Exactly!Duh!
Lakini ukweli wa mioyo yao huwa wanajiona sio waafrika.Ni heshima kwa afrika
You're right.Your very stupid human kind
Hbr yako ndugu!?Save huu uzi kwa ajili ya kumbukumbu
Kwa mara ya kwanza tangu kombe la dunia lianzishwe timu kutoka bara la afrika inaenda kutwaa kombe hilo, wengi hawaifikiri na bado hwaidhanii kuwa timu ya Morocco itaweza hata kuingia fainali lakini ni ukweli usiyo na shaka yoyote kuwa kombe hilo linaenda Afrika kwa mara ya kwanya. Subscribe uzi huu kwa ajili ya kumbukumbu za jf. Ahsante
Nyie wafia dini ni watu wapumbavu sana. Mna ushabiki wa kijinga ndio maana hata mkipewa mabomu mnaenda kujilipua.Your very stupid human kind
Sasa dini imeingiaje hapa... Chuki haitokufaa kitu...Nyie wafia dini ni watu wapumbavu sana. Mna ushabiki wa kijinga ndio maana hata mkipewa mabomu mnaenda kujilipua.
Mimi namfahamu huyo jamaa kwa komenti zake kule kwenye uzi wa kombe la dunia. Anashabikia timu kidini matokeo yake anaropoka hovyohovyo.Sasa dini imeingiaje hapa... Chuki haitokufaa kitu...
Unakumbuka Kauli waliyoitoa hao wapumbavu baada ya kubahatisha ushindi dhidi ya Spain siku ile?!Sasa dini imeingiaje hapa... Chuki haitokufaa kitu...
Haikuwa na haja ya kumjibu... wenye akili wameshaelewa. By the way tumefurahi sana hao washenzi safari yao kuishia hapo.Mimi namfahamu huyo jamaa kwa komenti zake kule kwenye uzi wa kombe la dunia. Anashabikia timu kidini matokeo yake anaropoka hovyohovyo.
Mimi wala sina chuki, tafuta uzi wangu nikiwasifia Saudi Arabia walipoifunga Argentina. Waislam wengi sana mmekuwa na tatizo la ushabiki wa kidini. Hili halileti afya kwenye michezo.