Time travel na Time Machine ni nini ?


Its strictly prohibited to travel back in time, kwa sababu binadam tutafanya mambo ya ajabu sana

Mfano unaonaje mtu akarudi nyuma na muda akaenda kuwauwa mitume wote.

Ninachoweza fikili kama man kind wataweza ku crack hii puzzle basi hata uki move back in time the time its self will not allow you to disturb the events.

But travel to the future is possible ukiweza kucross kwenye at the fronts of black hole,it will be ur ticket to future
 
Mkuu kirnaga heri ya mwaka mpya, kama muda tunaona unaflow kutokana na matukio je kusimamisha muda ni sawa na kusimamisha matukio yote yasitokee.

Nafikili muda ni kitu kinachojitegemea.
 
nimekumbuka movie ya superman the move
nna uhakika CERN wanaielewa vyema time ....
 
hii habari ya kuwa na umri sawa na mwanao inahitaji mtu awe dip sana kuielewa.
 
wajuzi njoeni hapa tafadhali....natamani kurudi past hata nkaone. show ya michael jackson 1995
 
Time travel&time machine wala sio concepts ngumu kuzielewa
In Einsteinian kinematics,kitu chochote chenye speed kubwa kuliko zero ni Time machine kwasababu kinauwezo wa dilate mda,

Hata train inaweza kutumika kama time machine device as long as ipo kwenye uniform motion

That's corollary of constancy of the speed of light
 
Katuni ya Mr. Peabody na Sherman inakuhusu.......
 
Ndio maana viongozi wa dini huwa wanasema peponi ni kula bata mwanzo mwisho kumbe walishajua kule hatuzeeki, umri unaganda kama wa Wema Sepetu na Juma Kaseja.
Maana tangu nipo darasa la pili naambiwa wanana 24 yrs na mm sasa nakaribia 27.
 
u r gud, thank u
 
hii kali,katika topic ambazo nazipitaga bila kuzisoma ndo hii za time travel ,time machine,kumbe kuna mambo yakufikirisha
 
time travel zipo kwenye filamu tu. kiuhalisia mpaka sasa bado kuna wanasayansi wanafanya tafiti na bado hawajaweza kupata theory ya kusapoti time travel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…