OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Akijibu nitagNakukumbusha tu ulikula goli 5 bila kadi nyekundu
Goli 5 kadi nyekundu, goli 7 kadi nyekundu.....nawaza tu [emoji143][emoji87]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hebu fikiria wakati kadi nyekundu inatolewa, matokeo yalikuwa ni 1-1! Kiufupi tu, hakuna timu hapo.Goli 5 kadi nyekundu, goli 7 kadi nyekundu.....nawaza tu [emoji143][emoji87]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Wewe je hukula goal tano mara mbili bila kadiNakukumbusha tu ulikula goli 5 bila kadi nyekundu
Ushindi mzito wa Simba jana umewaumiza roho sana.Sio kila mechi mtacheza na wapinzani 9 uwanjani msiongee maneno mkamaliza, mechi na mtibwa mlishinda goli 5 baada ya kadi 2 nyekundu, mechi na prison mmeshinda goli 7 baada ya kadi moja nyekundu, Na mshaanza midomo mirefu mnaferi wapi nyie vijana wa rage
Hifadhi tu na maumivu uliyonayo.Nauhifadhi huu Uzi kwa ajili ya mechi zijazo
😂😂😂Nakukumbusha tu ulikula goli 5 bila kadi nyekundu
Mechi na Geita gold walikua wangapi kiwanjani? Acha wivu nguruwe weweSio kila mechi mtacheza na wapinzani 9 uwanjani msiongee maneno mkamaliza, mechi na mtibwa mlishinda goli 5 baada ya kadi 2 nyekundu, mechi na prison mmeshinda goli 7 baada ya kadi moja nyekundu, Na mshaanza midomo mirefu mnaferi wapi nyie vijana wa rage
Kwa hiyo nguruwe kapost haaa haaaMechi na Geita gold walikua wangapi kiwanjani? Acha wivu nguruwe wewe
Hebu fikiria wakati kadi nyekundu inatolewa, matokeo yalikuwa ni 1-1! Kiufupi tu, hakuna timu hapo.
Lakini hauwazi rafu za kizembe wanazofanya hao wanaopewa kadi nyekunduGoli 5 kadi nyekundu, goli 7 kadi nyekundu.....nawaza tu [emoji143][emoji87]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Watamleta kocha mpya kwa sababu Mgunda ni Mtanzania. Ila mpaka sasa ninachokiona inatakiwa Mgunda aongezewe wachezaji1. Hakuna kocha wa ligi kuu aliyeshinda bao 7 hadi sasa zaidi ya Simba.
2. Kuna siku Mgunda atamfunga mtu 10.
3. Kuondoka kwa Barbra watu wa kazi wamerudi ndani ya timu.
4. Onyango amechoka na hastahili kuendelea kuwa Simba, kuna siku tutalia.
5. Simba imuongeze Kevin Nashon, Mudathiri Yahya na yule Zibona wa Prisons.
6. Saido Ntibazonkiza mtu mbad sana.
7. Mpira mwingi sana unapigwa Simba, ya nini kutafuta kocha mgeni.
8. Mgunda Kocha Bora mwezi Disemba.
9. Kombe la Mapinduzi tuwapime
wachezaji tunaotaka kusajili.
10. Tunataka wachezaji kama Ntibazonkiza, anasajiliwa anaanza sio anakuja kukaa benchi kama Akpan, Okwa, Quattar.
11. Simba impeleke kwa mkopo Peter Banda, kwani pembeni imekamilika sana.
12. Kumleta kocha wa kigeni wakati mpira unapigwa mwingi ni kuivuruga timu.
Endelea kuwaza ukistuka watu waleeeeeeeeeeeeGoli 5 kadi nyekundu, goli 7 kadi nyekundu.....nawaza tu [emoji143][emoji87]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Na mlivyopigwa goli 5 hapo taifa nani alipewa kadi nyekundu hebu tutolee ufwala wako huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio kila mechi mtacheza na wapinzani 9 uwanjani msiongee maneno mkamaliza, mechi na mtibwa mlishinda goli 5 baada ya kadi 2 nyekundu, mechi na prison mmeshinda goli 7 baada ya kadi moja nyekundu, Na mshaanza midomo mirefu mnaferi wapi nyie vijana wa rage
Dakika ya ngapi?Umesahau goli 5 dhidi ya geita na red card pia ilitoka
Simba kumleta kocha mpya, siyo jambo la kushtua. Maana mpaka sasa ni mwezi wa ngapi sijui huu, timu haina kocha wa kudumu!Watamleta kocha mpya kwa sababu Mgunda ni Mtanzania. Ila mpaka sasa ninachokiona inatakiwa Mgunda aongezewe wachezaji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kadi nyekundu ndio ujinga gani yani mtu acheze madhambi halafu aachwe tu
NB: MSIMU WA 2016/2017 SIMBA AKIWA NA NYEKUNDU ALIMGONGA UTO 2:1.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unalia ukiwa wapiiiiiii??? Afu usitoe sauti, lia taratibu. PoleeeeeeeehHebu fikiria wakati kadi nyekundu inatolewa, matokeo yalikuwa ni 1-1! Kiufupi tu, hakuna timu hapo.