Amari
JF-Expert Member
- Nov 16, 2021
- 974
- 2,138
Wana upepo mzuri.. Wana bahati tuu.. Hawana mpira wa kiasi hicho.
Wanaweza kukupa ugonjwa wa moyo. Markings mbovu presha tupu kwenye kulinda goli mechi ya Spain.. Na bado counter zao striker hawakuwa na utulivu... Wana bahati zaidi kuliko uwezo na kipaji.
Wanaweza kukupa ugonjwa wa moyo. Markings mbovu presha tupu kwenye kulinda goli mechi ya Spain.. Na bado counter zao striker hawakuwa na utulivu... Wana bahati zaidi kuliko uwezo na kipaji.