Timu itakayo shangaza watu EPL 2019/2020...

Timu itakayo shangaza watu EPL 2019/2020...

Endelea kupiga ramli na kujipa moyo

Kwa kikosi cha sasa cha Chelsea huwez kupambana hata na Watford mwenye midfield Kali , na winger Isamail sarr na double forward deney na welbek

Chelsea ana forward butu kuliko Everton wenye IWOBI-RICHARLSON- KEAN

sasa endelea kujidanganya ,ikiwa kwenye preseason hiyo beki ilikuwa inaruhusu magoli hadi matatu kwa mechi

Mwisho Chelsea ina kipa ambaye bado hana uzoefu ,natabiri msimu huu Chelsea kumaliza nafasi ya 7-10
Mbona hata wewe unapiga ramli. Zungumza baada ya timu kukutana.
 
Niko pamoja na wewe.


Binafsi nina uhakika na timu yangu kuwa itafanya vizuri msimu huu. Hakika hawato amini.

Huwa hatubembelezi mchezaji ukitaka kusepa wewe sepa. Wala hakuna atayekupigia magoti eti uwe kama Mungu pale chelsea.
 
Mimi ni shabiki kindakindaki wa Chelsea lakini nikiweka ushabiki pembeni msimu huu tukiambulia hata nafasi ya sita tushiriki Europa 2020/2021 basi bahati itakuwa upande wetu
 
Yapo maneno mengi kuwa Chelsea ni dhaifu msimu huu kuliko timu nyingi za EPL, hii imetokana na vitu vitatu ambavyo me naona havina mashiko...

kitu cha kwanza,, kuzuiwa kusajili, hapa tukumbuku Chelsea ilikua tayar imeshamsajili Pulisic ambayo naona kwa 90% atakua mbadala wa Eden,,

Jambo la pili nikuondoka kwa wachezaji muhimu,, kuondoka kwa hazard kwel ni pengo lakini ujio wa Pulisic imezima dhana hii na kupunguza pengo amabalo kimsingi lingeonekana... kwa upande wa Luiz sioni hata lengo lake, na mwenyewe aliondoka baada ya kuona nafasi yake itakua ndogo baada ya kijana Zouma kulejea Stamford...

Jambo LA tatu, ni Frankie Lampard kuambiwa hana uzoefu,, jamani Uwezo ni muhimu kuliko uzoefu ndo maana zidanw aliweza kufanikiwa na Madrid huku akiwa hana uzoefu...

Beki ya Chelsea itaundwa na Azi, Christensen, Emerson, Rudiger, Zouma, Alonso, Zapacosta pamoja na kijana mdgo James.. hapa kwa mfumo wa beki wanne namuona Rudiger na zouma katikati huku pembeni akicheza Azip na Emerson/ Alonso,, Hebu nambie yupo hata uzoefu hapo? au yupi ni beki dhaifu??

katikati hapa ndo pamenoga zaid,, kuna Kante nadhani hahitaji maneno mengi kumuelezea, yupo Joginho, Mateo, Barkery, Bakayoko na Monson mont.. hapa kwenye first eleven ni Kante, Joginho na barker/ Mateo sijui unataka combination gana zaid ya hii... wakati Kante anasaidia defence, Joginho anatulipa katikati huku Barkery akianzisha mashambulizi...

Hapa mbele yupo William, Pedro, tarented Culum Hudson Odoi (CHO), Roben loftus Cheek, yupo Pulisic ( Captain America) yupo Batman ( New Drogba ) na Olivier Giroud.. Sasa hebu nasiidie mwenyewe kuchagua mwenyewe watatu wa kuanza hapa... Ila kumbuka Captain America wanaweza cheza kama central striker..

Nimesahau kipa eeeh,,, hapa yupo Spain number one,, Keppa arrinini sijui,,, huyu mtoto anaenda kuchukua namba vya De gea pale Spain believe me...

Lampard hana uzoefu?? amecheza final ya play off unataka... hebu nikumbushe wakati zedane anaichukua Madrid alitokea timu gani iliyokua inashiliki LA liga au alitokea EPL ??

Chelsea isibezwe, bado ni timu bora EPL
Gunners at least tumetibu ugonjwa wetu,hope tutakuwa washindani this season
 
Mimi ni shabiki kindakindaki wa Chelsea lakini nikiweka ushabiki pembeni msimu huu tukiambulia hata nafasi ya sita tushiriki Europa 2020/2021 basi bahati itakuwa upande wetu
Wewe sio fan wa chelsea utakuwa ni MAMLUKI ..ukiwa fan wa Club kama Chelsea, utakiwi kuwa nizamu ya uwoga..
 
Maneno ya kujifariji haya pale EPL timu kama Man Utd,Chelsea bado zina safari ndefu sana kutwaa ubingwa
Yapo maneno mengi kuwa Chelsea ni dhaifu msimu huu kuliko timu nyingi za EPL, hii imetokana na vitu vitatu ambavyo me naona havina mashiko...

kitu cha kwanza,, kuzuiwa kusajili, hapa tukumbuku Chelsea ilikua tayar imeshamsajili Pulisic ambayo naona kwa 90% atakua mbadala wa Eden,,

Jambo la pili nikuondoka kwa wachezaji muhimu,, kuondoka kwa hazard kwel ni pengo lakini ujio wa Pulisic imezima dhana hii na kupunguza pengo amabalo kimsingi lingeonekana... kwa upande wa Luiz sioni hata lengo lake, na mwenyewe aliondoka baada ya kuona nafasi yake itakua ndogo baada ya kijana Zouma kulejea Stamford...

