Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Timu kubwa.... watu wakubwa
Shirikisho la Soka Ulimwenguni (FIFA), limemchagua Mkurugenzi wa Sheria wa Yanga SC Simon Patrick kuwa Mwanasheria wa FIFA anayeshughulikia masuala ya migogoro ya Wachezaji Duniani kote kwa kipindi cha miaka mitatu.
NB hii ndio faida ya kufika fainali [emoji23][emoji23]
Shirikisho la Soka Ulimwenguni (FIFA), limemchagua Mkurugenzi wa Sheria wa Yanga SC Simon Patrick kuwa Mwanasheria wa FIFA anayeshughulikia masuala ya migogoro ya Wachezaji Duniani kote kwa kipindi cha miaka mitatu.
NB hii ndio faida ya kufika fainali [emoji23][emoji23]