Timu sitini na tatu wagombania Simba day

Timu sitini na tatu wagombania Simba day

MO11

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2014
Posts
19,057
Reaction score
39,387
Hizi sio zandani wala nini.

Bwana Eze Kamwaga anatuambia timu nyingi sana kutoka kila pembe ya Afrika wanagombania nafasi ya kushiriki simba day timu kubwa kubwa kuanzia zenye makombe nane ya Afrika mpaka kajamba nani huko wanagombea fursa adimu ya kuonekana duniani kucheza kwa Mkapa na Wana Lunyasa pira biriani pira drafti.

wakali wa hizi kazi Sasa sisi tunasema kama wanagombania kucheza na Mnyama tuwaundie mashindano wiki ya Mnyama mkali kisha mshindi aje acheze na wana Lunyasi maana watapata wanachostahili

Ile video ya watu kugombania jersey ya simba imeenda mbali mpaka Frorentino Perez ameuliza hawa wanatokea nchi gani nataka game ya kirafiki Simba day ya msimu ujao

Kuna level hapo na standard kubwa sana kati yetu na Misukule

Tukutane kwa mkapa na jezi yako tarehe 19 mapema tu saa mbili kasoro
 
Zitaje hizo timu 68..Mikia bhana kipindi kile mlikuwa misukule ya Manara chochote anachosema mnamuamini siku hizi yupo tumbo chochote atakachokiongea na yeye mnamuamini mna matope kichwan na sio akili
 
Mimi Mtibwa Sugar aisee..mashabiki wa simba mna mahaba na MO mpaka mmeshaanza kumuiga lifestyle yake yeye anajiita MO29 wewe unajiita MO11...
dahh yaani wewe dishi limeyumba
hebu angalia account yangu ni ya mwaka gani
hata hivyo huwezi kutenganisha mo na simba
 
Hizi sio zandani wala nn
Hizi zipo wazi kama vazi la kahaba
Bwana Eze Kamwaga anatuambia timu nyingi sana kutoka kila pembe ya Afrika wanagombania nafasi ya kushiriki simba day timu kubwa kubwa kuanzia zenye makombe nane ya Afrika mpaka kajamba nani huko wanagombea fursa adimu ya kuonekana duniani kucheza kwa Mkapa na Wana Lunyasa pira biriani pira drafti
wakali wa hizi kazi
Sasa sisi tunasema kama wanagombania kucheza na Mnyama tuwaundie mashindano wiki ya Mnyama mkali kisha mshindi aje acheze na wana Lunyasi maana watapata wanachostahili

Ile video ya watu kugombania jersey ya simba imeenda mbali mpaka Frorentino Perez ameuliza hawa wanatokea nchi gani nataka game ya kirafiki Simba day ya msimu ujao

Kuna level hapo na standard kubwa sana kati yetu na Misukule

Unaambiwa mtu kakamua jezi wakati anafua kasikia kelele
Kaikung'uta imeanguka misukule saba kasema anarogwa
ooohh

Tukutane kwa mkapa na jezi yako tarehe 19 mapema tu saa mbili kasoro
Tunaomba tutajie kwa majina bosi
 
Hakuna timu ata moja ambayo imewahi kuchukua kikombe Cha Afrika itakuja kucheza Simba day achana na habari za vikombe zaidi ya kimoja. Simba Haina uwezo wa kugharamia timu yoyote Afrika iliyopo katika top 7 ije dar kucheza Simba day. Labda vita maana wapo kibiashara zaidi Ila timuzote kubwa schedule yao ya msimu mpya uwa imeandaliwa miezi kumi kabla.
 
Hakuna timu ata moja ambayo imewahi kuchukua kikombe Cha Afrika itakuja kucheza Simba day achana na habari za vikombe zaidi ya kimoja. Simba Haina uwezo wa kugharamia timu yoyote Afrika iliyopo katika top 7 ije dar kucheza Simba day. Labda vita maana wapo kibiashara zaidi Ila timuzote kubwa schedule yao ya msimu mpya uwa imeandaliwa miezi kumi kabla.
Huelewi chochote ndio maana mpaka leo mnaambiwa morrison ni mchezaji wenu
Mlemavu atawapa ubingwa
yaani nyinyi hamna akili
 
Mikia mnaumizwa sana na Yanga,hamlali. Mnapishana tu kuanzisha tred dhidi ya Yanga,matako nyie
 
Eti kati ya timu hizo ni Beira FC ya kigogo Dar es Salaam, Mbagala Fc ya Dar es Salaam , Msoga FC ya Pwani , Kigamboni Fc ya Dar esSalaam . Nyingine nimezisahau.
 
Eti kati ya timu hizo ni Beira FC ya kigogo Dar es Salaam, Mbagala Fc ya Dar es Salaam , Msoga FC ya Pwani , Kigamboni Fc ya Dar esSalaam . Nyingine nimezisahau.
Tangu 2004 hatujawi kualika hizo akina
friend rangers au pan african kupimana nao nguvu
 
Hakuna timu ata moja ambayo imewahi kuchukua kikombe Cha Afrika itakuja kucheza Simba day achana na habari za vikombe zaidi ya kimoja. Simba Haina uwezo wa kugharamia timu yoyote Afrika iliyopo katika top 7 ije dar kucheza Simba day. Labda vita maana wapo kibiashara zaidi Ila timuzote kubwa schedule yao ya msimu mpya uwa imeandaliwa miezi kumi kabla.
Simba supper cup yalikua matako yako hukuiona TP mazembe
 
Mengi sana
nitajaza server bure hapa
Hiyo taarifa umeipata kwa nani? Moo au Babra? Tuanzie hapa kwanza. Maana nyinyi mbumbumbu fc kila mnacho ambiwa na Moo mnaamini tu!

'Nimeshatoa Bilioni 20', mnashangilia! Tukiwauliza ziko wapi, hakuna majibu yanayo eleweka!
 
wewe
Hiyo taarifa umeipata kwa nani? Moo au Babra? Tuanzie hapa kwanza. Maana nyinyi mbumbumbu fc kila mnacho ambiwa na Moo mnaamini tu!

'Nimeshatoa Bilioni 20', mnashangilia! Tukiwauliza ziko wapi, hakuna majibu yanayo eleweka!
wewe usiwe jinga zimeuzwa jezi milioni moja yanga mmepwa milioni 45 tu
hapa unauliza bilion 20
we unafikiri kama hela haijawekwa timu inajiendeshaje
timu haidaiwi inalipa mishahara
posho
kambi muda wa kutosha halafu unaulizia b20
ulizia hela za jezi za utopolo anakula nani
usiwe mjinga mjinga wewe

#SIMBANGUVUMOJA
 
Back
Top Bottom