Timu nyingi zinazojipendekeza kuwahi kwenda kucheza na 'Waarabu' huishia kufungwa magoli mengi mno

Timu nyingi zinazojipendekeza kuwahi kwenda kucheza na 'Waarabu' huishia kufungwa magoli mengi mno

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ni akili ya kawaida tu ambayo wala mihogo mibovu kamwe hawawezi kujua, kuwa ni rahisi sana kwa adui yako kukusoma akijua uko naye karibu tena ndani ya eneo lake kuliko ukimshtukiza tu.

Halafu mkiambiwa hamna akili mnakataa na kukasirika. Mlichokifanya kuwahi kuondoka (kusafiri) leo ni kama vile mbwa kaamua mwenyewe kujipeleka kwa chatu ili akamezwe vizuri na kiulaini kabisa.

Vinginevyo Watanzania tupatao 61,741,120 tunajiandaa kupokea aibu kubwa na kapu la magoli kutoka Jijini Tunis nchini Tunisia, Jumatano ya wiki ijayo tarehe 9 Novemba, 2022.
 
Ni Akili ya Kawaida tu ambayo Wala Mihogo mibovu kamwe hawawezi kujua kuwa ni rahisi sana kwa Adui yako Kukusoma akijua uko nae karibu tena ndani ya eneo lake kuliko ukimshtukiza tu.

Halafu mkiambiwa hamna Akili mnakataa na na Kukasirika. Mlichokifanya kuwahi Kuondoka ( Kusafiri ) leo ni kama vile Mbwa kaamua Mwenyewe kujipeleka kwa Chatu ili akamezwe vizuri na kiulaini kabisa.

Otherwise Watanzania tupatao 61,741,120 tunajiandaa kupokea Aibu Kubwa na Kapu la Magoli kutoka Jijini Tunis nchini Tunisia Jumatano ya Wiki ijayo tarehe 9 Novemba, 2022.
hivi huoni aibu kuisakama yanga kila siku,kila wakati?
 
Huyu anayeandika hivi aliwahi kuiponda Simba ati kwa nini inaenda Angola siku moja tu kabla ya mechi na De Agosto. Alimtemea povu jingi sana Barbara pamoja na viongozi wengine wa Simba. Baada ya Simba kushinda ugenini yeye na mwenzake njaakalihatari wamenywea kama vile hawapo. Japo mimi ni Simba, naomba wanayanga mmpuuzilie mbali.
 
Huyu anayeandika hivi aliwahi kuiponda Simba ati kwa nini inaenda Angola siku moja tu kabla ya mechi na De Agosto. Alimtemea povu jingi sana Barbara pamoja na viongozi wengine wa Simba. Baada ya Simba kushinda ugenini yeye na mwenzake njaakalihatari wamenywea kama vile hawapo. Japo mimi ni Simba, naomba wanayanga mmpuuzilie mbali.
Kuna angle nyingne huyu jenta yuko vizuri ukiwchana na banter zake na spana za hapa na pale
Namfuatilia sana
Alitoa ushauri hapa wakui watumie helcopter watembelee mto ruvu na wakafanya hivyo ngoja niishie hapa
Salute kwake
 
Kuna angle nyingne huyu jenta yuko vizuri ukiwchana na banter zake na spana za hapa na pale
Namfuatilia sana
Alitoa ushauri hapa wakui watumie helcopter watembelee mto ruvu na wakafanya hivyo ngoja niishie hapa
Salute kwake
Asante sana na mno Mkuu.
 
Huyu anayeandika hivi aliwahi kuiponda Simba ati kwa nini inaenda Angola siku moja tu kabla ya mechi na De Agosto. Alimtemea povu jingi sana Barbara pamoja na viongozi wengine wa Simba. Baada ya Simba kushinda ugenini yeye na mwenzake njaakalihatari wamenywea kama vile hawapo. Japo mimi ni Simba, naomba wanayanga mmpuuzilie mbali.
Nakumbuka title ilikuwa inasema "simba kama mmeishiwa hela semeni mashabiki tuwachangie" watu kama hao wanaitwa kibubusa inabidi tuwazoee tu
 
Back
Top Bottom