Timu Diamond mjinyonge, Alikiba jukwaa moja na Chris Brown

Timu Diamond mjinyonge, Alikiba jukwaa moja na Chris Brown

Hivi hizo team huwa mnalipwa.....? dah mjini kuna mengi
walipwe wapi zaidi ya wao kutumia vifurushi vyao kuanzisha ubishani usiokuwa na tija yeyote. Wanafikia mpaka kutukanana na kupigana lakini mwisho wa siku hawaambulii hata thumni ya mafanikio ya huyo wanaodhani wanampigania.
 
Mbona alishaimba na Rkelly Kabisa ila kiko wapi? Sembuse hiyo Chris?

Tatizo sio anafanya kazi na nani? Tatizo ni strategies tu! Hana mpango Mkakati wowote zaidi ya kujishindanisha na mtu ambaye hata hana time nae.

Yeye aendelee kufocus tu kumshinda Diamond.. Mwanzake anafocus kuunyanyua mziki wetu kimataifa na kuwasaidia vijana wenzake wenye vipaji wanufaike na mziki.

Ukitaka kuamini haya niyasemayo ona hata aliwaambia mashabiki wake wampigie kura Kiba apate tuzo heshima ice Tanzania kitu ambacho Kiba asingeweza kuwambia mashabiki wake wampigie Diamond.

Kwanza Kiba mwenyewe amejaa dharau na majivuno as if yeye ndie mwanzilishi wa mziki duniani.
 
Hawa ndio watakaokanyaga steji ya MombasaRocks Festival

1. Chris Bwrown

2. Wizkid

3. Vanessa Mdee (Amejitoa Jana, shoo ya kuuza sura, malipo kidunchu kwa wasanii wa East Africa)

4. El Shaqo

5. Nazizi

6. Navio

7. Ali Kiba (Huyu anashangilia kama anaenda peponi!! Yeye hajali malipo kidunchu au hajapewa VIP treatment kwenye hilo tamasha kama wenzake akina Wizkid! Yeye mwanakwetu alimradi akauze sura tu... Akirudi ukimuuliza atakwambia amelipwa Bilioni 1 [emoji1] [emoji1] )



Cc: peterchoka Shardcole samsun Evelyn Salt
mzurimie
 
7. Ali Kiba (Huyu anashangilia kama anaenda peponi!! Yeye hajali malipo kidunchu au hajapewa VIP treatment kwenye hilo tamasha kama wenzake akina Wizkid! Yeye mwanakwetu alimradi akauze sura tu... Akirudi ukimuuliza atakwambia amelipwa Bilioni 1 [emoji1] [emoji1] )



Cc: peterchoka Shardcole samsun Evelyn Salt
mzurimie
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hawa ndio watakaokanyaga steji ta MombasaRocks Festival

1. Chris Bwrown

2. Wizkid

3. Vanessa Mdee (Amejitoa Jana, shoo ya kuuza sura, malipo kidunchu kwa wasanii wa East Africa)

4. El Shaqo

5. Nazizi

6. Navio

7. Ali Kiba (Huyu anashangilia kama anaenda peponi!! Yeye hajali malipo kidunchu au hajapewa VIP treatment kwenye hilo tamasha kama wenzake akina Wizkid! Yeye mwanakwetu alimradi akauze sura tu... Akirudi ukimuuliza atakwambia amelipwa Bilioni 1 [emoji1] [emoji1] )



Cc: peterchoka Shardcole samsun Evelyn Salt
mzurimie
Haha mtani bhana hukosagi maneno wewe
 
mmmh 150
halafu Cris brown analipwa ngapi
mbona wamemnyonya
king kibakuli[emoji102]
 
Hawa ndio watakaokanyaga steji ya MombasaRocks Festival

1. Chris Bwrown

2. Wizkid

3. Vanessa Mdee (Amejitoa Jana, shoo ya kuuza sura, malipo kidunchu kwa wasanii wa East Africa)

4. El Shaqo

5. Nazizi

6. Navio

7. Ali Kiba (Huyu anashangilia kama anaenda peponi!! Yeye hajali malipo kidunchu au hajapewa VIP treatment kwenye hilo tamasha kama wenzake akina Wizkid! Yeye mwanakwetu alimradi akauze sura tu... Akirudi ukimuuliza atakwambia amelipwa Bilioni 1 [emoji1] [emoji1] )



Cc: peterchoka Shardcole samsun Evelyn Salt
mzurimie
ILA MIZOMBI IMEKAZANA TU OOOOOH ANATUMBUIZA NA CHRISS KAMA VILE WAO WAWILI TU,KUMBE KUNA LUUUUUUUUUUUNDO LA WASANII.
 
