Timu Diamond mjinyonge, Alikiba jukwaa moja na Chris Brown

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Wakuu niaje.....

Tupi huku Mombasa......Kenya.....

Leo tupo huku Mombasa kwanye shoo ya kihistoria......

Chris brow kutoka Usa amekuja kufanya show ya kihistoria .....

Kikubwa zaid atapanda jukwaa moja na Alikiba ....

Vanessa pia atakuwepo .....

Njooni huku tule bata.......

Timu diamond mjinyonge tu....
 
 
Hivi hizo team huwa mnalipwa.....? dah mjini kuna mengi
 

Rekebisha, Vanessa hatakuwepo, uwezo mdogo alaf anataka M150 kama alizopewa kiba, promoter kamchomole nje.

[HASHTAG]#ChrisWizKiba[/HASHTAG]
 
Unachekesha sana
Ingekuwa mnahesabu hata kujenga nusu ya madale ningekuelewa ila kuimba kukanyaga sehemu moja haina tija.

Muambie aombe kupaishwa pia

Halafu siku hizi hatufatilii nani kaimba nani kawa wapi

Tunafatilia madili yakuhesabu pesa tu

Tupo ngazi ya juu tunapambana tununue na holiday home Walipo mabilionea wa duniani tuote jua pamoja
 
Kuona kwamba haina tija nasikia vanessa kaipiga chini hiyo show.
 
Relax basi, sukari itapanda bureee mwisho ushindwe kushuhudia show...
Uishie kuicheki you tube huku drip mkononi.
So huyo Chris brow ni msanii mpya?
[emoji23] [emoji23] nlijiuliza pia
 
Acha unafiki vanessa kasema yeye hafanyi show kwa laki 8 kama alikiba kisa brown yupo so kaitolea nje hiyo show....msanii unatakiwa uijue thamani yako sio kisa brown yupo ndo thamn yako ishuke....na waandaaji walijua diamond angewatoa jasho kwenye pesa maan jamaa kwassa bila million 100 humpandishi jukwaani wakati huo huyu mtoto wa kariakoo hata kwa laki mbil anapanda.
 
dah bonge la shavuu kinomanoma the King[emoji146][emoji146]kibaa ndiyoo mfalume wao
 
Wenzenu tumeshazoea mambo hayo nyie ndo wageni
 
dah bonge la shavuu kinomanoma the King kibaa ndiyoo mfalume wao
Hahahahaa who is neyo? Muda wake umeshaisha mzee neyo ni sawa na inspekta haroon hapa bongo.

Chris Brown ndiyo habari ya mjini kwa sasa
Nyie watu mna kelele aisee,hivi huyo kiba akifika level za DIAMOND humu ndani si hakutakalika.......??

1.Kazidiwa pesa na DIAMOND.
2.Kazidiwa tuzo na DIAMOND.
3.Kazidiwa shoo na DIAMOND.
4.DIAMOND ana lebel kiba hana.
5.DIAMOND ana bendi kiba hana.
6.DIAMOND ana mijengo kiba yupo kwa maza.
7.DIAMOND anayo recording studio kiba hana.
8.DIAMOND ana wasanii wenye levo za kiba.
9.DIAMOND anapiga gittah,kiba hawezi chombo chochote cha muziki.
 
Nilitaka kushangaa yani mkeleketwa namba moja wa WCB asije sehemu aliyoona katajwa Alikiba labda kama hana MB, huyu jamaa inawezekana anamchukia Alikiba kuliko ata Diamond mwenyewe, kama hizi team waga wanapokea mshahara basi huyu jamaa anastahili kuongoza kwa malipo

Anyway wakati kiba ye akiishia kupanda jukwaa moja na chris brown, mondi atapiga nae collabo kabisa maana mendezi (sallaam) yuko njiani kuelekea kenya
 
Usiishie hapo mkuu diamond kaanza mziki juzi tu ila kamzidi uyo babu jinga kwa Mengi Msimpambanishe diamond na mizee iyo ilisha fua kuona dogo kawakamata wanafia kiki kwa kutelezea nyota ya madale ushamba mzigo sana uyo chrisbrown wanafanya collabo au? ataishia ya one eight na r.kelly bila diamond hakuna kibakuli over.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…