Time travel na ufunuo wa ufufuko

Time travel na ufunuo wa ufufuko

Kwangu mimi na naamini na kwa wengine pia tahajudi ni tafsiri ya meditation (tafakuri jadidi)
Japokuwa kuamini hakutengani na kujua na kutokuwa na shaka,ila hapa unatakiwa utupe uthibitisho kutoka katika vyanzo rasmi vya Kiswahili hapa Tanzania au hata vya nchi jirani hasa Kenya.

Kwanini nasema hivyo,mimi sio mtaalamu wa lugha ya Kiswahili,ila sote tunakubaliana ya kuwa katika kutohoa na kuchukua tamko fulani la lugha nyingine huwa kunabalisha maana ya asili ya tamko husika bali kupoteza pia maana husika,na hili huwa ni jambo baya.

Unajua kwamba tamko "Tahajudi" ni tamko la asili ya kiarabu ? Je ushawahi kujiuliza maana ya asili ya tamko hilo ? Aidha kilugha au kiistilahi ?
 
Quran yenyewe inatambua kuwa mtu wa kwanza ni mweusi na watu weusi wanatoka africa [emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji112]
Huyo kuna swali nimemuuliza,nasubiri anipe majibu.
 
Una kubali kwamba hizi asili mbili zinakinzana japokuwa zote zina maana moja ?

Je kwanini zipingane ? Bila shaka kati ya hizi mbiki moja ni kweli.

Nataka tukae katika meza ya uchunguzi katika kauli yako ya kwanza ili tuone ukweli juu ya kauli hiyo ya kwanza. Pili,nakukumbusha tu,kutokuwepo kwa andiko rasmi kupinga jambo fulani haimaanishi yakuwa jambo hilo ni la kweli,yawezekana kutokana na uongo wake kuwa wazi zaidi watu wamelipuuza kwani kuwepo kwake kuna sawa na kutokuwepo kwake kwa hizo habari.

Nipo katika hiyo hiyo kauli ya kwanza,je ni nani wa kwanza kusema habari ya kuwa mwanadamu wa kwanza aliishi Tanzania ? Je walikuwa na uhakika gani kama kweli huyo ndio wa kwanza ? Je wana ripoti yoyote kutuonyesha ya kuwa walitembea dunia nzima na hawakufanikiwa kuona fuvu lolote zaidi ya hilo ? Au je walitembea dunia nzima na kukusanya mafuvu na kuyapima na kufika hitimisho ya kuwa fuvu liliopatikana Tanzania ndio la kweli ?

Pia,nina maswali kadhaa kuhusu kipimo chenyewe,hapa maswali haya nayaweka akiba,nitayauliza baada ya kujibiwa maswali hayo.
Kwa jinsi ninavyowafahamu wazungu sidhani kama kungekuwa na asili nyingine mpya wangesita kuiweka hapa .. Hawa jamaa ni wa fukunyuzi na kila uchao hawaachi kuchimba huku na kule lakini mpaka sasa hawajaja na ugunduzi mpya zaidi ya huo...
Kuhusiana na kipimo walichotumia nami nina maswali kwenye hilo... Tena nadhani nina mada... Kwamba inawezekana vipi kipimo cha kutengenezwa sasa kigundue mambo ya miaka elfu nyingi iliyopita?
 
Hili ni swali gumu kwakuwa hata ukiniuliza muda nini nitashindwa kukujibu... Lakini naweza kusema tu ya kwamba muda ni saa (sio ya kuvaa mkononi) muda ni dakika muda ni sekunde muda ni wakati na muda ni nyakati

Safi kabisa,ngoja nikuwekee baadhi ya maandiko yanayozungumzia muda,kisha nitakwambia muda ni nini na vipi unatambulika.

