Timu ambayo haijawahi kufika fainali mashindano yoyote makubwa kujilinganisha na timu yenye medali za CAF

Timu ambayo haijawahi kufika fainali mashindano yoyote makubwa kujilinganisha na timu yenye medali za CAF

Kwakweli inashangaza sana mkuu....ila. naskia wamewahi kufika fainali ya Abiola ndondo cup....

But medal hawakupewa
Una medali halafu haupo kwenye African Footbal League. 😀😀😀😀😀
Unajisifu umechukua medali za shirikisho wakati kipindi hicho Simba anacheza Champion League.
Huu mfano utaulewa
Kipindi Yanga anacheza fainal za Ueropa League anachukua medali, Simba anacheza UEFA Champion League mpk robo fainal. Hata Yanga ingechukua kombe bado isingefika ubora wa SIMBA kwasababu ipo shirikisho. USM ulger alikuwa nafasi ya ngapi?
Timu kubwa inajisifu imechukua medali za shirikisho? USM Alger utaisemaje?
Timu kubwa zinacheza CAF Champion League na Africal Footbal Club
 
Huwa inashangaza sana kuona baadhi ya vilabu vya ukanda wa Afrika Mashariki kama FC Leopards, Azam, Gor mahia sijui Simba, APR n.k kuthubutu kujilinganisha na Yanga ambayo imepiga hatua kubwa sana katika bara la Afrika kiujumla kwa kutwaa medali na tuzo za kumwaga!

Walau Yanga unaweza kuiweka katika kundi moja na Mamelodi, Wydad na Al Ahly kwani wote walau wamefika fainali katika michuano mikubwa mikubwa barani Afrika na zinafanya vyema nje na ndani ya nchi zao japo Yanga inawazidi kwa kutwaa Ligi za ndani mara nyingi zaidi. Hii inathibitisha akili zao zinatia mashaka na si bure baadhi yao kuitwa majina ya Mbumbumbu fc
Aliyekwambia kombe la shirikisho ni mashindano makubwa ni nani, tumuulize manara ?
 
Simba wakikumbuka jinsi walivyoroga uwanjani kwa Orlando pirates na kupigwa faini halafu yanga akatinga final nyongo zinawatibuka kweli kweli
 
Back
Top Bottom