raxx
JF-Expert Member
- Apr 9, 2016
- 326
- 284
Habari wakuu nazani nipo jukwaa sahihi kuna maswala machache yananichanganya sikumbuki lini nilisikia hili neno time travel nikawa interested kufuatili lakini nikaambulia kapa sijui ni lugha ilikuwa tatizo au ugumu wa suala lenyewe ninajua,
naomba mwenye uelewe anieleweshe vizuri what is time travel watu wanasema ninaweza post mwaka 20 june 2015 nikiwa leo au nikatravel back to the time kwamba naweza tuma meseji saa 2200 ikafika saa 2159 dakika moja kabla sijaituma,
nina video za you tube hazielezi vizuri hili suala kuna mifano mingi kutoka kwenye quran na bible mfano kwa mungu miaka 1000 ni sawa na siku moja,
karibuni kwa ufafanuzi
cc Monstgala
Its strictly prohibited to travel back in time, kwa sababu binadam tutafanya mambo ya ajabu sana
Mfano unaonaje mtu akarudi nyuma na muda akaenda kuwauwa mitume wote.
Ninachoweza fikili kama man kind wataweza ku crack hii puzzle basi hata uki move back in time the time its self will not allow you to disturb the events.
But travel to the future is possible ukiweza kucross kwenye at the fronts of black hole,it will be ur ticket to future