Hawa ndio watakaokanyaga steji ta MombasaRocks Festival
1. Chris Bwrown
2. Wizkid
3. Vanessa Mdee (Amejitoa Jana, shoo ya kuuza sura, malipo kidunchu kwa wasanii wa East Africa)
4. El Shaqo
5. Nazizi
6. Navio
7. Ali Kiba (Huyu anashangilia kama anaenda peponi!! Yeye hajali malipo kidunchu au hajapewa VIP treatment kwenye hilo tamasha kama wenzake akina Wizkid! Yeye mwanakwetu alimradi akauze sura tu... Akirudi ukimuuliza atakwambia amelipwa Bilioni 1 [emoji1] [emoji1] )
Cc:
peterchoka Shardcole samsun Evelyn Salt
mzurimie