Timu sitini na tatu wagombania Simba day

Timu sitini na tatu wagombania Simba day

Simba mnapenda sifa nyie na jerseys zenu mbaya kama tomatoes [emoji3] i hate you
I hate u too utopolo

[emoji116][emoji116]
JamiiForums393989504.jpg
 
Ile video ya watu kugombania jersey ya simba imeenda mbali mpaka Frorentino Perez ameuliza hawa wanatokea nchi gani nataka game ya kirafiki Simba day ya msimu ujao

Jamaa hajui timu ya nchi gani lakini anataka game ya kirafiki Simba day ya msimu ujao. Safi sana
 
Hakuna timu ata moja ambayo imewahi kuchukua kikombe Cha Afrika itakuja kucheza Simba day achana na habari za vikombe zaidi ya kimoja. Simba Haina uwezo wa kugharamia timu yoyote Afrika iliyopo katika top 7 ije dar kucheza Simba day. Labda vita maana wapo kibiashara zaidi Ila timuzote kubwa schedule yao ya msimu mpya uwa imeandaliwa miezi kumi kabla.
Wanaitwa Tp Mazembe englabar
hao hawajawahi kukosa ubingwa
 
Back
Top Bottom