Kutoa bikra ni tamuThe answer is very simple and clear. Kwasababu MBUMBUMBU FC kiwango chao hakilingani na yanga
vip mkuu mwiko ulioingia huko nyuma tuutoe au tuache muendele kupata utamuKwanza jiulize ni timu gani ya kumfunga Yanga katika ligi hii?
Simba mtoto toka tangaKwanza jiulize ni timu gani ya kumfunga Yanga katika ligi hii?
Simba mtoto toka tangaKwanza jiulize ni timu gani ya kumfunga Yanga katika ligi hii?
Ingekuwa maajabu sana timu bovu kama utopolo iwe unbeaten.Kwanza jiulize ni timu gani ya kumfunga Yanga katika ligi hii?
[emoji196][emoji38][emoji196][emoji196][emoji38][emoji196][emoji196][emoji196][emoji38]Tanga Kuna Eneo Wanasema Kuna Mwembe Basha
Ukifika Chini Ya Huo Mwembe Basha Lazima Utatamani Kukaa
Sasa Kosa Ukikaa Tu Lazima Upitiwe Na Usingizi
Kitakacho Kukuta Ndiyo Yaliyomkuta Yanga Leo
Watu Wa Tanga Wanaujua Huo Mwembe
bado huamini ?Ngoja tuone...
umejua huu uzi wa lini ?Hapa hakuna logic yoyote, kwanza kutumia game moja kutoa tathmini ya timu siyo kipimo sahihi, na ukitumia kigezo cha michezo mingi basi itakuwa timu nyingine zote nazo ni mbovu.
Nafuatilia game ya Mbeya city na Yanga, kiukweli kiwango kibovu kinachoonyeshwa na Yanga inashangaza! Haijulikani wanacheza fomesheni gani, yaani haijulikani wamewezaje kuongoza ligi mpaka sasa, Mbeya city inayoburuza mkia haionekani kama ina tofauti yoyote na Yanga yenye wachezaji wa Kimataifa.
Tatizo la timu hii haijulikani kama ni wachezaji au ni kocha, ni timu mbovu kuliko maelezo.
Sisi kama nchi tukithubutu kukubali kuwakilishwa na timu hii kwenye michuano ya kimataifa itakuwa aibu ya karne.
We kijamaa umekaa kinoko sanaaaNimeamini hii timu ni wachawi
Karibu sana mkuuWe kijamaa umekaa kinoko sanaaa
Unasemaje? πYanga ni mkweche