Anasema Allah aliye juu :

1. Naapa kwa Zama!
2. Hakika binaadamu bila ya shaka yumo katika khasara,
3. Ila wale walio amini, na wakatenda mema, na wakausiana kwa haki, na wakausiana kusubiri. (al 'Asr : 1 - 3)

Akasema tena :

43. Je! Huoni ya kwamba Mwenyezi Mungu huyasukuma mawingu, kisha huyaambatisha, kisha huyafanya mirundi? Basi utaona mvua ikitoka kati yake. Na huteremsha kutoka juu kwenye milima ya mawingu mvua ya mawe, akamsibu nayo amtakaye na akamuepusha nayo amtakaye. Hukurubia mmetuko wa umeme wake kupofua macho.
44. Mwenyezi Mungu hubadilisha usiku na mchana. Hakika katika hayo yapo mazingatio kwa wenye kuona. (an Nur : 43 - 44)

N akasema Mola mtukufu :

1. Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu aliye umba mbingu na ardhi, na akafanya giza na mwangaza. Tena baada ya haya walio kufuru wanawafanya wengine sawa na Mola wao Mlezi. (al An'am : 1)

Akasema tena Mola wetu mlezi :

36. Hakika idadi ya miezi kwa Mwenyezi Mungu ni miezi kumi na mbili katika hukumu ya Mwenyezi Mungu tangu alipo umba mbingu na ardhi. Katika hiyo iko mine mitakatifu. Hiyo ndiyo Dini iliyo sawa. Basi msidhulumu nafsi zenu humo. Na piganeni na washirikina wote kama wao wnavyo pigana nanyi nyote. Na jueni kuwa Mwenyezi Mungu yu pamoja na wachamngu. ( at Tawbah : 36 )

Akasema tena Allh aliye juu :

33. Na Yeye ndiye aliye umba usiku na mchana na jua na mwezi, vyote katika anga vinaogelea. ( al Anbiyai : 33 )

Ukisoma maandiko hayo huku ukiwa unatafakari utajua muda ni nini na ni nini kinakujukisha muda.

Narudi kukupa hitimisho la muda ......
 
Kwa jinsi ninavyowafahamu wazungu sidhani kama kungekuwa na asili nyingine mpya wangesita kuiweka hapa .. Hawa jamaa ni wa fukunyuzi na kila uchao hawaachi kuchimba huku na kule lakini mpaka sasa hawajaja na ugunduzi mpya zaidi ya huo...
Kuhusiana na kipimo walichotumia nami nina maswali kwenye hilo... Tena nadhani nina mada... Kwamba inawezekana vipi kipimo cha kutengenezwa sasa kigundue mambo ya miaka elfu nyingi iliyopita?

Kuhusu wazungu na kabla yao Wanafalsafa,kuna maneno alipata kuyasema mwanazuoni mmoja maarufu,sitamtaja jina kwa sasa alisema hivi :

"Wanafalsafa walikuwa wanafikiri na kujiuliza maswali mazuri sana na sahihi lakini walikosa ala (Silaha) za kuupata ukweli" akaenda mbali na kusema hivi "Laiti kama wasingekuwepo mitume na manabii,basi Wanafalsafa wangeonekana ni watu bora sana" au kama alivyosema.

Hao unao wasema nao wanaingia katika kundi la walio kosa ala za kuwafikisha katika ukweli. Kulingana na zama huenda hata wao wameshagundua ya kuwa dunia ya sasa haitaki au haina haja ya kujua nani alikuwa kwanza kuishi hapa duniani na hii si agenda yao kwa sasa.
 
Safi kabisa,ngoja nikuwekee baadhi ya maandiko yanayozungumzia muda,kisha nitakwambia muda ni nini na vipi unatambulika.

Anasema Allah aliye juu :

1. Naapa kwa Zama!
2. Hakika binaadamu bila ya shaka yumo katika khasara,
3. Ila wale walio amini, na wakatenda mema, na wakausiana kwa haki, na wakausiana kusubiri. (al 'Asr : 1 - 3)

Akasema tena :

43. Je! Huoni ya kwamba Mwenyezi Mungu huyasukuma mawingu, kisha huyaambatisha, kisha huyafanya mirundi? Basi utaona mvua ikitoka kati yake. Na huteremsha kutoka juu kwenye milima ya mawingu mvua ya mawe, akamsibu nayo amtakaye na akamuepusha nayo amtakaye. Hukurubia mmetuko wa umeme wake kupofua macho.
44. Mwenyezi Mungu hubadilisha usiku na mchana. Hakika katika hayo yapo mazingatio kwa wenye kuona. (an Nur : 43 - 44)

N akasema Mola mtukufu :

1. Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu aliye umba mbingu na ardhi, na akafanya giza na mwangaza. Tena baada ya haya walio kufuru wanawafanya wengine sawa na Mola wao Mlezi. (al An'am : 1)

Akasema tena Mola wetu mlezi :

