inasababisha mtu azeeke nje tuh ila ndani aaahh yaani wazee wasipoteze kumbukumbu pia inaimarisha uwezo wao wa kuona na matatizo mengine ya uzee (uzee mwisho chalinze imeproviwa hapa😂)

Ukosoaji wake
Watu wengi kwa sasa wameanza kukosoa hii teknolojia hasa kidini mfano hilo neno lenyewa “neuralink” ukilipeleka kwenye geamatria calculator (ambayo unaweza ipata kwenye google na wikipedia)ukiandika hilo neno itajitranslate kuja namba 666 au wanasema mark of the beast pia wanarudi katika bible kwenye kitabu nahisi ni ufunuo kuna mstari unasema “people will be marked with the mark of beast” ila sitaki kupeleka hili jambo kidini sana ngoja tuhame hapa..
Ukosoaji mwingine unasemwa kwamba jamani ajira hazitakuwepo yaani binadamu kufanya kazi kwake labda kwa hobby mfano uwepo wa robots na supercomputers utasababisha kutokuwepo kwa ajira (vuta picha unaamka asubuhi kila kitu kimefanywa na robot usafi mpaka chakula kakupikia😂😂hi jau tupu mahousegirl watapuputika maana hawa robots uzuri wao ni hawachoki wala hawaibi yaani)
Ubaya mwingine wa hii ni kwamba dunia inateketea hasahasa geographically pollutions yaani tunapoelekea huko duniani tutakuwa tunahadithia wajukuu zetu zamani kulikuwa na miti ila mda huo watakua wanaenda kuangalia kwenye makumbusho🙌🏼🙌🏼 Biochemicals za hvyo vitu marobots zitatuumiza wenyewe

Japokuwa hawachoki wala hawalali jamani tukumbuke binadamu kaumbiwa makosa yaani mifumo ikiharibikantu hiyo akili bandia itatutokea puani watawatesa sana binadamu hawa kama wakiingia kwenye mikono mibaya

Maadhimio ya bwana Musk
Yeye anataka kwanza awe mtu wa kwanza kufanikisha mars civilisation yaani afanye mars habitable tukae huko ndo maana anatumia marobots kwenda kufanya uchunguzi huko kaanzisha hadi cryptocurrency na kutangaza kuwa ndo itatumika sehemu ya huko😂😂(huyu jamaa atatuua)

Pia imekosolewa sababu inapunguza uwezo wa binadamu kufikiri yaani sikuhizi watoto hata hawajihangaishi yaani hawaumizi akili yao waliopewa zawadi na Mungu yaani kahomework kidogo tuh kashauliza chatgpt😂 aiseee!!! Wakati kuna watu washawahi fanya paper ya physics ila hata calculator lakini wakatoboa😂😂
Ckuiz utasikia uliza google!!!

Akili bandia(mnemba)inafaida na hasara kwetu jamani!!!kila mtu aangalie kwa jicho lake
Ila ningependa comments zenu kuhusu hii issue inafaa au haifai??
Kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo🙏
~santana
 
Unaweza kuona concept za relativity kuwa applied kweny quantum mechanics and it's normal, lakini sio kusema quantum mechanics ndo inaeleza juu ya time travel.
It's a big lie, toa fact acha maneno sijuwi ya umeenda Oxford. Unaweza ukaenda Oxford lakini bado ukashindwa kuinterprete time kama hapo saivi
Hongera bro kwakuwa naona umekuja flani hivi alafu ukanikosoa kimtindo ila by the way naona unachoongea wewe na nlichokisema mimi havina utofauti kama umeshasema “unaweza ona concept za relativity applied kwenye quantum mechanics and its normal”
Hapo tumeongea lugha moja✌️
 
Wewe jamaa mbona unabisha bila kuweka hoja.
Modern physics inavipengele viwili muhimu which are Quantum physics na general relativity (which extends special relativity)
In quantum physics, the focus is the behavior of particles at the smallest scale. The focus here is considering what actually happens to this particles at quantum levels. Interpretation ya time kwenye Quantum mechanics ni kama parameter tu in quantum state of a particle
Ukija kwenye general relativity ambayo ni extended from special relativity (The special theory of relativity explains the behaviors of objects at speed closer to the speed of light) inaongeza interpretation of gravity kweny special relativity and how does it affect time
Ushawahi kusikia kuhusu multiverse wewe?
Kama umeshawahi kusikia hiyo basi utajua kuhusu quantum entanglement (molecule inaweza ikawa sehemu mbili simultenaously )
NAOMBA TUSINGEBISHANA KWA HILI
Ngoja nikwache ushinde wewe🙏Chill broh
 
Back
Top Bottom