Timu mbovu ya Yanga imewezaje kuongoza ligi hadi sasa?

Timu mbovu ya Yanga imewezaje kuongoza ligi hadi sasa?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Nafuatilia game ya Mbeya city na Yanga, kiukweli kiwango kibovu kinachoonyeshwa na Yanga inashangaza! Haijulikani wanacheza fomesheni gani, yaani haijulikani wamewezaje kuongoza ligi mpaka sasa, Mbeya city inayoburuza mkia haionekani kama ina tofauti yoyote na Yanga yenye wachezaji wa Kimataifa.

Tatizo la timu hii haijulikani kama ni wachezaji au ni kocha, ni timu mbovu kuliko maelezo.

Sisi kama nchi tukithubutu kukubali kuwakilishwa na timu hii kwenye michuano ya kimataifa itakuwa aibu ya karne.
 
Nafuatilia game ya Mbeya city na Yanga , kiukweli kiwango kibovu kinachoonyeshwa na Yanga inashangaza ! haijulikani wanacheza fomesheni gani , yaani haijulikani wamewezaje kuongoza ligi mpaka sasa , Mbeya city inayoburuza mkia haionekani kama ina tofauti yoyote na Yanga yenye wachezaji wa Kimataifa .

Tatizo la timu hii haijulikani kama ni wachezaji au ni kocha , ni timu mbovu kuliko maelezo .

Sisi kama nchi tukithubutu kukubali kuwakilishwa na timu hii kwenye michuano ya kimataifa itakuwa aibu ya karne .
Yanga imesheheni watu wa fitna za mpira na waganga wa kienyeji..

Hawana maajabu yeyote.


-- Dismiss case..
 
Nafuatilia game ya Mbeya city na Yanga , kiukweli kiwango kibovu kinachoonyeshwa na Yanga inashangaza ! haijulikani wanacheza fomesheni gani , yaani haijulikani wamewezaje kuongoza ligi mpaka sasa , Mbeya city inayoburuza mkia haionekani kama ina tofauti yoyote na Yanga yenye wachezaji wa Kimataifa .

Tatizo la timu hii haijulikani kama ni wachezaji au ni kocha , ni timu mbovu kuliko maelezo .

Sisi kama nchi tukithubutu kukubali kuwakilishwa na timu hii kwenye michuano ya kimataifa itakuwa aibu ya karne .
Tupe updates ili tuchangie uzi mkuu
 
Nafuatilia game ya Mbeya city na Yanga , kiukweli kiwango kibovu kinachoonyeshwa na Yanga inashangaza ! haijulikani wanacheza fomesheni gani , yaani haijulikani wamewezaje kuongoza ligi mpaka sasa , Mbeya city inayoburuza mkia haionekani kama ina tofauti yoyote na Yanga yenye wachezaji wa Kimataifa .

Tatizo la timu hii haijulikani kama ni wachezaji au ni kocha , ni timu mbovu kuliko maelezo .

Sisi kama nchi tukithubutu kukubali kuwakilishwa na timu hii kwenye michuano ya kimataifa itakuwa aibu ya karne .
Wala si aibu ya Karne.. Yatatokea mauaji ya Kimbari
 
Back
Top Bottom