Nsumba ntale tz
JF-Expert Member
- Apr 19, 2016
- 713
- 762
Labda kama ndoto umeota usiku nitaamini.!Kwa mara ya kwanza tangu kombe la dunia lianzishwe timu kutoka bara la afrika inaenda kutwaa kombe hilo, wengi hawaifikiri na bado hwaidhanii kuwa timu ya Morocco itaweza hata kuingia fainali lakini ni ukweli usiyo na shaka yoyote kuwa kombe hilo linaenda Afrika kwa mara ya kwanya. Subscribe uzi huu kwa ajili ya kumbukumbu za jf. Ahsante
Save huu uzi kwa ajili ya kumbukumbuLabda kama ndoto umeota usiku nitaamini.!
Kama ni msoma upepo umefeli.
GMorocco ni wabaya sana, hapo Argentina akitoka tu basi kombe linaenda Morocco. Japo kumtoa Argentina sio rahisi, hapo kesho tutamla croatia.
bahati ipo kwa morocco atabeba ubingwaWakicheza vizuri kama walivyocheza dhidi ya Portugal basi wanauwezo wakufanya vizuri zaidi dhidi ya Argentina
Wacha tuone wondersbahati ipo kwa morocco atabeba ubingwa
Ni heshima kwa afrikaWacha tuone wonders
Ni heshima kwa Morroco na nchi za waarabu.Ni heshima kwa afrika
kinacho wasumbua ni kuzani ukiwa mwafrika umekuwa mtu mweusiNi heshima kwa Morroco na nchi za waarabu.
Walishakana uafrika.
Argentina aliyepigwa na Saudia?
G
Jumatano: France 3-1 Morocco
bahati ipo kwa morocco atabeba ubingwa
Ni heshima kwa Morroco na nchi za waarabu.
Walishakana uafrika.
Duh!Naomba Mungu aepushie mbali jambo hili