Timu ya Al Ahly wapitishia mizigo dirishani badala ya mlangoni

Timu ya Al Ahly wapitishia mizigo dirishani badala ya mlangoni

Na ndo tatizo la kuwaza uchawi, hata ukimtuma mwanao unga wakati anaingiza ndani ukamwagika kidogo mlangoni ukalala bila kuona asubuhi ukiamka unapata hofu kuwa wachawi wamekuja na kumwaga unga unga.
Hebu tupe sababu za kisayansi za kupitisha vitu dirishani wakati mlango upo
 
Hebu tupe sababu za kisayansi za kupitisha vitu dirishani wakati mlango upo


Sababu si lazima ziwe za kisayansi inawezekana ni sababu za kawaida au zikawa za kucheza na saikolojia tu.

Kama mimi nakuja kupigana na wewe na nina taarifa kuwa wewe unaamini katika ushirikina na safari hii umeuweka uchawi wako mlangoni moja ya mbinu nzuri ya kuua ujasiri wako ni kupitia dirishani huku wewe ukiona na nikipita tayari nimeshakupiga kisaikolojia.

Uchawi haufanyi kazi kwenye mpira. Ingekuwa unafanya kazi mazoezi ya nini? Usajili wa gharama wa nini? Si unatengeneza timu ya mateja ambao hawalipwi wanapewa wali nyama tu halafu unaloga.
 
Kila timu na mipango yake. Huwezi jua labda baada ya mechi na kesho wanapanga kuweka kambi yao hapa TZ wakiisubiria mechi na CRB? Simba wenyewe isingekuwa masuala ya gharama walitakiwa baada ya mechi ya Botswana waruke moja kwa moja huko Kaskazini kuwasubiria Wydad. Itawasaidia kuzoea hali ya hewa ambayo sasa hivi ni baridi na pia kujiandaa kwa utulivu zaidi.

Labda cha kushangaza ni kwa nini hao Al Ahly hawakuwa na maandalizi mazuri zaidi ya usafiri.
 
Afrika ni Afrika tu,Na wa Afrika ni wa Afrika tu
Timu ya al Ahly inayojiandaa kucheza na yanga desemba 02,2023 imezua gumzo la mwaka kwa kusafiri na mizigo mingi iliyopita kiasi na kuhitaji gari tatu ,Basi moja kubwa la Happy Nation,Coastal moja ,Pamoja na Noah moja lakini bado gari zote hizo hazikutosha

Maafisa wa Al ahly wameonekana wanasubiri gari ya nne nyingine naona hii itakuwa kali ya mwaka

Kumbuka siku ya maandalizi ni moja tu imebaki yaani ni leo tu ,Watu wanabeba mizigo iliyopitiliza mpaka wanakosa nafasi za kukaa wenyewe

Cha kushangaza na kusikitisha ni pale waarabu walipoogopa kupitishia mabegi mlangoni na kuamua kupitishia dirashani,Mwandishi amejitahidi kuwaonyesha mlango wa coastal ambao upo wazi na mkubwa lakini bado akabaki mdomo wazi kwa kinachoendelea kwa waarabu kuogopa kutumia mlango wa coastal na kuamua kupitishia mabegi dirishani

Waarabu wanaogopa mlango wa coastal na hizi ndizo imani za Afrika,Mpira wa Afrika bado una safari ndefu na unaamini katila ulozi na uchawi

Tumezoea Al ahly wanasafiri na majaba , maplastic na mapipa makubwa na kweli wamekuja nayo lakini wamekuja na vituko vya kuwa na mizigo mingi ambayo hata ungeleta fuso isingetosha

Kilichonichekesha na hata kuwashangaza waandishi wa habari ni kitendo cha kuja na masanduku ambayo huwezi kuyasukuma kwa vifaa vya airport bali ni kwa kuyaburuza ambayo waliyapakia kwenye Noah


Ni rahisi kupitishia dirishani, mara zote ndo tunafanya hivyo tukiwa na watu wengi, haihusiani na chochote.
 
Naona umesahau Yanga kutumia mipango isiyo rasmi kuingia kwa Che Nkapa. Na bado umesahau Yale aliyoyafanya Jesus Moloko na wapuuzi wenzake siku ya derby ya Kariakoo. Al Ahly wameshajua janja njanja yenu.
 
Nawatakia Kila lakheri al ahyl Cairo
Wengine baya lolote liwapate
 
Sababu si lazima ziwe za kisayansi inawezekana ni sababu za kawaida au zikawa za kucheza na saikolojia tu.

Kama mimi nakuja kupigana na wewe na nina taarifa kuwa wewe unaamini katika ushirikina na safari hii umeuweka uchawi wako mlangoni moja ya mbinu nzuri ya kuua ujasiri wako ni kupitia dirishani huku wewe ukiona na nikipita tayari nimeshakupiga kisaikolojia.

