Timu gani ya mpira unaichukia sana? Na kwa nini?

Naichukia sana Simba sababu rangi yao inafanana na pazia la sangoma uwa ikifungwa kwangu burudani wengine MAN U

Inaonekana unaendaga sana kwa sangoma [emoji3]
 
Naangalia timu zenye mafanikio kupitia comments zenu.
 
KAMA UMEAMUA KUWASEMA YANGA WASEME WAZIWAZI SIO KUJIFICHA KWA MGONGO WA MAN U.ha ha ha ha
 
Naichukia Yanga kuliko nnavomchukia Shetani...Japo huyo shetan mwenyewe sijawahi kumuona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…