shalet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 3,430
- 3,547
Habari wakuu nazani nipo jukwaa sahihi kuna maswala machache yananichanganya sikumbuki lini nilisikia hili neno time travel nikawa interested kufuatili lakini nikaambulia kapa sijui ni lugha ilikuwa tatizo au ugumu wa suala lenyewe ninajua,
naomba mwenye uelewe anieleweshe vizuri what is time travel watu wanasema ninaweza post mwaka 20 june 2015 nikiwa leo au nikatravel back to the time kwamba naweza tuma meseji saa 2200 ikafika saa 2159 dakika moja kabla sijaituma,
nina video za you tube hazielezi vizuri hili suala kuna mifano mingi kutoka kwenye quran na bible mfano kwa mungu miaka 1000 ni sawa na siku moja,
karibuni kwa ufafanuzi
cc Monstgala
naomba mwenye uelewe anieleweshe vizuri what is time travel watu wanasema ninaweza post mwaka 20 june 2015 nikiwa leo au nikatravel back to the time kwamba naweza tuma meseji saa 2200 ikafika saa 2159 dakika moja kabla sijaituma,
nina video za you tube hazielezi vizuri hili suala kuna mifano mingi kutoka kwenye quran na bible mfano kwa mungu miaka 1000 ni sawa na siku moja,
karibuni kwa ufafanuzi
cc Monstgala
Last edited by a moderator: