Timu inashinda bao 7 na mpira mwingi sana, ya nini kutafuta Kocha mpya wa kumrithi Mgunda?

Timu inashinda bao 7 na mpira mwingi sana, ya nini kutafuta Kocha mpya wa kumrithi Mgunda?

Sio kila mechi mtacheza na wapinzani 9 uwanjani msiongee maneno mkamaliza, mechi na mtibwa mlishinda goli 5 baada ya kadi 2 nyekundu, mechi na prison mmeshinda goli 7 baada ya kadi moja nyekundu, Na mshaanza midomo mirefu mnaferi wapi nyie vijana wa rage
Ushindi mzito wa Simba jana umewaumiza roho sana.
 
Sio kila mechi mtacheza na wapinzani 9 uwanjani msiongee maneno mkamaliza, mechi na mtibwa mlishinda goli 5 baada ya kadi 2 nyekundu, mechi na prison mmeshinda goli 7 baada ya kadi moja nyekundu, Na mshaanza midomo mirefu mnaferi wapi nyie vijana wa rage
Mechi na Geita gold walikua wangapi kiwanjani? Acha wivu nguruwe wewe
 
1. Hakuna kocha wa ligi kuu aliyeshinda bao 7 hadi sasa zaidi ya Simba.

2. Kuna siku Mgunda atamfunga mtu 10.

3. Kuondoka kwa Barbra watu wa kazi wamerudi ndani ya timu.

4. Onyango amechoka na hastahili kuendelea kuwa Simba, kuna siku tutalia.

5. Simba imuongeze Kevin Nashon, Mudathiri Yahya na yule Zibona wa Prisons.

6. Saido Ntibazonkiza mtu mbad sana.

7. Mpira mwingi sana unapigwa Simba, ya nini kutafuta kocha mgeni.

8. Mgunda Kocha Bora mwezi Disemba.

9. Kombe la Mapinduzi tuwapime
wachezaji tunaotaka kusajili.

10. Tunataka wachezaji kama Ntibazonkiza, anasajiliwa anaanza sio anakuja kukaa benchi kama Akpan, Okwa, Quattar.

11. Simba impeleke kwa mkopo Peter Banda, kwani pembeni imekamilika sana.

12. Kumleta kocha wa kigeni wakati mpira unapigwa mwingi ni kuivuruga timu.
Watamleta kocha mpya kwa sababu Mgunda ni Mtanzania. Ila mpaka sasa ninachokiona inatakiwa Mgunda aongezewe wachezaji
 
Sio kila mechi mtacheza na wapinzani 9 uwanjani msiongee maneno mkamaliza, mechi na mtibwa mlishinda goli 5 baada ya kadi 2 nyekundu, mechi na prison mmeshinda goli 7 baada ya kadi moja nyekundu, Na mshaanza midomo mirefu mnaferi wapi nyie vijana wa rage
Na mlivyopigwa goli 5 hapo taifa nani alipewa kadi nyekundu hebu tutolee ufwala wako huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kama umeumia saga chupa unywe topolo weeeee
 
Watamleta kocha mpya kwa sababu Mgunda ni Mtanzania. Ila mpaka sasa ninachokiona inatakiwa Mgunda aongezewe wachezaji
Simba kumleta kocha mpya, siyo jambo la kushtua. Maana mpaka sasa ni mwezi wa ngapi sijui huu, timu haina kocha wa kudumu!

Juma Mgunda tangu siku ya kwanza, alitambulishwa kama kocha wa muda (deiwaka), baada ya kocha wa wakati huo (Zoran wa Mlete Mzungu), kubwaga manyanga.
 
Back
Top Bottom