Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi, mfano CECAFA inajumuisha nchi zote za East African Community + Somalia, Sudan, Eritrea na Ethiopia ambazo hazipo ndani EAC (Rwanda, Tanzania, Kenya, Uganda, Burundi na Southern Sudan).Haaaa, we jamaa wewe da! Euro ni michuano ya soka mataifa yote ya Ulaya yaliyofuzu. Jumuiya ya Ulaya ni kama AU ya Africa au Afrika Mashariki.
TFF wamemepeleka barua wajiunge UEFA maana uku Africa hamna ushindan tusuburie majibu inawezekana Tz tukapata iyo nafac [emoji12]Baada ya Waingereza Kupiga Kura ya Kujitoa Euro na huku wamefuza 16 BORA nawasiliasha mada hii chokonozi
Waipe nafasi Harambee stars ya Kenya na coalition of willing yao🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
Chama tawala!! [emoji1] [emoji1]Kweli nimeamini kazi ya akili za watanzania wengi ni za kupigia kura tu
Itaendelea kushiriki2 kwakuwa "wamejtoa kwenye umoja wa ulaya hawajajtoa bara la ulaya" kwakuwa UEFA ni shirikisho la soka barani ulaya na halina uhusiano wwte na political issues za europe basi wingereza kama nch pamoja na vlabu vyake vtaendlea kushrk mashindano yte yanayoandaliwa na UEFA n sawa na Tanzania kujitoa AU bado timu ya taifa pamoja na vilabu vya hpa vtaendlea kushirk mashndano yte yanayoandaliwa na CAF.Timu ya taifa ya UINGEREZA itaendelea kushiriki Euro?.