Hawa ndio watakaokanyaga steji ya MombasaRocks Festival

1. Chris Bwrown

2. Wizkid

3. Vanessa Mdee (Amejitoa Jana, shoo ya kuuza sura, malipo kidunchu kwa wasanii wa East Africa)

4. El Shaqo

5. Nazizi

6. Navio

7. Ali Kiba (Huyu anashangilia kama anaenda peponi!! Yeye hajali malipo kidunchu au hajapewa VIP treatment kwenye hilo tamasha kama wenzake akina Wizkid! Yeye mwanakwetu alimradi akauze sura tu... Akirudi ukimuuliza atakwambia amelipwa Bilioni 1 [emoji1] [emoji1] )



Cc: peterchoka Shardcole samsun Evelyn Salt
mzurimie
Mkuu hujaandaa story sensitive nyingine ya Kijasusi utupe tuchangamke kidogo.
 
Nilitaka kushangaa yani mkeleketwa namba moja wa WCB asije sehemu aliyoona katajwa Alikiba labda kama hana MB, huyu jamaa inawezekana anamchukia Alikiba kuliko ata Diamond mwenyewe, kama hizi team waga wanapokea mshahara basi huyu jamaa anastahili kuongoza kwa malipo

Anyway wakati kiba ye akiishia kupanda jukwaa moja na chris brown, mondi atapiga nae collabo kabisa maana mendezi (sallaam) yuko njiani kuelekea kenya
Ngoja nimsaidie huyo jamaa,msimuonee bure, hivi unawezaje kumuona huyo jamaa kwenye kila uzi unaomtaja kiba,kama sio na wewe hupo kwenye hizo uzi ................. ( usiponijibu basi wewe na huyo jamaa,wewe ndio upo kwenye kila uzi unao muhusu huyo kiba,ila anawakera kwa vile hapendi ujinga ujinga.)
 
Hawa ndio watakaokanyaga steji ya MombasaRocks Festival

1. Chris Bwrown

2. Wizkid

3. Vanessa Mdee (Amejitoa Jana, shoo ya kuuza sura, malipo kidunchu kwa wasanii wa East Africa)

4. El Shaqo

5. Nazizi

6. Navio

7. Ali Kiba (Huyu anashangilia kama anaenda peponi!! Yeye hajali malipo kidunchu au hajapewa VIP treatment kwenye hilo tamasha kama wenzake akina Wizkid! Yeye mwanakwetu alimradi akauze sura tu... Akirudi ukimuuliza atakwambia amelipwa Bilioni 1 [emoji1] [emoji1] )



Cc: peterchoka Shardcole samsun Evelyn Salt
mzurimie
Ha ha ha ha ha ha ha ilmradi kaimba Yoooooo
 
Hawa ndio watakaokanyaga steji ya MombasaRocks Festival

1. Chris Bwrown

2. Wizkid

3. Vanessa Mdee (Amejitoa Jana, shoo ya kuuza sura, malipo kidunchu kwa wasanii wa East Africa)

4. El Shaqo

5. Nazizi

6. Navio

7. Ali Kiba (Huyu anashangilia kama anaenda peponi!! Yeye hajali malipo kidunchu au hajapewa VIP treatment kwenye hilo tamasha kama wenzake akina Wizkid! Yeye mwanakwetu alimradi akauze sura tu... Akirudi ukimuuliza atakwambia amelipwa Bilioni 1 [emoji1] [emoji1] )



Cc: peterchoka Shardcole samsun Evelyn Salt
mzurimie
Umewasahau sauti sol na
Bebe cool nao watakuepo
 
Watu wanasahau kuwa Kiba alishawahi kuimba na R.Kelly,sidhani kama Chris Brown amewahi kufika level ya R.Kelly
 
Back
Top Bottom