36. Hakika idadi ya miezi kwa Mwenyezi Mungu ni miezi kumi na mbili katika hukumu ya Mwenyezi Mungu tangu alipo umba mbingu na ardhi. Katika hiyo iko mine mitakatifu. Hiyo ndiyo Dini iliyo sawa. Basi msidhulumu nafsi zenu humo. Na piganeni na washirikina wote kama wao wnavyo pigana nanyi nyote. Na jueni kuwa Mwenyezi Mungu yu pamoja na wachamngu. ( at Tawbah : 36 )

Akasema tena Allh aliye juu :

33. Na Yeye ndiye aliye umba usiku na mchana na jua na mwezi, vyote katika anga vinaogelea. ( al Anbiyai : 33 )

Ukisoma maandiko hayo huku ukiwa unatafakari utajua muda ni nini na ni nini kinakujukisha muda.

Narudi kukupa hitimisho la muda ......
Ukisoma maandiko hayo huku ukiwa unatafakari utajua muda ni nini na ni nini kinakujukisha muda. [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144]
 
Adamu ni mtu wa kwanza kuumbwa na Mola mlezi na aliumbwa kwa mikono yake miwili.
Kwenye kitabu cha Mwanzo ndiyo tunapata simulizi hili "Mungu akasema: Tumfanye mtu kwa mfano wetu, afanane nasi: atawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama wa kufugwa, na wanyama wa porini.... Mungu akamwumba mtu kwa mfano wake; kwa mfano wa Mungu aliwaumba; mume na mke aliwaumba... (Mwa1: 26-31)".
Baadae ndiyo linafuata simulizi la Adamu na Hawa. Katika simulizi hili tunaona kuna bustani ya Edeni (Mwa2: 5-23).
Ukisoma vizuri utagundua kwamba Adamu na Hawa ni fundisho la kiteolojia.
 
Kwenye kitabu cha Mwanzo ndiyo tunapata simulizi hili "Mungu akasema: Tumfanye mtu kwa mfano wetu, afanane nasi: atawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama wa kufugwa, na wanyama wa porini.... Mungu akamwumba mtu kwa mfano wake; kwa mfano wa Mungu aliwaumba; mume na mke aliwaumba... (Mwa1: 26-31)".
Baadae ndiyo linafuata simulizi la Adamu na Hawa. Katika simulizi hili tunaona kuna bustani ya Edeni (Mwa2: 5-23).
Ukisoma vizuri utagundua kwamba Adamu na Hawa ni fundisho la kiteolojia.
Kwahiyo unataka kusema Adamu sio mtu wa kwanza kuumbwa ?

Pili,huo mfano wa Mola kwa binadamu unafanana vipi ?

Unakubali Mola muumba ana umbile ?

Nikiijadili hiyo kauli katika mizani ya lugha kimaana inakuwa dhidi yenu na hiyo si maana iliyokusudiwa hapo. Unaweza kupinga hilo ?
 
Kwenye kitabu cha Mwanzo ndiyo tunapata simulizi hili "Mungu akasema: Tumfanye mtu kwa mfano wetu, afanane nasi: atawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama wa kufugwa, na wanyama wa porini.... Mungu akamwumba mtu kwa mfano wake; kwa mfano wa Mungu aliwaumba; mume na mke aliwaumba... (Mwa1: 26-31)".
Baadae ndiyo linafuata simulizi la Adamu na Hawa. Katika simulizi hili tunaona kuna bustani ya Edeni (Mwa2: 5-23).
Ukisoma vizuri utagundua kwamba Adamu na Hawa ni fundisho la kiteolojia.
Nadhani kabla ya Eva kuna mwanamke mwingine wa Adam aliitwa Lilith

 
Namaanisha hivi: hakuna mtu anaejua mtu wa kwanza kuumbwa aliitwa nani.
Ukweli hatahivyo, unabaki kuwa mtu aliumba.
Ukisema hakuna ajuaye bila kutoa ushahidi haya yana baki kuwa madai tu. Kielimu hupuuzwa mpaka utakapo kuja ushahidi.

Andiko lako lilionyesha kabla ya kuumbwa Adamu na alipoumbwa ndio akawa mtu wa kwanza. Hakuna andiko ambalo liko dhidi yake wala kuonyesha ya kuwa kabla ya Adamu alikuwepo kiumbe mwingine mfano wake.
 