Jambo LA tatu, ni Frankie Lampard kuambiwa hana uzoefu,, jamani Uwezo ni muhimu kuliko uzoefu ndo maana zidanw aliweza kufanikiwa na Madrid huku akiwa hana uzoefu...

Beki ya Chelsea itaundwa na Azi, Christensen, Emerson, Rudiger, Zouma, Alonso, Zapacosta pamoja na kijana mdgo James.. hapa kwa mfumo wa beki wanne namuona Rudiger na zouma katikati huku pembeni akicheza Azip na Emerson/ Alonso,, Hebu nambie yupo hata uzoefu hapo? au yupi ni beki dhaifu??

katikati hapa ndo pamenoga zaid,, kuna Kante nadhani hahitaji maneno mengi kumuelezea, yupo Joginho, Mateo, Barkery, Bakayoko na Monson mont.. hapa kwenye first eleven ni Kante, Joginho na barker/ Mateo sijui unataka combination gana zaid ya hii... wakati Kante anasaidia defence, Joginho anatulipa katikati huku Barkery akianzisha mashambulizi...

Hapa mbele yupo William, Pedro, tarented Culum Hudson Odoi (CHO), Roben loftus Cheek, yupo Pulisic ( Captain America) yupo Batman ( New Drogba ) na Olivier Giroud.. Sasa hebu nasiidie mwenyewe kuchagua mwenyewe watatu wa kuanza hapa... Ila kumbuka Captain America wanaweza cheza kama central striker..

Nimesahau kipa eeeh,,, hapa yupo Spain number one,, Keppa arrinini sijui,,, huyu mtoto anaenda kuchukua namba vya De gea pale Spain believe me...

Lampard hana uzoefu?? amecheza final ya play off unataka... hebu nikumbushe wakati zedane anaichukua Madrid alitokea timu gani iliyokua inashiliki LA liga au alitokea EPL ??

Chelsea isibezwe, bado ni timu bora EPL
 
Hatoki mtu
fc820ba264cf9cc0543878b1b4ad7057.jpeg
 
Hapo beki kuna dogo anaitwa Tomori. Ilikuwa aende Everton kwa mkopo, Luiz alipoondoka akazuiwa abaki. Alikuwa Derby na Mason Mount. Lampard anamuaminia sana. Mbele jersey namba 9 ni dogo Tammy Abraham. Lampard akiwaamini akawatupa uwanjani jituma yao itakuwa balaa. Kila mtu anataka aoneshe makeke. Acha wajiaminishe kuwa Chelsea atapotea....ila wajue miaka 3 haipitagi Chelsea hajachukua kombe [emoji851]
Abraham Hana tofauti na Adam salamba
 
Yapo maneno mengi kuwa Chelsea ni dhaifu msimu huu kuliko timu nyingi za EPL, hii imetokana na vitu vitatu ambavyo me naona havina mashiko...

kitu cha kwanza,, kuzuiwa kusajili, hapa tukumbuku Chelsea ilikua tayar imeshamsajili Pulisic ambayo naona kwa 90% atakua mbadala wa Eden,,

Jambo la pili nikuondoka kwa wachezaji muhimu,, kuondoka kwa hazard kwel ni pengo lakini ujio wa Pulisic imezima dhana hii na kupunguza pengo amabalo kimsingi lingeonekana... kwa upande wa Luiz sioni hata lengo lake, na mwenyewe aliondoka baada ya kuona nafasi yake itakua ndogo baada ya kijana Zouma kulejea Stamford...

Jambo LA tatu, ni Frankie Lampard kuambiwa hana uzoefu,, jamani Uwezo ni muhimu kuliko uzoefu ndo maana zidanw aliweza kufanikiwa na Madrid huku akiwa hana uzoefu...

Beki ya Chelsea itaundwa na Azi, Christensen, Emerson, Rudiger, Zouma, Alonso, Zapacosta pamoja na kijana mdgo James.. hapa kwa mfumo wa beki wanne namuona Rudiger na zouma katikati huku pembeni akicheza Azip na Emerson/ Alonso,, Hebu nambie yupo hata uzoefu hapo? au yupi ni beki dhaifu??

katikati hapa ndo pamenoga zaid,, kuna Kante nadhani hahitaji maneno mengi kumuelezea, yupo Joginho, Mateo, Barkery, Bakayoko na Monson mont.. hapa kwenye first eleven ni Kante, Joginho na barker/ Mateo sijui unataka combination gana zaid ya hii... wakati Kante anasaidia defence, Joginho anatulipa katikati huku Barkery akianzisha mashambulizi...

Hapa mbele yupo William, Pedro, tarented Culum Hudson Odoi (CHO), Roben loftus Cheek, yupo Pulisic ( Captain America) yupo Batman ( New Drogba ) na Olivier Giroud.. Sasa hebu nasiidie mwenyewe kuchagua mwenyewe watatu wa kuanza hapa... Ila kumbuka Captain America wanaweza cheza kama central striker..

Nimesahau kipa eeeh,,, hapa yupo Spain number one,, Keppa arrinini sijui,,, huyu mtoto anaenda kuchukua namba vya De gea pale Spain believe me...

Lampard hana uzoefu?? amecheza final ya play off unataka... hebu nikumbushe wakati zedane anaichukua Madrid alitokea timu gani iliyokua inashiliki LA liga au alitokea EPL ??

Chelsea isibezwe, bado ni timu bora EPL
kuna habari gani tena?
 
Kila nikiichungulia hii mech naziona 3+ ,najitahid labda Chelsea atapigwa 2-0 , roho inaniambia kuna 3+

Ngoja tusubiri
Nilisema kila nikichungulia naziona 3+ ,kila nikichungulia labda kuna 2-0 roho inagoma
 
Back
Top Bottom