Uchawi haufanyi kazi kwenye mpira. Ingekuwa unafanya kazi mazoezi ya nini? Usajili wa gharama wa nini? Si unatengeneza timu ya mateja ambao hawalipwi wanapewa wali nyama tu halafu unaloga.
Kama wao hawa amini ushirikina hawakua na haja ya kufanya hizo mambo
 
Afrika ni Afrika tu,Na wa Afrika ni wa Afrika tu
Timu ya al Ahly inayojiandaa kucheza na yanga desemba 02,2023 imezua gumzo la mwaka kwa kusafiri na mizigo mingi iliyopita kiasi na kuhitaji gari tatu ,Basi moja kubwa la Happy Nation,Coastal moja ,Pamoja na Noah moja lakini bado gari zote hizo hazikutosha

Maafisa wa Al ahly wameonekana wanasubiri gari ya nne nyingine naona hii itakuwa kali ya mwaka

Kumbuka siku ya maandalizi ni moja tu imebaki yaani ni leo tu ,Watu wanabeba mizigo iliyopitiliza mpaka wanakosa nafasi za kukaa wenyewe

Cha kushangaza na kusikitisha ni pale waarabu walipoogopa kupitishia mabegi mlangoni na kuamua kupitishia dirashani,Mwandishi amejitahidi kuwaonyesha mlango wa coastal ambao upo wazi na mkubwa lakini bado akabaki mdomo wazi kwa kinachoendelea kwa waarabu kuogopa kutumia mlango wa coastal na kuamua kupitishia mabegi dirishani

Waarabu wanaogopa mlango wa coastal na hizi ndizo imani za Afrika,Mpira wa Afrika bado una safari ndefu na unaamini katila ulozi na uchawi

Tumezoea Al ahly wanasafiri na majaba , maplastic na mapipa makubwa na kweli wamekuja nayo lakini wamekuja na vituko vya kuwa na mizigo mingi ambayo hata ungeleta fuso isingetosha

Kilichonichekesha na hata kuwashangaza waandishi wa habari ni kitendo cha kuja na masanduku ambayo huwezi kuyasukuma kwa vifaa vya airport bali ni kwa kuyaburuza ambayo waliyapakia kwenye Noah
Wapi tupichapicha🤔
 
Afrika ni Afrika tu,Na wa Afrika ni wa Afrika tu
Timu ya al Ahly inayojiandaa kucheza na yanga desemba 02,2023 imezua gumzo la mwaka kwa kusafiri na mizigo mingi iliyopita kiasi na kuhitaji gari tatu ,Basi moja kubwa la Happy Nation,Coastal moja ,Pamoja na Noah moja lakini bado gari zote hizo hazikutosha

Maafisa wa Al ahly wameonekana wanasubiri gari ya nne nyingine naona hii itakuwa kali ya mwaka

Kumbuka siku ya maandalizi ni moja tu imebaki yaani ni leo tu ,Watu wanabeba mizigo iliyopitiliza mpaka wanakosa nafasi za kukaa wenyewe

Cha kushangaza na kusikitisha ni pale waarabu walipoogopa kupitishia mabegi mlangoni na kuamua kupitishia dirashani,Mwandishi amejitahidi kuwaonyesha mlango wa coastal ambao upo wazi na mkubwa lakini bado akabaki mdomo wazi kwa kinachoendelea kwa waarabu kuogopa kutumia mlango wa coastal na kuamua kupitishia mabegi dirishani

Waarabu wanaogopa mlango wa coastal na hizi ndizo imani za Afrika,Mpira wa Afrika bado una safari ndefu na unaamini katila ulozi na uchawi

Tumezoea Al ahly wanasafiri na majaba , maplastic na mapipa makubwa na kweli wamekuja nayo lakini wamekuja na vituko vya kuwa na mizigo mingi ambayo hata ungeleta fuso isingetosha

Kilichonichekesha na hata kuwashangaza waandishi wa habari ni kitendo cha kuja na masanduku ambayo huwezi kuyasukuma kwa vifaa vya airport bali ni kwa kuyaburuza ambayo waliyapakia kwenye Noah
Wakizichezesha hizo gari tutakata rufaa.
 
Utopolo walivoeneza propaganda za ahly kufanyiwa umafia hapa tz walifikiri itaishia kwa simba tuu
 
Kama wao hawa amini ushirikina hawakua na haja ya kufanya hizo mambo
Inawezekana ni Mind games ya kuwatoa mchezoni iwapo wana taarifa kuwa mpinzani anaamini katika uchawi na ameweka uchawi mlangoni.

Kama wewe ni mkristo halafu Ukaenda kwa mwarabu kuomba ushirikiano wa biashara halafu siku ya kukutana ukavaa kanzu haikufanyi wewe kuwa unauamini uislamu.
 
Inawezekana ni Mind games ya kuwatoa mchezoni iwapo wana taarifa kuwa mpinzani anaamini katika uchawi na ameweka uchawi mlangoni.

Kama wewe ni mkristo halafu Ukaenda kwa mwarabu kuomba ushirikiano wa biashara halafu siku ya kukutana ukavaa kanzu haikufanyi wewe kuwa unauamini uislamu.
Kitendo cha kufanya mind games za kushirikisha kinaonyesha una imani hizo, utatofautishaje mind game na reality?
 
Ila timu yenu inapopita milango isiyo ya kawaida au wachezaji wenu kumwaga vitu usanjani mnaona kitu cha kawaida, subiri kipigo chenu kinakuja.
 
Back
Top Bottom