Hakuna anaejua umbile la Mungu. Hivyo sikubali kwamba Mola ana umbile. Hatumwelewi Mola kama jinsi ya mume au mke, hapana! Yeye ni Roho halisi - hai.
Kwangu mimi ni tofauti,Mola wetu sisi ana umbile na umbile lake halifanani na la kiumbe chochote,ndio maana nakutaka unithibitishie mfanano wa Mola na binadamu.
 
Umbile ni kadiri ya kuonekana. Roho inaonekana mpaka tuseme ina umbile hili au vile?
Nimekuuliza hivi kuna roho bila umbile ?

Pili,Uhai wa Mola hauna uhusiano na Roho za viumbe wake,sababu yeye ndio alianza kuumba umauti kisha akaumba Uhai.

Kwahiyo unaposema Mola ana Roho Kamili,inabidi utupe ushahidi.
 
Ukisema hakuna ajuaye bila kutoa ushahidi haya yana baki kuwa madai tu. Kielimu hupuuzwa mpaka utakapo kuja ushahidi.

Andiko lako lilionyesha kabla ya kuumbwa Adamu na alipoumbwa ndio akawa mtu wa kwanza. Hakuna andiko ambalo liko dhidi yake wala kuonyesha ya kuwa kabla ya Adamu alikuwepo kiumbe mwingine mfano wake.
Ukisoma vizuri maandiko matakatifu utagundua simulizi la Adamu linakuja badae likitanguliwa na simulizi la kuumbwa ulimwengu: vitu vyote na mtu.
Simulizi la Adamu ni kweli za dini na siyo historia ya mtu wa kwanza kuumbwa aliitwa Adamu.
Hili siyo suala la elimu ya historia ya mwanadamu wa kwanza. Sayansi ya historia haishughuliki na kujua mtu wa kwanza aliitwa nani. Huwezi kupata ushahidi huo.
Hivyo simulizi la Adamu siyo ushahidi kwamba Adamu ndiyo alikuwa mtu wa kwanza kuumbwa.
Kujua hilo, utaona kwamba simulizi la Adamu ni la wakati wa baberi. Inakadiriwa kama miaka 500 hivi kabla ya Kristo.
 
Ukisoma vizuri maandiko matakatifu utagundua simulizi la Adamu linakuja badae likitanguliwa na simulizi la kuumbwa ulimwengu: vitu vyote na mtu.
Simulizi la Adamu ni kweli za dini na siyo historia ya mtu wa kwanza kuumbwa aliitwa Adamu.
Hakuna historia ya kale iliyonukuliwa nje ya DINI,hili hakuna ndio maana hata wewe unashindwa kunyoosha maelezo na kulenga shabaha katika lengo. Sio tu kuumbwa mwanadamu kulikuja baadae,bali Adam ndio kiumbe wa mwisho kuumbwa na kuumbwa kwake mwishoni hakuonyeshi ya kuwa kabla yake kulikuwa na mtu.

Sasa nakuuliza maswali :

1. Nani wa kwanza kuandika Historia ya mtu wa kwanza ? Na ilikuwa lini ?
2. Je kwanini tuizingatie historia ya mtu wa kwanza na kuifanya hoja ? Ni upi ukweli wake ?
3. Historia inasemaje kuhusu mtu wa kwanza kuumbwa na ilijuaje hilo ?
 
Nimekuuliza hivi kuna roho bila umbile ?

Pili,Uhai wa Mola hauna uhusiano na Roho za viumbe wake,sababu yeye ndio alianza kuumba umauti kisha akaumba Uhai.

Kwahiyo unaposema Mola ana Roho Kamili,inabidi utupe ushahidi.
Nimekujibu hivi: umbile ni kadiri ya kuonekana. Tunatambua umbile kwa kuonekana. Nje ya hapo ni vigumu kutambua umbile.
Mungu ni Roho. Mwanadamu ni Roho na Mwili. Umbile la mwanadamu ni mwili, Roho ikiwa ndani yake.
Mtu yu hai kwa sababu amepata huo uhai kutoka Kwa Mungu. Sasa vipi aliyempa uhai na iliyepata uhai wasihusiane!
Inawezekana kweli katika uzazi wa kibaiolojia, wazazi wasihusiane na mtoto waliomzaa? Kama hili tu linashindikana, vipi Mungu na viumbe wake!
 
Back
Top Bottom