Timu mbovu ya Yanga imewezaje kuongoza ligi hadi sasa?

Timu mbovu ya Yanga imewezaje kuongoza ligi hadi sasa?

Tanga Kuna Eneo Wanasema Kuna Mwembe Basha
Ukifika Chini Ya Huo Mwembe Basha Lazima Utatamani Kukaa
Sasa Kosa Ukikaa Tu Lazima Upitiwe Na Usingizi
Kitakacho Kukuta Ndiyo Yaliyomkuta Yanga Leo

Watu Wa Tanga Wanaujua Huo Mwembe
 
Tanga Kuna Eneo Wanasema Kuna Mwembe Basha
Ukifika Chini Ya Huo Mwembe Basha Lazima Utatamani Kukaa
Sasa Kosa Ukikaa Tu Lazima Upitiwe Na Usingizi
Kitakacho Kukuta Ndiyo Yaliyomkuta Yanga Leo

Watu Wa Tanga Wanaujua Huo Mwembe
[emoji196][emoji38][emoji196][emoji196][emoji38][emoji196][emoji196][emoji196][emoji38]
 
Jibu limejibiwa mkwakwani Tanga!
Nafuatilia game ya Mbeya city na Yanga, kiukweli kiwango kibovu kinachoonyeshwa na Yanga inashangaza! Haijulikani wanacheza fomesheni gani, yaani haijulikani wamewezaje kuongoza ligi mpaka sasa, Mbeya city inayoburuza mkia haionekani kama ina tofauti yoyote na Yanga yenye wachezaji wa Kimataifa.

Tatizo la timu hii haijulikani kama ni wachezaji au ni kocha, ni timu mbovu kuliko maelezo.

Sisi kama nchi tukithubutu kukubali kuwakilishwa na timu hii kwenye michuano ya kimataifa itakuwa aibu ya karne.
 
Taarifa kwa Umma.  - daimambelenyumamwiko ( 730 X 640 ).jpg
 
Dah! Siku zinakimbia kweli kweli! Zile dharau zote, kwishaaa! 😁😁Siku hizi tunatetema tu.

Mtoa mada mwenyewe amejificha chini ya uvungu wa kitanda! Yaani hata haamini ndiyo Yanga ile aliyo idharau, au ni Yanga nyingine! 😁
 
Back
Top Bottom